Albert Msando apotoka tena

Albert Msando apotoka tena

JF,

Issue sio Msando Albert ni nani au kwa nini anatetea.

Issue ni rahisi natetea nini na utetezi wangu uko based kwenye nini.

1. Utaratibu wa kumvua Zitto nyadhifa haukufuatwa.

2. Sababu zilizotolewa ni circumstantial. Hazijitoshelezi. Zote zinatokana na waraka wa Mwigamba.

Kabla ya kutukana, kudharau na kukejeli yajadiliwe ninayoyasema na sio mimi.

Kama kijana, mwanachadema mwenye taaluma ya Sheria nina wajibu kusema haya. Sasa nikosolewe makosa yangu kwa nafasi hizo tatu na sio vinginevyo.

Mpaka sasa hakuna mahali ambapo hoja inatolewa ya wapi sistahili kusemea. Jazba hazijengi wala kuelekeza njia sahihi kama lengo ni kujenga.

Ila kama nia ni kupiga story tu kumaliza siku ni sawa pia.

Matendo mabovu ya Zitto yalianza kabla hata ya waraka kukamatwa, mkuu hebu fumbua macho kidogo. Transaction za hela alizofanya, maongezi ya mitandao na msg vilikuwa ni ushahidi.

Hivi unazijua kazi za Udiwani??
 
Mwaikenda,

1. Kutetea utawala wa Sheria na tafsiri sahihi ya Katiba yetu ni kubomoa chama? Ndio mimi ni Diwani lakini itakuwa ajabu sana kusema kwamba kumtetea Zitto lazima nijiuzulu kwanza. Mimi sio mjumbe wa Kamati Kuu, Baraza Kuu wala Mkutano Mkuu. Mgongano wa maslahi unatoka wapi? Naweza vipi kuathiri maamuzi ya vikao hivyo?

2. Je marekebisho ya Kanuni ya 2013 yalijumuisha kwamba kukiwa na dharura utaratibu uliotajwa kwenye kipengele (a) usifuatwe? Kwa nini kipengele kilichoongezwa cha (d) kilitaja utaratibu ambao hautafuatwa ni ule wa (b) na (c) peke yake? Hilo unalielezeaje?

3. Kikao cha Kamati Kuu kilikuwa kikao cha dharura? Waraka husika ulikamatwa siku hiyo hiyo ya kikao au jana yake kwa hiyo ikabidi maamuzi ya dharura yafanyike?

Kama ilikuwa ghafla hivyo kwa nini asingesimamishwa uongozi, apewe mashtaka kama Kanuni inavyosema halafu asikilizwe kwa dharura na adhabu itolewe ya kumvua uongozi? Dharura sio haraka kaka.

4. Kupewa taarifa rasmi kwa maandishi na mwenendo kupelekwa Baraza Kuu ni taratibu ambazo lazima zikamilike ili muadhibiwa aweze kukata Rufaa. Ndio maana taarifa ya nia imetolewa ili taratibu hizo zikamilike. Hakuna niliposema nataka mwenendo wa shauri. Tunachotaka ni taarifa rasmi ya maamuzi.

5. Mwenendo unatakiwa umefika Baraza Kuu ndani ya siku 14 toka tarehe 22/11/2013. Je umefikishwa?

Tusijadili kwa jazba na hasira. Mimi kueleweshwa kwa hoja ni mwepesi sana. Fanya hivyo na kama uko sahihi nitaconcede. Lakini sitaconcede kisa tu utasema akili au uelewa wangu mdogo.

Ahsante.

Hivi wewe ni Mwanasheria kweli?
Hivi wewe ni Mwanachadema na kiongozi anayetokana na chadema kweli?

Kama ni kweli mbona umevunja kanuni za chama kwa kuyaongelea yale uliyokwenda kuyaropoka serena hotel?

Ulishindwa nini kuyazungumzia mahali panapotakiwa?

Halafu unaweza kutuambia kuwa mna uhusiano gani na uvccm maana kila kitu walikuwa wanaratibu kuhusu mikutano yenu?

Msando usitufundishe ujinga wewe ni msanii...... nimegundua wewe ni mwanasheria asiyejua sheria........
 
