Albert Msando: Hatushindani na chama au wanachama wa CHADEMA

Albert Msando: Hatushindani na chama au wanachama wa CHADEMA

Mnapamba sana Zito kupita alivyo mbona kuna watu wa maana na watulivu CHADEMA wako wengi sana,Zito hawezi kumfikia hata 1/4 Ben Wa Saanane Kijana mwenye Akili Isiyochakachuliwa na Maccm.
 
Mnampamba sana Zito kupita alivyo mbona kuna watu wa maana na watulivu CHADEMA wako wengi sana,Zito hawezi kumfikia hata 1/4 Ben Wa Saanane Kijana mwenye Akili Isiyochakachuliwa na Maccm.
 
Sawa, baada ya Zitto atafuatia nani au ndo waliobaki wote ni wanachama "watiifu, wana nidhamu ya kuvumilia kuona demokrasia ikibadilishwa maana kwa kutunga taratibu zilizonje ya utaratibu kikatiba na kutohoji lolote chamani (kifupi mnaendelea yale yale ya ndio mzee!)"

Kule CCM naambiwa Lowasa kesha kosa sifa ya kugombea Urais ndani ya Chama hicho ni kwa nini ? Maana Mangula na Nape wamesha sema .Sababu gani ?
 
jitaidi kujibu hoja na kusoma hoja ya mtu b4 hujakurupuka kujibu na kuandika ugoro wako,
 
Kwani Msando kashinda kesi gani kwa haya matambo..mwambie asubiri kesi iendelee kama hajaikimbia kizimba chake cha utetezi..alikuwa anataka ukaribu na LEMA jamaa akamshtukia kuwa ni msaka umaarufu na noti.

Watu kweli wapo biased, daaah!! Sentensi ya KWANZA kabisa kwenye andiko lake amesema 'hatujashinda kesi dhidi ya CHADEMA'
 
Maneno meeengi! ZZK is a history in CDM politics..

He iz a good politician sema siasa na hila za maCCM zimemponza... CCM patamfaa zaidi!

GOODLUCK ZZK at whatever party you might join.. najua NCCR walipata fundisho kwa swahiba wako Kafulila sio rahisi kukuchukua.. CCM patakufaa zaidi
 
Zitto ni zaidi ya Chadema

zitto-kwanza,-chama-baadaye.jpg

Zitto kwanza, chama baadaye.
Kaazi kweli kweli!
 
Cheupe macho kama umekula kungu,,!!!

Unajiandaa kufanyiwa kitchen party nini??

HASARA TUPU,,MTOTO WA WATU WEWE,SI MCHANA SI USIKU,MTOTO SI MALI KITUUU,,,

ONA SURA YAKO CHEUPE,UNAPENDA KUJIPODOAAA,UNAPENDA KUJICHUBUAA,UNAPENDA KUTUZINGUAA,KUMBE NI KAKA POAAA,,USIMUONE AMEPOAAA.KATOKA KUSASAMBUAAA,,VIUNO UNANENGUAA,,WANAKUOPOAA...

CHEUPE BHANA,USILIEE BASI..

matusi! Na ban hujala
 
CDM wameumia sana katika hili yaani wengine nasikia hata kula wamekataa! Siwaoni akina Yerricko hapa wazee wa nyuzi joto 26, Mawingu ya hapa na pale!

Kweli mwisho wa ubaya ni AIBU
 
CDM mkitaka kupata aibu ya mwaka nendeni mahakama ya rufaa nako huko mtamwagwa tu hakuna ubishi!

Dhuluma na Ukweli haukai pamoja! Haki imetendeka na itaendelea kutendeka hata mahakama ya mwanzo!
 
Poleni sana CDM kwani yakikuzidi jinyonge utakuwa umefanya jambo la maana hutamsikia tena ZZK
 
Yerricko wakati hukumu juzi inatolewa Dar kulikuwa na nyuzi joto ngapi? Hali ya mawimbi baharini ilikuwaje? Upepo wa bahari ulikuwa unavuma toka Kigoma kuelekea Kilimanjaro!

Vp Hali ya mvua Dar? Pole sana ndio sihasa na sio siasa!
 
Anaonyesha ndio mppumbavu sana! anasema wanachama wafuate misingi so watu.....! wale wafuasi wa Zit to na mabango yao ya kumtukuza mbona hakayatolea maelezo? .....nae hana kitu kichwani!
 
Mnapamba sana Zito kupita alivyo mbona kuna watu wa maana na watulivu CHADEMA wako wengi sana,Zito hawezi kumfikia hata 1/4 Ben Wa Saanane Kijana mwenye Akili Isiyochakachuliwa na Maccm.

Kama unatoka Kilimanjaro sitakulaumu!Unamlinganisha Ben Saanane na Zitto Kabwe?Kweli sasa chuki zenu dhidi ya Zitto zinawafanya muonekane vituko!!!Asubuhi Njema.
 
Najaribu kuelewa tu Kashaga. Kwani Kamati Kuu ilikwishamchukulia hatua za kinidhamu Zitto? Si ndio process ilikuwa inaendelea. Walimapatia makosa 11, akatakiwa awasilishe utetezi, ndio Kamati Kuu ingetoa maamuzi. Labda kwa utetezi wake KK ingeridhika na kuamua vinginevyo. Kisha baada ya hapo ingefuata rufaa Baraza Kuu. Kwa mfano, Dr Kitila na Mwigamba, baada ya kuvuliwa uwanachama na KK sasa wana haki ya kikatiba kukata rufaa BK dhidi ya mamuzi yao. Sasa Zitto anataka kukatia rufaa maamuzi yepi?
mbona alikuwa ashavuliwa nyadhifa zote tayari?? inamaanisha hukumu ilikuwa ishatolewa bila kusikilizwa, ndo manaa jaji alisema, you can't jail him first and hear him later"
 
Back
Top Bottom