Albert Msando apotoka tena

Albert Msando apotoka tena

Msando nafikiri ni mtandao wa mafreemason, unakumbuka nyaga mawalla alivyowaua watu wengi sana

Mungi! dah! ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia hapo, hatushangai ndio jamii ile ile ya kina Lema,Msigwa na Sugu
 
Mwaikenda,

1. Kutetea utawala wa Sheria na tafsiri sahihi ya Katiba yetu ni kubomoa chama? Ndio mimi ni Diwani lakini itakuwa ajabu sana kusema kwamba kumtetea Zitto lazima nijiuzulu kwanza. Mimi sio mjumbe wa Kamati Kuu, Baraza Kuu wala Mkutano Mkuu. Mgongano wa maslahi unatoka wapi? Naweza vipi kuathiri maamuzi ya vikao hivyo?

2. Je marekebisho ya Kanuni ya 2013 yalijumuisha kwamba kukiwa na dharura utaratibu uliotajwa kwenye kipengele (a) usifuatwe? Kwa nini kipengele kilichoongezwa cha (d) kilitaja utaratibu ambao hautafuatwa ni ule wa (b) na (c) peke yake? Hilo unalielezeaje?

3. Kikao cha Kamati Kuu kilikuwa kikao cha dharura? Waraka husika ulikamatwa siku hiyo hiyo ya kikao au jana yake kwa hiyo ikabidi maamuzi ya dharura yafanyike?

Kama ilikuwa ghafla hivyo kwa nini asingesimamishwa uongozi, apewe mashtaka kama Kanuni inavyosema halafu asikilizwe kwa dharura na adhabu itolewe ya kumvua uongozi? Dharura sio haraka kaka.

4. Kupewa taarifa rasmi kwa maandishi na mwenendo kupelekwa Baraza Kuu ni taratibu ambazo lazima zikamilike ili muadhibiwa aweze kukata Rufaa. Ndio maana taarifa ya nia imetolewa ili taratibu hizo zikamilike. Hakuna niliposema nataka mwenendo wa shauri. Tunachotaka ni taarifa rasmi ya maamuzi.

5. Mwenendo unatakiwa umefika Baraza Kuu ndani ya siku 14 toka tarehe 22/11/2013. Je umefikishwa?

Tusijadili kwa jazba na hasira. Mimi kueleweshwa kwa hoja ni mwepesi sana. Fanya hivyo na kama uko sahihi nitaconcede. Lakini sitaconcede kisa tu utasema akili au uelewa wangu mdogo.

Ahsante.

Yaani we ka bwana mdogo unaidharirisha sana carrier yetu.....njaa sana wew 2015 ukiwa cdm nivurugwe mimi....nadhani mnaandaa mazingira ya chauma
 
Kaa kitako uandike vzr wewe"mngevuviwa" ndiyo nini? Bora kuwa adui wa siku moja kuliko kuwa adui wa miaka52,tunakoelekea nitakukosea heshima bure acha ni obey rules za JF......salute kwako

ona sasa kumbe hata kiswahili hujui halafu eti unataka madaraka............rudi kwenye kamusi yako kasome neno VUVIWA lina maana maana gani.

yaani kama ndo memba wa CDM hawa ambao hata pa kukosoa hawajui basi nakupa pole sana .............halafu eti unapita kushabikia CDM viroba na BOSS hivi vitawaua msipokuwa makini
 
Lakini tusimlaumu msando amepewa kazi Anapiga dili Kama wanasheria wengine Nakumbuka kwenyekesi ya Mh lema wakili wa maccm alikuwa nikaka yake na Lissu.
 
jf,

issue sio msando albert ni nani au kwa nini anatetea.

Issue ni rahisi natetea nini na utetezi wangu uko based kwenye nini.

1. Utaratibu wa kumvua zitto nyadhifa haukufuatwa.

2. Sababu zilizotolewa ni circumstantial. Hazijitoshelezi. Zote zinatokana na waraka wa mwigamba.

Kabla ya kutukana, kudharau na kukejeli yajadiliwe ninayoyasema na sio mimi.