Kweli wewe ni Tatizo.Yaani huoni kuitisha Press na kuropoka mashtaka ya huyo msaliti wako umeivunjia heshima Kamati Kuu?

Acha pumba nyie wanywa vroba wa ufpa mna matatzo ndio mnamwalka mwkt wenu mbowe ubungo landmark tayar kwa kumpa uenyekti tena sio uwakili ni kaz si kunywa vroba au kutembea na sumu
 
Ben:

1. Ni nini ambacho nimepotosha?

2. Ni kashfa gani nimetoa dhidi ya chama?

3. Ni uzushi gani nimefanya dhidi ya chama?

Hillarious Indeed......!

So,Ukiulizwa kama Mwanasheria ni wapi nilipokutaja kweli utaleta majibu ya kuridhisha zaidi ya hisia na rhetoric hogwash!??
 
JF,

Issue sio Msando Albert ni nani au kwa nini anatetea.

Issue ni rahisi natetea nini na utetezi wangu uko based kwenye nini.

1. Utaratibu wa kumvua Zitto nyadhifa haukufuatwa.

2. Sababu zilizotolewa ni circumstantial. Hazijitoshelezi. Zote zinatokana na waraka wa Mwigamba.

Kabla ya kutukana, kudharau na kukejeli yajadiliwe ninayoyasema na sio mimi.

Kama kijana, mwanachadema mwenye taaluma ya Sheria nina wajibu kusema haya. Sasa nikosolewe makosa yangu kwa nafasi hizo tatu na sio vinginevyo.

Mpaka sasa hakuna mahali ambapo hoja inatolewa ya wapi sistahili kusemea. Jazba hazijengi wala kuelekeza njia sahihi kama lengo ni kujenga.

Ila kama nia ni kupiga story tu kumaliza siku ni sawa pia.

Kwahiyo Alberto JF ndiyo referral court ya Chama chako kilichokupa udiwani?


Never expected this from you aise!
 
Msando ngoja tuone wewe ZZK, Kitila na Mwigamba VS chama sisi wanachama nani mshindi. Tumesema hatumtaki mteja wako, hatukutaki wewe na hatutaki lolote kutoka kwenu. Mnakifanya sasa sio utetezi ni kampeni ya kuibomoa CDM. Kama diwani unajua vizuri sana maelezo sio sehemu ya kuwasilisha utetezi wa wateja wako. Unachokifanya ni siasa na unatumika ama wewe ndio MM2. Ninaamini kabisa wewe ni masalia group. Eti wasomi wenye uchu mnataka kupindua chama. Mtasoma namba.

Sijui Viongozi Kanda ya Kaskazini wanasubiri nini kufukuza huyu Masalia mara moja!
 
Na wewe usidandie hii kwa sababu unahisi atakua mpinzani wako huko Moshi Vijijini .Suala la idadi ya wanawake hapa halina mantiki.Jifunze debate acha ushamba wa Kisiasa.

Ben, mimi ni mjasiriamali. Siasa napenda kuzifuatilia tu. Na mimi sio Kiongozi na wala sina nia ya uongozi. One day you will get to know me.
 
Msando ngoja tuone wewe ZZK, Kitila na Mwigamba VS chama sisi wanachama nani mshindi. Tumesema hatumtaki mteja wako, hatukutaki wewe na hatutaki lolote kutoka kwenu. Mnakifanya sasa sio utetezi ni kampeni ya kuibomoa CDM. Kama diwani unajua vizuri sana maelezo sio sehemu ya kuwasilisha utetezi wa wateja wako. Unachokifanya ni siasa na unatumika ama wewe ndio MM2. Ninaamini kabisa wewe ni masalia group. Eti wasomi wenye uchu mnataka kupindua chama. Mtasoma namba.

Upo sahihi, hawa ni marafiki wa muda toka chuo, nadahni emotion imetumika katika hili. Hata kama utetezi wake ni sahihi na taratibu hazikufuatwa alichofanya ZZK ni uhaini hatumtaki amepoteza Credibility haaminiki tena hana Busara hayupo tayari kuvumilia na kuonekana kashindwa kwa lolote anataka kuwa top of all things kifupi kalewa sifa tulizompa,na hata angepokwa hayo madaraka bila hata kupitia kikao chochote ilikuwa sawa tu.
 
