Albert Msando apotoka tena

Albert Msando apotoka tena

wote nyie ni vilaza! kimya hamna sentensi wala tenzi,kojoeni kabla ya kulala msije mkakojoa kitandani maana akili zenu ni fupi kama mnavyofikiria.

Marahabaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.............................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Lengo lenu sio kukomboa nchi ila ni kukomba nchi...

yaani wewe na elimu yak hamuendani kabisao afadhali hata kapuya anaitumia kuvua chupi watoto yatima na kuwaambukiza hiv.. wewe ni noga kabisa eti dr..
 
Eti ni mwanachama wa Chadema.

Nyang'anya Kadi hyo.Sijui viongozi wa Kanda ya Kaskazini wanafanya nini hawaoni huu utovu wa Nidhamu wa huyu anayejiita Diwani wa Chadema.

Naye muda wake unahesabika kwa ujinga wake eti anajifanya anasimama kama Mwanasheria. Mwanasheria my foot hata layman anaweza akafanya kazi nzuri zaidi ya viroja vyake hapo juu
 
JF,

Issue sio Msando Albert ni nani au kwa nini anatetea.

Issue ni rahisi natetea nini na utetezi wangu uko based kwenye nini.

1. Utaratibu wa kumvua Zitto nyadhifa haukufuatwa.

2. Sababu zilizotolewa ni circumstantial. Hazijitoshelezi. Zote zinatokana na waraka wa Mwigamba.

Kabla ya kutukana, kudharau na kukejeli yajadiliwe ninayoyasema na sio mimi.

Kama kijana, mwanachadema mwenye taaluma ya Sheria nina wajibu kusema haya. Sasa nikosolewe makosa yangu kwa nafasi hizo tatu na sio vinginevyo.

Mpaka sasa hakuna mahali ambapo hoja inatolewa ya wapi sistahili kusemea. Jazba hazijengi wala kuelekeza njia sahihi kama lengo ni kujenga.

Ila kama nia ni kupiga story tu kumaliza siku ni sawa pia.

nendeni ofisini kwenu kinondoni mkasutane sio mnashinda JF. hivi mbona hujamsafisha na Masalia wakina Shonza? huyo Zitto kashachafuka na usaliti hata kwa tindikali hasafishiki.
 
Ben:

1. Ni nini ambacho nimepotosha?

2. Ni kashfa gani nimetoa dhidi ya chama?

3. Ni uzushi gani nimefanya dhidi ya chama?

Leo umejitoa sana ufahamu sema shule ya Mhe Lissu imekususaidia kupunguza kile kiburi cha ujinga unaozidi ujinga wa sheria
 
Bora msukule unaweza tumwa sehemu kuliko chuma chakavu lisilofaa kwa matumizi zaidi ya kurejeshwa kiwandani kutengenezwa product nyingine"wewe ni chuma chakavu"

kachumbari haikamiliki bila kutia mbwembwe zote ulizizitaja hapo

haqhahahahahhah!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!111111
lait mngevuviwa nia ya kweli ya kuongoza hiuli taifa mngekuwa bora kweli...............katika maadui wakubwa niwaonao kwa sasa kwenye hii nchi CDM ni mmoja wapo.

kajipangen upya ila hata wa upinzani nwenzenu wanakerwa na mienendon yenu
 
why are you taking it public kama wewe ni mwanachama na mbali ya hapo ni diwani hujui taratibu za chama kweli? Serena hotel imekuwa sehemu ya mamlaka za chama hadi ujitokeze kila siku kwenye hadhara
unaonekana mtoto kweli aisee

John Mnyika na Tundu Lissu walikuwa wanaongelea wapi?

Amefanya vyema kueleza umma jinsi chadema wanavyo kihuka katiba yao.
Hapa ndio kazi imeanza.

Tuna subiri tamko la lissu na mnyika.
 
Last edited by a moderator:
Acheni upumbavu na nyie mnamtukuza sana lusu ndo mana anajiona na kuwazarau wengune.hana lolote huyo njaa tu ndo zi.amdumbua
Amekalia kyropoka tu.
 
John Mnyika na Tundu Lissu walikuwa wanaongelea wapi?

Amefanya vyema kueleza umma jinsi chadema wanavyo kihuka katiba yao.
Hapa ndio kazi imeanza.

Tuna subiri tamko la lissu na mnyika.

Mkuu,

Hawa watu ni wa ajabu sana. Mbowe akimsifia Kikwete wanaona sawa, lakini January akimsifia Zitto wanasema Zitto msaliti!
 