Kama kijana, mwanachadema mwenye taaluma ya sheria nina wajibu kusema haya. Sasa nikosolewe makosa yangu kwa nafasi hizo tatu na sio vinginevyo.

Mpaka sasa hakuna mahali ambapo hoja inatolewa ya wapi sistahili kusemea. Jazba hazijengi wala kuelekeza njia sahihi kama lengo ni kujenga.

Ila kama nia ni kupiga story tu kumaliza siku ni sawa pia.

"wewe msando ni diwani wangu wa kata ya mabogini nakuomba uache kiherehere na shobo kwenye izo mambo ...njoo huku utekeleze ahadi zako....watu wamekuchoka huku toka tumekuchagua hujawai kuonekana katani....
Halafu nasikia unataka ubunge jimbo la moshi vijijini kwa taarifa yako umebuma"
by mpigakura wako
kata ya mabogini
 
Yaani wewe na Ngosha NN mnasafishwa Bongo zenu na Chadema na nyie mnakubali? Khaaaa!!!!

Kwanza kwenda tu kuinama kwa sijui Tundu Lissu au Mnyika na kukinga kichwa chako KISWAFISHWE UBONGO na hao Ngosha na mwenzake Wantenda Ntuni Wang kinatia shaka sana uwezo wako wa kufikiri. Si mgome kusafishwa Bongo zenu? Mbona mie nilishagoma siku nyingi na wameshindwa kusafisha? Pana wakati walileta hadi VANISH, ikashindwa kazi kabisa na wakaachana na mie.

figure_18.jpg

mimi nimepinga na nimesema abadan they will never wash my brain....................kila nikitafuta point kwao sion zaid ya kujaza watu na pumba, visasi na hasira zisizokuwa na maana kabisa.

niko imara kama lead
 
80% ya wanasiasa wa Tanzania wamevamia hii fani!Wengi hawana sifa za kuwa wanasiasa na chanzo kikuu cha tatizo hili ni ukosefu wa ajira zinazolipa kama siasa.Narudia tena,tatizo si ajira tu,bali ni ajira inayolipa vizuri kama siasa tena kwa muda mfupi plus kutaka "umaarufu".
 
Mwaikenda,

1. Kutetea utawala wa Sheria na tafsiri sahihi ya Katiba yetu ni kubomoa chama? Ndio mimi ni Diwani lakini itakuwa ajabu sana kusema kwamba kumtetea Zitto lazima nijiuzulu kwanza. Mimi sio mjumbe wa Kamati Kuu, Baraza Kuu wala Mkutano Mkuu. Mgongano wa maslahi unatoka wapi? Naweza vipi kuathiri maamuzi ya vikao hivyo?

2. Je marekebisho ya Kanuni ya 2013 yalijumuisha kwamba kukiwa na dharura utaratibu uliotajwa kwenye kipengele (a) usifuatwe? Kwa nini kipengele kilichoongezwa cha (d) kilitaja utaratibu ambao hautafuatwa ni ule wa (b) na (c) peke yake? Hilo unalielezeaje?

3. Kikao cha Kamati Kuu kilikuwa kikao cha dharura? Waraka husika ulikamatwa siku hiyo hiyo ya kikao au jana yake kwa hiyo ikabidi maamuzi ya dharura yafanyike?

Kama ilikuwa ghafla hivyo kwa nini asingesimamishwa uongozi, apewe mashtaka kama Kanuni inavyosema halafu asikilizwe kwa dharura na adhabu itolewe ya kumvua uongozi? Dharura sio haraka kaka.

4. Kupewa taarifa rasmi kwa maandishi na mwenendo kupelekwa Baraza Kuu ni taratibu ambazo lazima zikamilike ili muadhibiwa aweze kukata Rufaa. Ndio maana taarifa ya nia imetolewa ili taratibu hizo zikamilike. Hakuna niliposema nataka mwenendo wa shauri. Tunachotaka ni taarifa rasmi ya maamuzi.

5. Mwenendo unatakiwa umefika Baraza Kuu ndani ya siku 14 toka tarehe 22/11/2013. Je umefikishwa?

Tusijadili kwa jazba na hasira. Mimi kueleweshwa kwa hoja ni mwepesi sana. Fanya hivyo na kama uko sahihi nitaconcede. Lakini sitaconcede kisa tu utasema akili au uelewa wangu mdogo.

