Alama ya Apple, hii ina maana gani?

Alama ya Apple, hii ina maana gani?

Watanzania kwenye ujinga wao, hii nchi bado sana maana watu asilimia kubwa hawana elimu kichwani na hawataki kijushughulisha, wanaamini kila wanachokiona mitandaoni, hizi story za 666 na mambo supernatural hua ni interesting ndio kwa kua ni fairy tales tu, binadamu kawaida tunapenda kusikia vitu ambavyo ni impossible vikitokea. Wengi mtaungana na mshanajr na group lake basi tu kwa kua wengi ndio story mnapenda kuzisikia.

Tafadhali msiturudishe nyuma, haya madudu yamewajaa sana watanzania mkishika kitu mnakishika ovyo, dini mnashika ovyo, haya nayo mnashika ovyo, unajua hii kazi nimeifanya sana miaka ya nyuma, enzi hizo tunatengeneza articles online za haya maujinga ya 666 tunadesign na picha tunajarivu kurelate na kila kitu na zilikua zinalipa sana matangazo sababu watu wengi wanapenda kusoma haya madudu, ila hakuna ukweli wowote ni story tulikua tunatunga tu ili kupiga hela, hilo swala bado tu bloggers wanaendelea kuandika, na walivo wajanja watatafuta vitu kibao kujarivu kuiframe evidence yao vizuri ili kuifanya ionekane very real, Sasa wajinga mnakuja humu na kuanza kusema mmefunguliwa na bwana kuuona ukweli, huko kufunguliwa ni kupewa internet na kusearch articles zilizotungwa na wapiga hela, basi ombeni mfungwe maana mmefunfuliwa pabaya, ndoo maana nawaambia mnashika mambo kijinga sana. Internet ina uongo zaidi ya 70%, huo wote umetungwa ili mfungue muangalie aliyetunga anaingiza hela ya matangazo period.

Sasa endeleeni kuamini madudu washa yenu mzungu anazidi kupiga hatua mbele, hili taifa kuja kufikia level nzuri sio leo, waamini madudu washa wapo zaidi ya 80%..
Punguza u much know wewe jamaa una uhakika gani wa Tanzania hatuna elimu kichwani.elimu ni nini?????unajua maana ya neno elimu.hicho ki certificate chako ulichokipata kisikupe kiburi ya kututukana watanzania.eti hatutaki kujishughulisha una uhakika
 
Duuu naona baada ya kumaliza kupost hata kiu imekushika...
Ngoja nikwambie kitu @nullpoiter elimu ni bahari na hakuna ukomo wa kujifunza kumbuka even a fool has a story to tell... Kitu ulichofanya wewe cha kuongopea watu kwa maslahi binafsi usikifanye ndio uhalisia wa kwenye Internet.... Ulichofanya au kukisoma kwenye Internet ni kindoo cha maji kwenye bahari, na umejifanya unajua kuliko wengine
Ulikuwa unataka kutoa point nzuri sana lakini majivuno kiburi na dharau vimekuharibia kabisa ukabaki kurukaruka kama bisi kikaangoni
Hii ni forum kuna mengi mazuri na mabaya pia tuna watu wa kila aina humu...jifunze kuheshimu kila post hata kama kwako ni upuuzi mtupu kwa wengine ni somo kubwa
mshana_jr umenena point sana.urewedi 👏👏👏👏👏👏👏👏👏
 
Last edited by a moderator:
Punguza u much know wewe jamaa una uhakika gani wa Tanzania hatuna elimu kichwani.elimu ni nini?????unajua maana ya neno elimu.hicho ki certificate chako ulichokipata kisikupe kiburi ya kututukana watanzania.eti hatutaki kujishughulisha una uhakika

Hehehe mkuu huamini toka nje zunguka uone. Watu wako tayari kuamini kila madudu unayowaletea bila ku~question kama they are valid or not. Kama na wewe umo kwenye group hilo pole sana maana itakua inauma
 
Hehehe mkuu huamini toka nje zunguka uone. Watu wako tayari kuamini kila madudu unayowaletea bila ku~question kama they are valid or not. Kama na wewe umo kwenye group hilo pole sana maana itakua inauma
Sio hvyo NullPointer mahali ambako unaharibu ni kwamba weww una generalize sana.next time andika hivi kuna baadhi ya wa Tz wanaamini kila kitu lakini sio kuandika eti wa tz wajinga sana.BIG NO KWA KWELI.
wewe group ulilopo ndo unaamini upo sahihi?????
 