Why are you taking it public kama wewe ni mwanachama na mbali ya hapo ni diwani hujui taratibu za chama kweli? Serena Hotel imekuwa sehemu ya mamlaka za chama hadi ujitokeze kila siku kwenye hadhara
Unaonekana mtoto kweli aisee
waambie hao.... naona ego za ujana zinawafanya wawe myopic
 
Msando usitufundishe ujinga wewe ni msanii...... nimegundua wewe ni mwanasheria asiyejua sheria........

I don't wanna call him a shyster, but hey, if it looks like a duck, walks like a duck, and quacks like a duck, then it's probably a duck, right...?
 
JF,

Issue sio Msando Albert ni nani au kwa nini anatetea.

Issue ni rahisi natetea nini na utetezi wangu uko based kwenye nini.

1. Utaratibu wa kumvua Zitto nyadhifa haukufuatwa.

2. Sababu zilizotolewa ni circumstantial. Hazijitoshelezi. Zote zinatokana na waraka wa Mwigamba.

Kabla ya kutukana, kudharau na kukejeli yajadiliwe ninayoyasema na sio mimi.

Kama kijana, mwanachadema mwenye taaluma ya Sheria nina wajibu kusema haya. Sasa nikosolewe makosa yangu kwa nafasi hizo tatu na sio vinginevyo.

Mpaka sasa hakuna mahali ambapo hoja inatolewa ya wapi sistahili kusemea. Jazba hazijengi wala kuelekeza njia sahihi kama lengo ni kujenga.

Ila kama nia ni kupiga story tu kumaliza siku ni sawa pia.

Msando,

1. Kanuni ya 10.1 (xi) ya Kanuni za Uendeshaji kazi za Chama inasema hivi naomba kunukuu " Kiongozi anatakiwa kutii na kutimiza maagizo anayopewa na viongozi wa ngazi ya juu au vikao halali na kama hakubaliani na maagizo hayo aeleze hivyo kwa kupitia taratibu na ngazi zilizowekwa kwenye Kanuni" mwisho wa kunukuu. Je Serena Hotel ni ngazi gani ya kikao cha Chama katika Katiba unayodai kuitetea? Wewe ni Kiongozi wa Kata wa Chama kwa mujibu wa Katiba, jipime.

2. Sababu zilizotolewa mngezijibu kwanza na kusubiri kikao husika ndipo mkate rufaa lakini kabla ya hatua mnazotaka tayari mmekimbilia Serena, Childish strategy and lack of confidence.

3. Kama sababu hazijitoshelezi je zinakosa uhalali wa kuwa sababu? ulitaka zijitosheleze kwa namna gani? Beyond reasonable doubt? utoto

4. Chadema wanasheria ni wengi mkuu. Do your home work
 
Matendo mabovu ya Zitto yalianza kabla hata ya waraka kukamatwa, mkuu hebu fumbua macho kidogo. Transaction za hela alizofanya, maongezi ya mitandao na msg vilikuwa ni ushahidi.

Hivi unazijua kazi za Udiwani??

Wewe nawe naona unapata mahali pa kuleta siasa zako za majitaka kwa ajili ya ubunge Moshi Vijijini.Anzisha thread yake achana na hii unataka kujifanya mwanachadema ma una uchungu na Chadema kumbe unamaslahi binafsi.

Acha kuwa opportunist.Mambo yako ya ubunge kamalizane huko Moshi vijijini maana nawe unaweza kuulizwa kama unafahamu kazi hicho cheo chako ndani ya chama chako hapo Kilimanjaro halafu ukaishia kung'aa macho na kuharibu mjadala

Kuwa mstaarabu!
 
Hivi wewe ni Mwanasheria kweli?
Hivi wewe ni Mwanachadema na kiongozi anayetokana na chadema kweli?

Kama ni kweli mbona umevunja kanuni za chama kwa kuyaongelea yale uliyokwenda kuyaropoka serena hotel?

Ulishindwa nini kuyazungumzia mahali panapotakiwa?

Halafu unaweza kutuambia kuwa mna uhusiano gani na uvccm maana kila kitu walikuwa wanaratibu kuhusu mikutano yenu?