Ahsante.

Huko ulikokimbilia kwenye vyombo vya habari ni sehemu ya rufaa? Niambie wewe unayejiita mwanasheria ni kipengele kipi katika katiba ya Chadema kinachomruhusu mtu aliyeonewa kukata rufaa kwenye vyombo vya habari?
 
Mwaikenda,

1. Kutetea utawala wa Sheria na tafsiri sahihi ya Katiba yetu ni kubomoa chama? Ndio mimi ni Diwani lakini itakuwa ajabu sana kusema kwamba kumtetea Zitto lazima nijiuzulu kwanza. Mimi sio mjumbe wa Kamati Kuu, Baraza Kuu wala Mkutano Mkuu. Mgongano wa maslahi unatoka wapi? Naweza vipi kuathiri maamuzi ya vikao hivyo?

2. Je marekebisho ya Kanuni ya 2013 yalijumuisha kwamba kukiwa na dharura utaratibu uliotajwa kwenye kipengele (a) usifuatwe? Kwa nini kipengele kilichoongezwa cha (d) kilitaja utaratibu ambao hautafuatwa ni ule wa (b) na (c) peke yake? Hilo unalielezeaje?

3. Kikao cha Kamati Kuu kilikuwa kikao cha dharura? Waraka husika ulikamatwa siku hiyo hiyo ya kikao au jana yake kwa hiyo ikabidi maamuzi ya dharura yafanyike?

Kama ilikuwa ghafla hivyo kwa nini asingesimamishwa uongozi, apewe mashtaka kama Kanuni inavyosema halafu asikilizwe kwa dharura na adhabu itolewe ya kumvua uongozi? Dharura sio haraka kaka.

4. Kupewa taarifa rasmi kwa maandishi na mwenendo kupelekwa Baraza Kuu ni taratibu ambazo lazima zikamilike ili muadhibiwa aweze kukata Rufaa. Ndio maana taarifa ya nia imetolewa ili taratibu hizo zikamilike. Hakuna niliposema nataka mwenendo wa shauri. Tunachotaka ni taarifa rasmi ya maamuzi.

5. Mwenendo unatakiwa umefika Baraza Kuu ndani ya siku 14 toka tarehe 22/11/2013. Je umefikishwa?

Tusijadili kwa jazba na hasira. Mimi kueleweshwa kwa hoja ni mwepesi sana. Fanya hivyo na kama uko sahihi nitaconcede. Lakini sitaconcede kisa tu utasema akili au uelewa wangu mdogo.

Ahsante.

Afu we msando tunakumind hapa Mabogini kudadeki toka tumekuchagua hujawai kurudi na ukirudi unaenda kwa mama ako mama mwaria Chekereni kamsalimia....
Afu unajidai unataka ubunge wa moshi vijijini safari hii ata ukigombea serikali za mitaa 2014 hupewi hata uenyekiti wa kijiji chako cha chekereni..
KUMBUKA AHADI NI DENI....
TUTAONANA 2015.
 
Kama wameshindwa, basi achana nao tu. Hii ni dunia huru, hutaki unaacha. Ukianza kulalamika, naona kama wameanza kukusafisha na wewe..... Kama bado ziko sawa basi karibu sana Gongo langu, nililotengeneza mwenywe.....

Mtambo-wa-kutengeneza-pombe-aina-ya-gongo.jpg

mimi nimepinga na nimesema abadan they will never wash my brain....................kila nikitafuta point kwao sion zaid ya kujaza watu na pumba, visasi na hasira zisizokuwa na maana kabisa.

niko imara kama lead
 
Mwaikenda,

1. Kutetea utawala wa Sheria na tafsiri sahihi ya Katiba yetu ni kubomoa chama? Ndio mimi ni Diwani lakini itakuwa ajabu sana kusema kwamba kumtetea Zitto lazima nijiuzulu kwanza. Mimi sio mjumbe wa Kamati Kuu, Baraza Kuu wala Mkutano Mkuu. Mgongano wa maslahi unatoka wapi? Naweza vipi kuathiri maamuzi ya vikao hivyo?

