Albert Msando: Hatushindani na chama au wanachama wa CHADEMA

Albert Msando: Hatushindani na chama au wanachama wa CHADEMA

hawashindani na chama wala na wanachama hasa kama jibu ndo hilo watakuwa wanashindana na nani hzo niporojo tu,ukwel uko palepale wanashindana na chama na wala sio mbowe wala slaa kwasababu harakat anazofanya zitto awabomoi viongoz kama anavyotaka kutuaminisha bali chama,tutasimama had mwisho kuleta mabadiliko ya kwel na sio ya kuigiza kama ya zuber kabwe na msando albert
 
zitto kabwe ni kama nguruwe aliyeamua kula watoto wake bila kujali uzima wao,msando nakushauri achana na huyo bwana mdogo kwani yaliyomkuta Dr.kitila mkumbo na wakina shonza na mwampamba hawataamini mpaka kufa jinsi zzk alivyowakana na kujinasua kutoka kwenye tuhuma nzito kama kfadhili kundi haramu la pm 7 na waraka wa mabadiliko 2013. kama alivyowakana wenzake hata wewe atakukana tu.
 
Point Noted. Lakini ikibainika kwamba Katiba ya Chama haitoshi kutumika yenyewe kumuondoa Zitto, itabidi ibadirishwe haraka ikidhi vigezo na baada ya hapo itumike haraka sana kumuondoa.
 
Ninakuunga mkono, kuna jamaa hapa kila mwenye mawazo tofauti against CHADEMA ataitwa majina machafu. Sijua wakoje.

Jinsi tu Msando alivyoongea anaonekana yuko smart sana kichwani,Ameongea point ya msingi sana.Haya wale wasioweza kabisa kutumia akili zao ipaswavyo katika kudadavua mambo ya msingi na hoja madhubuti kama hizi ni fursa yenu nyingine kuporomosha mitusi,kumwaga kashfa na kuwaita wenzenu majina ya dharau kama mlivyokwishaanza kufanya hapa.Hatuwalaumu ndio upeo wenu wa kufikiri ulipogotea hapo.Kwa tulio na akili zetu kubwa na huru Msando tumekuelewa sana na hongera kwa maneno ya busara na yenye kuonyesha ukomavu wa hali ya juu wa kifikra na kimawazo.
 
Msando mweupe tuuu CDM wamemuachia kwa kuwa hawataki marumbano.

Na kama hashindani na wanachama wala chadema hao wachache anaosema amewadhofisha kwa mujibu wa maelezo yake sio wanachama?

Ikiwa anataka viongozi kuvumiliana na sio kufichiana siri na udhaifu kwa nini sasa anasema viongozi walikuwa kimya wakati wanajua kuna udhaifu na kufichiana siri? Je haoni anakinzana na hoja yake ya kuvumiliana kulingana na maelezo yake?

Je unaweza kudhitisha kuwa zito hajaenda mahakamani kulinda masilahi yake binafsi ikiwemo ubunge na uenyekiti na si ya chama?

Pangua Hoja.
 
Hawa wanatapatapa tu! iuyo zitto ni kirusi cdm na wanachama wa ukweli wanalijua hilo,anatumiwa na ccm na lilijionesha pale serena hotel ktk mkutano na waandishi wa habari kuratibiwa na magamba,angalia kule kigoma vijana wa uvccm walikuwepo kurubuni watu hali kadharika huko dar(mahakamani).CDM tunaamini kuwa kamanda wa kweli hawezi kufanyiwa yote hayo na magamba.hatumwitaji cdm,atafute pa kwenda na kuna maeneo akikanyaga kama hapa mwanza atajutia nafsi yake kutokana na maneno yanayosemwa mitaani na vjiweni!
 