Msando usitufundishe ujinga wewe ni msanii...... nimegundua wewe ni mwanasheria asiyejua sheria........

Vijana wa UVCCM ndiyo walikuwa wanaratibu huo Mkutano!
 
Mkuu Msando
Sheria umesomea wapi mbona hili liko wazi

Kama mwanasheria naamini anajua hatua za kuchukua akiendelea kukomalia suala hili, nimkumbushe tu kuwa anatakiwa ajiuzulu hiyo nafasi ili kuondoa mgongano wa kimaslahi na afanye kazi yake ya uwakili kama anataka kuendelea na kushiriki kupinga maamuzi ya Kamati Kuu.-Wewe ni wakufukuzwa pia
 
Mwaikenda,

1. Kutetea utawala wa Sheria na tafsiri sahihi ya Katiba yetu ni kubomoa chama? Ndio mimi ni Diwani lakini itakuwa ajabu sana kusema kwamba kumtetea Zitto lazima nijiuzulu kwanza. Mimi sio mjumbe wa Kamati Kuu, Baraza Kuu wala Mkutano Mkuu. Mgongano wa maslahi unatoka wapi? Naweza vipi kuathiri maamuzi ya vikao hivyo?

2. Je marekebisho ya Kanuni ya 2013 yalijumuisha kwamba kukiwa na dharura utaratibu uliotajwa kwenye kipengele (a) usifuatwe? Kwa nini kipengele kilichoongezwa cha (d) kilitaja utaratibu ambao hautafuatwa ni ule wa (b) na (c) peke yake? Hilo unalielezeaje?

3. Kikao cha Kamati Kuu kilikuwa kikao cha dharura? Waraka husika ulikamatwa siku hiyo hiyo ya kikao au jana yake kwa hiyo ikabidi maamuzi ya dharura yafanyike?

Kama ilikuwa ghafla hivyo kwa nini asingesimamishwa uongozi, apewe mashtaka kama Kanuni inavyosema halafu asikilizwe kwa dharura na adhabu itolewe ya kumvua uongozi? Dharura sio haraka kaka.

4. Kupewa taarifa rasmi kwa maandishi na mwenendo kupelekwa Baraza Kuu ni taratibu ambazo lazima zikamilike ili muadhibiwa aweze kukata Rufaa. Ndio maana taarifa ya nia imetolewa ili taratibu hizo zikamilike. Hakuna niliposema nataka mwenendo wa shauri. Tunachotaka ni taarifa rasmi ya maamuzi.

5. Mwenendo unatakiwa umefika Baraza Kuu ndani ya siku 14 toka tarehe 22/11/2013. Je umefikishwa?

Tusijadili kwa jazba na hasira. Mimi kueleweshwa kwa hoja ni mwepesi sana. Fanya hivyo na kama uko sahihi nitaconcede. Lakini sitaconcede kisa tu utasema akili au uelewa wangu mdogo.

Ahsante.

komaa nao hao. ikishindikana tukutane kisutu
 
Msando,

1. Kanuni ya 10.1 (xi) ya Kanuni za Uendeshaji kazi za Chama inasema hivi naomba kunukuu " Kiongozi anatakiwa kutii na kutimiza maagizo anayopewa na viongozi wa ngazi ya juu au vikao halali na kama hakubaliani na maagizo hayo aeleze hivyo kwa kupitia taratibu na ngazi zilizowekwa kwenye Kanuni" mwisho wa kunukuu. Je Serena Hotel ni ngazi gani ya kikao cha Chama katika Katiba unayodai kuitetea? Wewe ni Kiongozi wa Kata wa Chama kwa mujibu wa Katiba, jipime.

2. Sababu zilizotolewa mngezijibu kwanza na kusubiri kikao husika ndipo mkate rufaa lakini kabla ya hatua mnazotaka tayari mmekimbilia Serena, Childish strategy and lack of confidence.

3. Kama sababu hazijitoshelezi je zinakosa uhalali wa kuwa sababu? ulitaka zijitosheleze kwa namna gani? Beyond reasonable doubt? utoto

4. Chadema wanasheria ni wengi mkuu. Do your home work

Duh Mkuu Mwaikenda,

Hii ni paranoid .Ni desperation isiyo kifani
 
JF,

Issue sio Msando Albert ni nani au kwa nini anatetea.