2. Je marekebisho ya Kanuni ya 2013 yalijumuisha kwamba kukiwa na dharura utaratibu uliotajwa kwenye kipengele (a) usifuatwe? Kwa nini kipengele kilichoongezwa cha (d) kilitaja utaratibu ambao hautafuatwa ni ule wa (b) na (c) peke yake? Hilo unalielezeaje?

3. Kikao cha Kamati Kuu kilikuwa kikao cha dharura? Waraka husika ulikamatwa siku hiyo hiyo ya kikao au jana yake kwa hiyo ikabidi maamuzi ya dharura yafanyike?

Kama ilikuwa ghafla hivyo kwa nini asingesimamishwa uongozi, apewe mashtaka kama Kanuni inavyosema halafu asikilizwe kwa dharura na adhabu itolewe ya kumvua uongozi? Dharura sio haraka kaka.

4. Kupewa taarifa rasmi kwa maandishi na mwenendo kupelekwa Baraza Kuu ni taratibu ambazo lazima zikamilike ili muadhibiwa aweze kukata Rufaa. Ndio maana taarifa ya nia imetolewa ili taratibu hizo zikamilike. Hakuna niliposema nataka mwenendo wa shauri. Tunachotaka ni taarifa rasmi ya maamuzi.

5. Mwenendo unatakiwa umefika Baraza Kuu ndani ya siku 14 toka tarehe 22/11/2013. Je umefikishwa?

Tusijadili kwa jazba na hasira. Mimi kueleweshwa kwa hoja ni mwepesi sana. Fanya hivyo na kama uko sahihi nitaconcede. Lakini sitaconcede kisa tu utasema akili au uelewa wangu mdogo.

Ahsante.

Zito anawachezea sana vijana!
 
Mbona mashitaka ya zitto tulifahamishwa kupitia press conference ya slaa, Lissu na Mnyika? Au tatizo lako ni serena? Kesi ya Zitto ni public issue.
Pili katiba ya chadema sio siri, kwa nini baadhi ya watu hamtaki ijadiliwe hadharani, kuna nini cha kuficha?

Tulizana Mkuu
Akina Mnyika walikuwa wanatoa taarifa na ufafanuzi wa yaliyosemwa na kina Zitto hawakutoa mashtaka wala madai hata baada ya kikao cha Kamati kuu ilitolewa taarifa ya kuvuliwa uongozi mabwana wale na si kingine
Tukija kwa hawa mabwana wao ni as if wanajibu mashtaka kwa public ambayo haikuwepo kwenye Kamati Kuu. Halafu tofautisha mamlaka ya akina Mnyika na hao mabwana
 
Wana Jf,

Naomba ieleweke kuwa Katiba ya CHADEMA toleo la mwaka 2006 ndiyo msingi mkubwa wa kuendesha taasisi. Ufafanuzi uliotolewa leo kwa vyombo vya habari na Wakili Albert Msando ni upotoshaji mkubwa wa Katiba ya Chadema na hii inatokana na aidha uelewa mdogo wa Katiba hiyo na/ au ni makusudi kwa malengo ya huyo anayedai kumwakilisha.

Upotoshaji huo ni kama ufuatayo;

Mosi, hatua iliyochukuliwa Kamati Kuu kumsimamisha uongozi huyo anayedai kumwakilisha ilifikiwa kwa lengo moja tu la kunusuru Chama kama hatua ya dharura kwa mujibu wa ibara ya 6.5.2 ya Kanuni za Uendeshaji Kazi za Chama pamoja na marekebisho ya mwaka 2013 ili kuruhusu utaratibu wa kinidhamu wa kawaida kwa mujibu wa Katiba na Kanuni.
Itakuwa ni taasisi ya ajabu ambayo itasubiri madhara makubwa ya uharamia uliokuwa unataka kufanyika alafu Kamati Kuu kama chombo cha kusimamia utendaji wa Sekretarieti ikae kimya alafu wahaini waendelee kuutumia mwanya wa kikanuni kuharibu na kuathiri taasisi nzima. Hata hivyo Kanuni ipo kimya kuhusu dhana ya dharura, lakini kisheria dharura ni kutokana hali husika katika wakati huo au kutokana na mazingira yaliyopo (Prevailing circumstance).