Last edited by a moderator:
Tulikua Tumepumzika Upuuzi wa sijui Wakili Msando mara Zitto manake ilikua ni kero kila ukiangalia Gazeti La Mwananchi, sasa tena wameanza kesho hii ni habari ya Mwananchi kubwa kabisa,,, sielewi kwanini hawa watu hawafati utaratibu, kama anapenda vyeo vya cdmbasi aitumikie kwa kufuata utaratibu sio kufanya mapinduzi ....
 
Albert Msando kamgaragaza vibaya Tundu Lissu kwenye ulingo wa siasa

Makamanda wanataka Msando apokonywe Kadi ya Chadema.

Yaani Kadi za chadema siku hizi ni kama zawadi za Christmas, ili mtu apate inabidi amfurahishe "Santa"...
 
Diwani kamgaragaza mbunge Akilindogo kutawala Akili kubwa ya mwanasheria mkuu wa chadema kweli maccm nimazuzu.
 
mkuu,

tangu msando alipomaliza press conference yake mpaka sasa zimeshaanzishwa thread kama tano hivi. Zote ni za kumshambulia msando na kumtisha kuwa atavuliwa uanachama.

Wengine wanasema hajaonekana kwenye kata yake mwaka mzima, wengine wanasema ni mtu wa starehe tu, wengine wanahoji anapata wapi pesa. Yaani ni chuki zisizokuwa na msingi kabisa

watu kama hawa hawafai kukabidhiwa nchi. Watawafanya vibaya watu wenye mawazo tofauti nao.

kila mtu ameshajua chadema watafanya kila njia hili kumfukuza msando na msanso asirudi nyuma.

Chadema kuambiwa ukweli kwao ni kama kumkataza Dr.W.Slaa kukopa.
 
Last edited by a moderator:
haqhahahahahhah!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!111111
lait mngevuviwa nia ya kweli ya kuongoza hiuli taifa mngekuwa bora kweli...............katika maadui wakubwa niwaonao kwa sasa kwenye hii nchi CDM ni mmoja wapo.

kajipangen upya ila hata wa upinzani nwenzenu wanakerwa na mienendon yenu

Kaa kitako uandike vzr wewe"mngevuviwa" ndiyo nini? Bora kuwa adui wa siku moja kuliko kuwa adui wa miaka52,tunakoelekea nitakukosea heshima bure acha ni obey rules za JF......salute kwako
 
waambie hao.... naona ego za ujana zinawafanya wawe myopic

Mbali ya ego za ujana hawa jamaa are malicious and they're out to destroy Chadema but funny thing is wako so disorganized hadi this has turned into a childish game. Tunaicheza wanavyotaka wao tutawajibu pale wanapotoka kijinga kutaka kuaminisha vitu visivyokuwepo
MO yao inajulikana kabisa
 
Mh.Msando leo umeonyesha Konfidensi ya juu kuliko,siku za nyuma UKIONGEA mbele ya watu unatetemeka tetemekaaaaa HONGERA SANA KWA HILO! Ila ulichoongea tu ni........ PU.MBA!
 
Yaani wewe na Ngosha NN mnasafishwa Bongo zenu na Chadema na nyie mnakubali? Khaaaa!!!!

Kwanza kwenda tu kuinama kwa sijui Tundu Lissu au Mnyika na kukinga kichwa chako KISWAFISHWE UBONGO na hao Ngosha na mwenzake Wantenda Ntuni Wang kinatia shaka sana uwezo wako wa kufikiri. Si mgome kusafishwa Bongo zenu? Mbona mie nilishagoma siku nyingi na wameshindwa kusafisha? Pana wakati walileta hadi VANISH, ikashindwa kazi kabisa na wakaachana na mie.

figure_18.jpg

Ishu inayonisumbua mimi ni kwamba hivi kwann nyie CDM mnataka kubrainwash watu?? yaani mwez wote huu ishu ni CDM na zitto wake basi, huyu akiita waandish wa habari huyu atakuja na slaa kapokelewa mara mbowe kasema hivi. Hivi tanzania hatuna mambo mengine ya kujadili badala ya kujadili kataaasisi kama ka CDM ambako kwanza mfumo wake tu wa kuiongoza hautofautian na mfumo wa kuongoza familia??

yaani inaboa sana kila saa cdm cdm bora hata dua la Nyani Ngabu lifike kwamba mpotee wote kwenye uso wa dunia kisha mrudi mkiwa na akili tofauti kidogo

AHHH, BARCELONA 3-0. Mie na Kichupa changu cha Gongo na Nyama pori yangu hapa inashuka bila tatizo kabisa. Chelsea nako poa.
 
Back
Top Bottom