Issue ni rahisi natetea nini na utetezi wangu uko based kwenye nini.

1. Utaratibu wa kumvua Zitto nyadhifa haukufuatwa.

2. Sababu zilizotolewa ni circumstantial. Hazijitoshelezi. Zote zinatokana na waraka wa Mwigamba.

Kabla ya kutukana, kudharau na kukejeli yajadiliwe ninayoyasema na sio mimi.

Kama kijana, mwanachadema mwenye taaluma ya Sheria nina wajibu kusema haya. Sasa nikosolewe makosa yangu kwa nafasi hizo tatu na sio vinginevyo.

Mpaka sasa hakuna mahali ambapo hoja inatolewa ya wapi sistahili kusemea. Jazba hazijengi wala kuelekeza njia sahihi kama lengo ni kujenga.

Ila kama nia ni kupiga story tu kumaliza siku ni sawa pia.

Tatizo watu wanataka kupiga story za mwanamke gani mjini ana ------ makubwa au anatembea na Diamond.
 
kwanini Zitto na wahuni wenzake wanangangania chadema si waende jwa waume wao ccm...
 
Mwaikenda,

1. Kutetea utawala wa Sheria na tafsiri sahihi ya Katiba yetu ni kubomoa chama? Ndio mimi ni Diwani lakini itakuwa ajabu sana kusema kwamba kumtetea Zitto lazima nijiuzulu kwanza. Mimi sio mjumbe wa Kamati Kuu, Baraza Kuu wala Mkutano Mkuu. Mgongano wa maslahi unatoka wapi? Naweza vipi kuathiri maamuzi ya vikao hivyo?

2. Je marekebisho ya Kanuni ya 2013 yalijumuisha kwamba kukiwa na dharura utaratibu uliotajwa kwenye kipengele (a) usifuatwe? Kwa nini kipengele kilichoongezwa cha (d) kilitaja utaratibu ambao hautafuatwa ni ule wa (b) na (c) peke yake? Hilo unalielezeaje?

3. Kikao cha Kamati Kuu kilikuwa kikao cha dharura? Waraka husika ulikamatwa siku hiyo hiyo ya kikao au jana yake kwa hiyo ikabidi maamuzi ya dharura yafanyike?

Kama ilikuwa ghafla hivyo kwa nini asingesimamishwa uongozi, apewe mashtaka kama Kanuni inavyosema halafu asikilizwe kwa dharura na adhabu itolewe ya kumvua uongozi? Dharura sio haraka kaka.

4. Kupewa taarifa rasmi kwa maandishi na mwenendo kupelekwa Baraza Kuu ni taratibu ambazo lazima zikamilike ili muadhibiwa aweze kukata Rufaa. Ndio maana taarifa ya nia imetolewa ili taratibu hizo zikamilike. Hakuna niliposema nataka mwenendo wa shauri. Tunachotaka ni taarifa rasmi ya maamuzi.

5. Mwenendo unatakiwa umefika Baraza Kuu ndani ya siku 14 toka tarehe 22/11/2013. Je umefikishwa?

Tusijadili kwa jazba na hasira. Mimi kueleweshwa kwa hoja ni mwepesi sana. Fanya hivyo na kama uko sahihi nitaconcede. Lakini sitaconcede kisa tu utasema akili au uelewa wangu mdogo.

Ahsante.

Well as for me kumtetea Zitto ni haki na wajibu na ningeshangaa sana kama wanasheria kama ww wangemwacha bila msaada tatizo langu kwako wewe ni strategies zako za utetezi zipo katika malengo gani?

Kama Zitto mwenyewe kwenye press alishasena atakuwa wa mwisho kuivuruga chadema; sasa let us assume ni kweli... Huoni kuwa tayari Zitto ambaye anapokea ushauri wako anakusuta wewe unaye mwakilisha kwaku ng'ang'ania publicity yenye mrengo wa kutafuta public sympathy badala ya kuandika tetezi hizo zikajadiliwe kwenye vikao vya chama?

Ama na ww pia huna imani na uongozi uliopo? Maana hiyo ndiyo message unayotupa ss spectators!
 
Back
Top Bottom