Pili, kuhusu kupatiwa taarifa kamili ya mwenendo wa kikao cha Kamati Kuu kama ambavyo amedai kuwa mpaka sasa yeye na huyo anayemwakilisha hawajapokea, amepotoka kabisa. Kanuni aliyonukuu ambayo ni ibara ya 6.5.10 ya Kanuni za Uendeshaji kazi za Chama inatamka kuwa taarifa kamili ya mwenendo itawasilishwa kwenye kikao cha juu. Suala hapa ni je Msando amekuwa kikao cha ngazi ya juu pamoja huyo anayedai kumwakilisha?


Tatu, kuhusu anayedai kumwakilisha kutotajwa kwenye Waraka wa uhaini na hivyo kutokuwa na makosa ni jambo ambalo linaingia kwenye maudhui na hoja ambazo anayedai kumwakilisha anatakiwa kuzijibu katika muda aliopewa na kikao cha Kamati Kuu na hivyo hatua yake ya kukimbilia kwenye vyombo vya habari ni aina ya utoto na kutaka msamaha/huruma ya umma (public sympathy) na kuendeleza mjadala usio na tija kwa vyombo vya habari.


Nne, Wakili Msando ameshindwa kutoa dhana ya anayedai kumwakilisha kupewa mashtaka na kutakiwa kujibu ndani ya siku 14. Je haikidhi matakwa ya kikanuni kama alivyoainisha?


Tano, anayedai kumwakilisha anakwepa kujibu tuhuma 11 zilizoainishwa katika hati ya mashtaka ili baada ya maamuzi, na kama hataridhika na maamuzi akate rufaa.


Sita, itakuwa ni taasisi ya ajabu ambayo inaona hujuma kubwa dhidi yake alafu iache kuchukua hatua za dharura kujinusuru.


Saba, Ibara ya 5.4.3 na 5.4.4 ya Katiba ya Chama toleo la mwaka 2006 ikisomwa pamoja na marekebisho ya Kanuni za Uendeshaji Kazi za Chama ya mwaka 2013, vifungu vyote hivyo vinazungumzia hatua za kuvuliwa uanachama. Ikumbukwe kuwa hatua zilizochukuliwa ni za kiuongozi na sio kumvua uanachama huyo anayemwakilisha. Hata hivyo hati ya mashtaka pamoja na agizo la kujibu ndani ya siku 14 imekidhi utaratibu wa kikanuni kama anavyodai wewe.


Nane, ieleweke kuwa Wakili Msando ni Diwani wa CHADEMA katika akiwakilisha Kata ya Mabogini huko Moshi. Naomba arejee Kanuni za Madiwani ibara ya 5.0 (d) ambayo naomba kuinukuu "Diwani anawajibika kutumia hadhi, uwezo, wadhfa na nafasi aliyonayo kama Diwani kukijenga Chama ndani na nje ya Halmashauri". Kama Wakili naamini anajua hatua za kuchukua akiendelea kukomalia suala hili, nimkumbushe tu kuwa anatakiwa ajiuzulu hiyo nafasi ili kuondoa mgongano wa kimaslahi na afanye kazi yake ya uwakili kama anataka kuendelea na kushiriki kupinga maamuzi ya Kamati Kuu.


Naomba kuwasilisha.


Mwaikenda

NAOMBA NIKUJIBU KWENYE HIYO RANGI YA UGOLO yenye kuzungumzia udharula wa kuchukua maamuzi na haki ya kusikilizwa. Hizo hoja zingine ulizoziibua hazina mashiko na ziko kiushabiki zaidi kuliko "kweli"


a) Kujulishwa makosa yake kwa maandishi na kutakiwa kutoa majibu katika muda usiopungua wiki mbili.

b) Kupewa nafasi ya kujitetea mbele ya kikao kinachohusika.

c) Mwanachama atajulishwa kwa maandishi uamuzi wa kikao mnamo wiki mbili baada ya kusikilizwa.

d) Kamati Kuu inaweza kuchukua hatua za dharura bila kuzingatia utaratibu (b), (c) hapo juu kama itaona maslahi ya Chama kwa ujumla yanaweza kuathiriwa isipokuwa mwanachama au kiongozi anayelalamikiwa atalazimika kuitwa kwenye kikao husika.


