Albert Msando: Hatushindani na chama au wanachama wa CHADEMA

Albert Msando: Hatushindani na chama au wanachama wa CHADEMA

Dhambi ya ubaguz haitawaacha salama

SASA MNAANZA KUBAGUANA WENYEWE KWA WENYEWE??MSANDO SI MCHAGA MWENZENU HUYO??

MNAMBAGUA KWA LIPI SASA,UDINI,UKANDA AU UKABILA??

MNA LAANA NYINYI

Post zako nyingi unahubiri ukanda, udini na ukabila. Ulipokuwa unatetea suala la gesi kubaki Mtwara mbona hukuambiwa kuwa wewe unasimamia na kupigania mambo ya ukanda ama ukabila? Ama tayari wahusika walishakuona na kukufanya mmoja wao!!!!
 
Mbona we kubwa jinga unamumunya midole ka choko.
Mkuu, sijapata kuona mtu -------- hapa jamvini kama kiumbe huyo…yaani huyo jamaa ni bonge la pimbi alafu ni ---- wa kutupwa kabisa…by the way nahisi huyu si binadamu bali ni mnyama au ni jini linatokea baharini na kuja kueneza chuki hapa.
 
Dr, nawe pia dr umeunga bandwagon dr, siamini.

dr naye ni kiumbe tena ana-hisia na utashi maana ni mwana wa adamu pia. U-dr wake ni ajira inayomsaidia kukausha nyasi njia iendayo msalani kwake kama wewe na ajira yako..the rest ni BINADAMU WOTE NI SAWA HASA KATIKA KU-EXPRESS HISIA ZETU.

NI AYO TUU.

SORRY KIDOGO NISAHAU...NH. SUPIKA... NAUNGA MKONO HOJA..AFUKUZWE TUU TENA KWA GHARAMA YOYOTE ILE HATUFAIII...NI MSALITI...A COWARD.
 
Kwanza kwa kupitia hizi comment zako za chuki chuki nimegundua wewe unaishi maisha ya kiwahili swahili sana…yaani wewe hata kama ulipitia shule basi hiyo shule yako haijakusaidia hata kidogo. mburula sana wee mdudu

Mshikachuma
Tumeanza kushambuliana ama twatakiwa kujikita ndani ya huja ya mleta huja?
 
BAADA YA SHAURI LA MH ZITTO KABWE KUPATIWA UAMUZI WA MAHAKAMA,,NAJIULIZAA,,HIVI NI KWELI KWAMBA KAMATI KUU YA CHADEMA HAIKUWA IKIFAHAMU KWAMBA:-

Ibara 6.3.6(d) ya Katiba ya Chama chao cha Chadema inasema;"Kiongozi aliyechukuliwa hatua za kinidhamu na mamlaka yake ya nidhamu anayo haki ya kukata rufaa ngazi ya juu ya ile mamlaka yake ya nidhamu na uamuzi wa ngazi hiyo utakuwa wa mwisho".???

Kwamba Ibara 6.3.6(e) ya Katiba ya Chama;"Rufaa yoyote lazima ifanyike katika muda wa siku thelathini tangu tarehe ya kupokea rasmi kwa maandishi maamuzi ya mamlaka iliyotoa adhabu".,,na kwamba ;Kanuni za Uendeshaji zinatoa
UTARATIBU ambao unatakiwa ufuatwe ili kiongozi aliyeadhibiwa aweze kutumia HAKI yake ya kukata rufani kwa maneno haya??

Kwamba Kanuni ya 6.5.8 ya Kanuni za Uendeshaji za chama hichohicho cha chadema,inasema;"Kiongozi aliyeadhibiwa atapewa taarifa ya msingi wa maamuzi ya mamlaka ya nidhamu ili kumuwezesha kuamua kukata rufani au la"??

Kwamba Kanuni ya 6.5.9 ya Kanuni za Uendeshaji;"Mwadhibiwa atakayeamua kukata rufani atatakiwa kufanya hivyo katika muda wa siku thelathini baada ya kuarifiwa uamuzi wa adhabu"??

Kwamba Kanuni ya 6.5.10 ya Kanuni za Uendeshaji;"Baada ya kutoa uamuzi kikao husika kinalazimika kuandaa taarifa kamili ya mwenendo wa shauri na kuwasilisha ngazi ya juu.??

Na kwamba Taarifa hiyo, lazima ifike katika muda wa siku kumi na nne baada ya kikao cha maamuzi"??

