Nane, ieleweke kuwa Wakili Msando ni Diwani wa CHADEMA katika akiwakilisha Kata ya Mabogini huko Moshi. Naomba arejee Kanuni za Madiwani ibara ya 5.0 (d) ambayo naomba kuinukuu Diwani anawajibika kutumia hadhi, uwezo, wadhfa na nafasi aliyonayo kama Diwani kukijenga Chama ndani na nje ya Halmashauri. Kama Wakili naamini anajua hatua za kuchukua akiendelea kukomalia suala hili, nimkumbushe tu kuwa anatakiwa ajiuzulu hiyo nafasi ili kuondoa mgongano wa kimaslahi na afanye kazi yake ya uwakili kama anataka kuendelea na kushiriki kupinga maamuzi ya Kamati Kuu.
Naomba kuwasilisha.
Mwaikenda
Huku kuna vijamaa vina taaluma ya sheria havijawahi kupata mteja wa maana zaidi ya kusaini mikataba ya vyumba sasa naona roho zinawauma kweli
Makosa yale yale waliyofanya mara ya kwanza wakayarudia tena leo!!!
Kwa upuuzi huu wa Albert Msando chadema wasipomfukuza Zitto Kabwe nitaahangaa sana
Hivi kumbe mpo wengi wafuata mkumboHuyu Msando ni mchumia tumbo anajulikana na amekuwa akitukana viongozi wa Chadema kila siku kupitia FB wall yake!
Sijui Chadema iliokota wapi mamluki hawa na kuwapatia uongozi.
JF,
Issue sio Msando Albert ni nani au kwa nini anatetea.
Issue ni rahisi natetea nini na utetezi wangu uko based kwenye nini.
1. Utaratibu wa kumvua Zitto nyadhifa haukufuatwa.
2. Sababu zilizotolewa ni circumstantial. Hazijitoshelezi. Zote zinatokana na waraka wa Mwigamba.
Kabla ya kutukana, kudharau na kukejeli yajadiliwe ninayoyasema na sio mimi.
Kama kijana, mwanachadema mwenye taaluma ya Sheria nina wajibu kusema haya. Sasa nikosolewe makosa yangu kwa nafasi hizo tatu na sio vinginevyo.
Mpaka sasa hakuna mahali ambapo hoja inatolewa ya wapi sistahili kusemea. Jazba hazijengi wala kuelekeza njia sahihi kama lengo ni kujenga.
Ila kama nia ni kupiga story tu kumaliza siku ni sawa pia.
Raha kubwa sana tunapamabana na watu wasioweza kuficha siri, hawawezi hata kunong'onezana lazima watasalitiana sasa hivi. Nyerere alisema dhambi ya usaliti haiishii hapo lazima itasaliti mpaka ndugu zao na mama zao.
bwana mdogo , kuwa muungwana hebu rekebisha hiyo AVATAR yako , inaleta kichefuchefu .Hivi kumbe mpo wengi wafuata mkumbo
Raha kubwa sana tunapamabana na watu wasioweza kuficha siri, hawawezi hata kunong'onezana lazima watasalitiana sasa hivi. Nyerere alisema dhambi ya usaliti haiishii hapo lazima itasaliti mpaka ndugu zao na mama zao.
Je mtetea Zitto kama nani na kwa nini? Kikatiba mwanachama akoseapo chamani hujitetea mwenye .Pale Serena ulienda kwenye promo tu hauna jipya zaidi ya kujifedhehesha kwenye taaluma yako.
Kuwa makini wacha kutumika, fedha za magumashi toka magambani zitakupoza dhidi ya nguvu ya umma.
Je suala la Lwekatare alisema nini na kwa sababu zipi?
Wasaliti tokeni wacheni CHADEMA isitawi.
Pole sana!!
Sindano itaingia Taratibu.Mtapona tu..
kiongozi mwaikenda nakushukuru sana kwa ufafanuzi makini sana usio na chembe ya mashaka , unajua bhana , sisi tunaotibu wagonjwa tunafahamu ile hatua ya mwisho kabisa ya marehemu , kabla ya kukata roho !
kiongozi mwaikenda nakushukuru sana kwa ufafanuzi makini sana usio na chembe ya mashaka , unajua bhana , sisi tunaotibu wagonjwa tunafahamu ile hatua ya mwisho kabisa ya marehemu , kabla ya kukata roho !
Upo sahihi, hawa ni marafiki wa muda toka chuo, nadahni emotion imetumika katika hili. Hata kama utetezi wake ni sahihi na taratibu hazikufuatwa alichofanya ZZK ni uhaini hatumtaki amepoteza Credibility haaminiki tena hana Busara hayupo tayari kuvumilia na kuonekana kashindwa kwa lolote anataka kuwa top of all things kifupi kalewa sifa tulizompa,na hata angepokwa hayo madaraka bila hata kupitia kikao chochote ilikuwa sawa tu.
Imekuwa kama mashindano ya kujipatia publicity.
Leo hicho kiwakili Msando kimeitisha presser...hamna lolote la maana kilichozungumzia. Hakuna jipya zaidi ya kutafuta kiki.
Kesho ama keshokutwa akina Mnyika nao wataitisha presser. Hamna ya maana watakayoongea.
Ili mradi ni vurugu tu na nani anapata airtime.
I'm so sick of them.
Mimi nimeliripoti hili jioni hii kwa katibu wake wa mkoa Kamanda Basil Lemanimeshamwagiza mwenyekiti wa wilaya yake aangalie namna ya kuchukua kadi yetu...
Dege wote wanye akinya bata kaharisha, mbona akina Tundu lisu,mnyika,dr slaa na mboe walieleza na kujibu tuhuma kwa waandishi wa habari? Hiki chama kimepoteza uelekeo hakifai kuaminiwa na kupewa ridhaa ya kutawala, wamejaa mimburaaaaaa tu, nawasiwasi na taaluma ya heche,saanane malemo yaricko na wajingawajinga wengine wa chadema.Wamejaa chuki,ujuha na uzadiki.Kwa hiyo mtuhumiwa wako alitakiwa akajibu Mashtaka yake Serena Hotel kwa waandishi wa Habari?? Huoni udhalilishaji unaoufanyia Kamati Kuu ya Chama?? Unaona ni Halali Ukumbi wa Serena unaotumika kujibu hoja za Kamati Kuu ulindwe na Vijana wa CCM?? Vipi mteja wako mwingine umemshauri akimbilie kwa Msajili? Ukijipima wewe mwenyewe unajiona bado una sifa za kuwa mwanachama wa Chadema??
Why are you taking it public kama wewe ni mwanachama na mbali ya hapo ni diwani hujui taratibu za chama kweli? Serena Hotel imekuwa sehemu ya mamlaka za chama hadi ujitokeze kila siku kwenye hadhara
Unaonekana mtoto kweli aisee