Udharula wa kipengere "d" unauwezo na mamlaka ya kuvunja vipengere "b" na "c" iliyokwenye maandishi ya bluu, lakini kipengere "a" hakijatajwa kwenye kipengere "d" kama kinaweza kuvunjwa na hicho kipengere "d". hicho kipengere "a" ndio msingi wa haki ya kusikilizwa bila kipengere "a" hiyo katiba itakuwa inatoa fursa kwa watu wenye chuki binafsi kama Lema na Msigwa kufukuza wenzao hovyo kila wanapojisikia.


Tena tukizingatia wahusika waliomba kujiuzulu lakini Tundu Lissu kwa kujifanya anajua zaidi au huenda kwa kutumika kwake bila kujua akatoa hoja ya watuhumiwa kuvuliwa nyadhifa zao, basi kuvuliwa huko kwa nyadhifa kunahesabika ni adhabu au hatua za kinidhamu ambazo kwa kutii takwa la kifungu "a" ilibidi zichukuliwe mara baada ya wahusika kupewa mashtaka yao kwa maandishi na kisha wayajibu ndani ya wiki mbili.



Zitto kasomewa mashtaka badala ya kupewa kwa maandishi, lakini mbaya zaidi kasomewa mashtaka siku moja na siku hiyohiyo kajitetea na siku hiyohiyo hukumu ikatolewa kwa wahusika kuvuliwa nyadhifa zao. Hivi kweli huu ndio utawala wa sheria? au hii ni sheria ya wapi? hii ndio demokrasia ya chama chetu cha CHADEMA.


Mbowe kama Lipumba, kwa uongozi wake shupavu ameipaisha CUF na kwa kung'ang'ania madaraka kumeishusha CUF. Maamuzi haya ya kibabe ya kamati kuu kwa vyovyote vile ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati wa Mbowe kubaki madarakani kwa kumvunja mbawa mtia nia. Kutangazwa kwa ratiba na tarehe ya uchaguzi siku chache mara baada ya maamuzi haya kibabe ni kiashiria tosha cha maamuzi yale ya kamati kuu ni sehemu ya utekelezaji wa mpango wa mbowe kugombea bila kupingwa na Zitto. Sababu ni ajabu kwa Mwenyekiti na mwanademokrasia kubariki maamuzi haya ya kibabe na yenye kukiuka misingi ya kikatiba na ya haki ya kusikilizwa.


Nia njema huja sanjari na maumivu lakini nia ovu hukabiliwa kwa ustahamilivu, usishue chombo ili hali maji yajaa lakini unaweza kutengeneza kupwa kwa maji, kila jambo lina wakati wake lakini wakati unawezwa kutengenezwa pia, na kivuno cha mdudu chungu leo, kesho huenda ndio shibe yako, naomba haya Zitto Kabwe ayajue na yawe sehemu ya maisha yake.


Pole Zitto Zuberi Kabwe yote yana mungu, dunia ni hino hino, waja na ada zao ni wale wale tandu Adamu {a.s} hadi kwa Muhamad{s.a.w}, kwahivyo hayana budi kuwa midhali ungali chini ya jua. Tema mate chini ili waja waendelee kujilisha upepo kwa kudhani watashibisha matumbo yao yenye njaa ya tamaa, uchu na ung'ang'anizi wa madaraka wenye lengo la kufuta alama chafu za uongozi wao zilizochorwa kwa kalamu ya moto kwenye chuma cha pua.


Wakoloni waliwaita wapigania uhuru waahini na wachochezi, CCM inaimba wimbo kama huo wa kikoloni, lakini la ajabu baadhi ya viongozi wa CHADEMA, aidha kwakuwa watu walioshika mpini hulka zao hufanana au kigeugeu hakina mji wao, nao wameanza kuwaita wapinzani wao katika kuwania uongozi na wakosoaji wao kuwa ni wasaliti, mamluki na kubwa zaidi ni waahini kama vile CHADEMA ni dola kumbe ni chama tu cha siasa.