NITASHANGAA KAMA TUNDU ANTIPAS LISSU ATAACHWA AENDELEE KUWA MWANASHERIA MKUU WA CHADEMA,BAADA YA MAKOSA HAYA YA KITAALUMA

NI WAZI ATAKUWA BILA KUMUNG'UNYA MANENO,,AMESHINDWA KUISHAURI VEMA,NA KISHERIA,KAMATI KUU YA CHAMA CHAKE,ILI IONE JINSI AMBAVYO ILIKUWA INAVUNJA VIPENGELE HIVI VYA KATIBA AMBAYO NDIYO SHERIA MAMA

Najaribu kuelewa tu Kashaga. Kwani Kamati Kuu ilikwishamchukulia hatua za kinidhamu Zitto? Si ndio process ilikuwa inaendelea. Walimapatia makosa 11, akatakiwa awasilishe utetezi, ndio Kamati Kuu ingetoa maamuzi. Labda kwa utetezi wake KK ingeridhika na kuamua vinginevyo. Kisha baada ya hapo ingefuata rufaa Baraza Kuu. Kwa mfano, Dr Kitila na Mwigamba, baada ya kuvuliwa uwanachama na KK sasa wana haki ya kikatiba kukata rufaa BK dhidi ya mamuzi yao. Sasa Zitto anataka kukatia rufaa maamuzi yepi?
 
Msando, najua hata wewe unajua kuwa Zitto amepoteza sifa za kubaki Chadema ila unachotafuta mkono uende kinywani.

Wakati unapoendelea kumsaidia Zitto mahakamani pindi mnapokuwa faragha mwandae kisaikolojia kuwa hatakiwi.

Nimependa sana maneno ya muasisi wa chama..kasema Zitto hatakiwi chadema..aunde chama chake au aende CUF au NCCR
 
Sasa utamlinganisha huyu chalii na 'pumbaman' Lissu?
Kwani Msando kashinda kesi gani kwa haya matambo..mwambie asubiri kesi iendelee kama hajaikimbia kizimba chake cha utetezi..alikuwa anataka ukaribu na LEMA jamaa akamshtukia kuwa ni msaka umaarufu na noti.
 
Nani huyu Msando? Ooops! Ni yule wakili wa Mbunge wa Mahakama kwa tiketi ya CCM!
 
Kwani Msando kashinda kesi gani kwa haya matambo..mwambie asubiri kesi iendelee kama hajaikimbia kizimba chake cha utetezi..alikuwa anataka ukaribu na LEMA jamaa akamshtukia kuwa ni msaka umaarufu na noti.

Sidhano Kama kuna mtu duniani asiyataka fedha. Na sidhani kama Albert anaweza kujibembeleza kwa loser Lema kupata fedha ilhali Lema mwenyewe hana.

Lema ni Mhuni ilhali Albert ni msomi. Majuha kama ww mlijua anayechanganya sheria na kuwachanganya nyinyi angeshinda. Hili limewakwaza.

Tangu nimfahamu Lema kupitia chadema sijawahi kuona ameweza kitu gani cha maana ndani na nje ya bunge zaidi ya upumbavu na ugomvi. Tambua Kwamba hata ubunge kaupata kwa mgongo wa chadema, that's why hakupata alikotoka.
 
Mshikachuma
Tumeanza kushambuliana ama twatakiwa kujikita ndani ya huja ya mleta huja?

mshika chuma nadhan atakuwa kashikishwa chuma cha moto..!!

BIGSHOW ATAMUWEZEA WAPI??WAMESHINDWA WATU,LABDA WAYATUME MASHETANI,,

KAMA ANATAFUTA BWANA WA BURE HAPA HAWEZ KUMPATA,SISI TUPO HAPA KWA KAZI MOJA TUH,,KUKEMEA UKANDA,UDINI NA UKABILA WA HIYO SACCOSS YAO YA AYATOLLAH MTEI
 
Tethet!

Katiba hiyohiyo anayoitambua kuwa ina ruhusu demokrasia, hiyohiyo Imekataza mwanachama kukipeleka chama mahakamani.

Je alimshahuri Mteja wake?
 
Kwanza kwa kupitia hizi comment zako za chuki chuki nimegundua wewe unaishi maisha ya kiwahili swahili sanayaani wewe hata kama ulipitia shule basi hiyo shule yako haijakusaidia hata kidogo. mburula sana wee mdudu
Mkuu maisha ya kiswahili ni ya yapi?
 
We ni mtoto mdogo tu, CDM umeanza kuipenda juzi tu (2010) Usiwaongelee mbovu watu ambao nusu ya maisha yao wameyatumia kukijenga Chama.

Lakini mwishoni wanakuja kuharibu kwa kuhongwa magari mawili na pesa!
 
Hili ni suala la muda tu.Zitto lazima atatoka chadema kwa kufukuzwa au kwa kujiondoa mwenyewe.Tusubiri tu.Damu za waliokufa kwa ajili ya Chadema zinapiga kelele,msaliti atatoka tu hata ikulu ikiwa upande wake.
naloli!
 
Back
Top Bottom