Last edited by a moderator:
Siku hizi ukitaka hadithi/habari yako isomwe na watu wengi jaribu kutafuta kitu maarufu kisha kihusishe freemason au shetani.
 
Sio hvyo NullPointer mahali ambako unaharibu ni kwamba weww una generalize sana.next time andika hivi kuna baadhi ya wa Tz wanaamini kila kitu lakini sio kuandika eti wa tz wajinga sana.BIG NO KWA KWELI.
wewe group ulilopo ndo unaamini upo sahihi?????

Generalization inategemea tu na mtu ulivyoichukulia, na muda mwingi tunageneralize baada ya kuangalia majority ni wapi, najua sio watu wote Tz wako hivyo ila ukweli ni kwamba majority of them are.
 
Last edited by a moderator:
Huu mdahalo kama usiishe hivi coz napata mavitu hapa unajua mtu akichukia anaongea kile anachohisi hapo anakua hana aibu wala uoga wala staha
 
Generalization inategemea tu na mtu ulivyoichukulia, na muda mwingi tunageneralize baada ya kuangalia majority ni wapi, najua sio watu wote Tz wako hivyo ila ukweli ni kwamba majority of them are.
How r u Mr zero
 
So kwa ss watumiaji inatuathiri kutumia vitu vyao manake nmekuja kugundua vitu vingi ni vyao
 
Ngoja niende kwenye forum ya apple nikawaulize wenyewe, logo yao inamaana gani?
 
Kwenye mfereji wa heri na shari ipo ndaniyake, na Mfereji wa shari heri ipo ndaniyake!
 
Kila inapotokea charter ya apple imebandikwa, lazima tunda hilo liwe limekatwa kidogo pembeni.

Napenda kufahamishwa mwanzilishi alikuwa na maana gani kuandaa charter hiyo ikiwa imekatwa?

Its like JAVA=COFFEE language,jamaa alikuwa anakunywa kahawa.
 
Ile symbol inayoonyesha kitu kinachopendwa duniani (mahali popote) kote.kizuri,kitamu kisichoisha hamu. Yaani ni kama baadhi tunavyopenda mziki. NB: Akili za kuambiwa changanya na zako by Dr. TD
Mkuu hutu si tupapuchi
 
Jamaa alikuwa anapenda kula sana apple haswa akiwa kwenye mazungumzo mazur akapendekeza jina ilo la apple ila wengine wakaongezea likiwekwa zima aitopendeza.wakaweka lililomegek ikapendeza zaidi
 
That's why we need to look everything in different perception, tusiwe kama sponge ambalo linanyonya kimiminika chochote
Ingekuwa wameweka nembo ya shetani na wanatumia ushetani katika bidhaa zao wasingefail.
Hivi unajua apple wamefail mara ngapi mpaka kufika walipo leo?
And by the way logo yao ya mwanzo kabisa hata haikuwa inafanana hivyo.
Na hakuichora steve jobs wala wozniak alichora babu flani naye alikuwa kati ya waanzilishi wa kampuni ila uwa hatajwi sana maana alijitoa mapema sana kwasababu jobs alikuwa mtu ambaye alikuwa anapenda wapeleka watu kibabe akaoba hawawezi endana.
Kwa hiyo hakuna cha ushetani apple wamefail sana sana mpaka jobs akapigwa chini kwakuwa alionekana anaiferisha kampuni, mpaka alivyorudishwa mwishoni mwa mwaka ya 90.
 
Back
Top Bottom