Njano5.
0655345394
 
Tulizana Mkuu
Akina Mnyika walikuwa wanatoa taarifa na ufafanuzi wa yaliyosemwa na kina Zitto hawakutoa mashtaka wala madai hata baada ya kikao cha Kamati kuu ilitolewa taarifa ya kuvuliwa uongozi mabwana wale na si kingine
Tukija kwa hawa mabwana wao ni as if wanajibu mashtaka kwa public ambayo haikuwepo kwenye Kamati Kuu. Halafu tofautisha mamlaka ya akina Mnyika na hao mabwana

mbona Dr.Slaa ali-like Zitto kuitwa MLA RUSHWA MKUBWA humu JF, mbona Rema na Msigwa wanatumia media kwa mambo yaliyoamriwa na kutolewa uamuzi na kamati kuu? Haya matamko ya CHASO lengo lake si kuathiri MAAMUZI YA KIKAO CHA KAMATI KUU KIJACHO? iweje sasa kwa Zitto iwe nongwa? Zitto kamati kuu ataijibu na rufaa ataikata lkn pia watanzania wana haki ya kujua kinachoendela ukizingatia MATAMKO YANAYOTOLEWA NA CHASO, YA AKINA MSIGWA, REMA na WENGINE, SASA MNATAKA WATU WAPATE HABARI ZA UPANDE MMOJA TU????
 
Imekuwa kama mashindano ya kujipatia publicity.

Leo hicho kiwakili Msando kimeitisha presser...hamna lolote la maana kilichozungumzia. Hakuna jipya zaidi ya kutafuta kiki.

Kesho ama keshokutwa akina Mnyika nao wataitisha presser. Hamna ya maana watakayoongea.

Ili mradi ni vurugu tu na nani anapata airtime.

I'm so sick of them.

Presser ndo kitu gani mkuu? Samahani lakini.
 
Mi sikulahum hata kidogo kaka Albet Msando, sababu najua wewe ni mwema tu.

Lakini tatizo ni nyoka au joka moia lenye sumu kali linaloitwa Zitto yaani tukisahtimua hili na kuliponda kichwa amani itarudi ndani ya nyumba.

Zitto is an enemy of the people.
 
Last edited by a moderator:
80% ya wanasiasa wa Tanzania wamevamia hii fani!Wengi hawana sifa za kuwa wanasiasa na chanzo kikuu cha tatizo hili ni ukosefu wa ajira zinazolipa kama siasa.Narudia tena,tatizo si ajira tu,bali ni ajira inayolipa vizuri kama siasa tena kwa muda mfupi plus kutaka "umaarufu".

hahaha unamaanisha kina Saanane na Mtella? Tatizo la ajira ni BOMU.
 
timing,

wakati mchakato wa kuwajibishana ukiwa unaendelea kikanuni na kikatiba busara ni kuwa upotoshaji wowote wenye athari kichama ni lazima ujibiwe na mamlaka husika au wapenzi na wafuasi wa chama na hata wanataaluma ambao hawana chama .

Upotoshaji haupaswi kuendelea na kuharibu taswira ya chama kama chadema ambacho kimebeba dhamaba kubwa ya watanzania katika kusukuma mabadiliko

chama kikikaa kimya wakati shughuli ya kukichafua na kuzusha kila aina ya uongo basi hakitakua chama serious na hata dhamana waliyopewa hawatakua wameiheshimu

kazi uliyopewa na tiss ya kuiua chadema inaisha lini ??
 
Last edited by a moderator:
Huko ulikokimbilia kwenye vyombo vya habari ni sehemu ya rufaa? Niambie wewe unayejiita mwanasheria ni kipengele kipi katika katiba ya Chadema kinachomruhusu mtu aliyeonewa kukata rufaa kwenye vyombo vya habari?
Mkuu acha kujifanya chizi.
 
Back
Top Bottom