Sawa, baada ya Zitto atafuatia nani au ndo waliobaki wote ni wanachama "watiifu, wana nidhamu ya kuvumilia kuona demokrasia ikibadilishwa maana kwa kutunga taratibu zilizonje ya utaratibu kikatiba na kutohoji lolote chamani (kifupi mnaendelea yale yale ya ndio mzee!)"
Mzee nomependa sana post yako unatakiwa utulie kuielewa. Katika falisafa za Mwalimu Nyerere alishawahi sema " ukizoea kuua maadui zako mwisho utaua marafiki zako". Chadema wanatakiwa wajitafakali.
 
Ha Ha Haaaaahhhh Hahaaaaa!!!!!

Alberto Msandoooo, Zitto Kabweee Vs Kamati kuu ya Chadema na Demokrasia ya kweli ndani ya chama. Naona Sasa mmeifanya Politics kuwa too much Poetic, because now mmeshift kutoka dhana nzima ya Politics Kuwa game of Policies na sasa mmeifanya kuwa game ya Poetry tu kwa statement zenu za kimashairi kila kukicha zenye kuvutia kweli kweli kwa jicho La kawaida.

My take: " watanzania sasa wameamka na wanajua kuchanganya akili za kuambiwa na za kwao ".

I will see you in 2015 when you reach there, see you in 2015 On Ballot Boxes when you reach there!!!!!!!!!
 
So umeamua kuachana na snitch na kufuata ma snichest...

Anyway, tunajua kuwa Kumfukuza sawa mnaweza na mtamfukuza, ila sababu za kumfukuza na utaratibu mnaoutumia sio. Muhimu kawafundisha hilo. Hataondoka Chadema kikondoo bali kishujaa.

Mrembo hapo hakuna ushujaa. Angejiondoa angeonekana shujaa.
 
Dhambi ya ubaguz haitawaacha salama

SASA MNAANZA KUBAGUANA WENYEWE KWA WENYEWE??MSANDO SI MCHAGA MWENZENU HUYO??

MNAMBAGUA KWA LIPI SASA,UDINI,UKANDA AU UKABILA??

MNA LAANA NYINYI

Yan wewe jamaa ni -------- sijapata kuona. Coment zako usipoingiza udini huoni kama imekamilika siyo? Mods, watu wa hivi ni kuwaondoa tu humu kwa sababu hata ukimuuliza anachokisema kina ushahidi gani hana.
 
You can fool people for sometime but u cant fool people all the time-si wamesema wameshinda mnajihami nini?
 
Zitto msaliti,kitaeleweka 2!Wassira alijuaje,umetumika!hata condom inathaminiwa wakat wa tendo,angalia baadae inavyo2pwa kwa kinyaa!
 
Zitto akiondoka CHADEMA haitakua na migogo tena! Nawaza tu
 
CUF tumetulia tuli., vita ya panzi ni furaha ya kunguu, tunaitaka Tanganyika tuwe na wanachama kama kule Zanzibar ili tushike dola Tanzania nzima.,
 
Wakili msomi!Wengine?Au msomi ni kivumishi!Wabongo kwa swaga hadi kwenye maandishi!
 
Kiti moto wewe,endelea kutafunwa.


Cheupe macho kama umekula kungu,,!!!

Unajiandaa kufanyiwa kitchen party nini??

HASARA TUPU,,MTOTO WA WATU WEWE,SI MCHANA SI USIKU,MTOTO SI MALI KITUUU,,,

ONA SURA YAKO CHEUPE,UNAPENDA KUJIPODOAAA,UNAPENDA KUJICHUBUAA,UNAPENDA KUTUZINGUAA,KUMBE NI KAKA POAAA,,USIMUONE AMEPOAAA.KATOKA KUSASAMBUAAA,,VIUNO UNANENGUAA,,WANAKUOPOAA...

CHEUPE BHANA,USILIEE BASI..
 
Haki lazima itasimama,Lisu kawaingiza Mboe na Slaa choo cha kike.
 
mdogo wangu MSANDO mmefahamika tangu kitambo sana ( unajua mmefahamika kitu gani ? ) , hakuna nafasi ya zito na wasaliti wengine ndani ya cdm .
 
Back
Top Bottom