Alama ya Apple, hii ina maana gani?

Alama ya Apple, hii ina maana gani?

Mimi siku zote nilikuwa najua hiyo alama ya tufaha (Apple) lililoliwa kidogo lilimaanisha hivi kwa waanzilishi wa computer aina ya Apple:

Taking or having a BYTE (a computer memory, and rhymes with BITE) from the fruit of knowledge (our collective intellectual pool of technical know-how) or Apple.

Lakini naona wajuzi wameleta tafsiri pana zaidi.

Maana yake hicho kipande kidogo ni WENYE HEKIMA

Wenye hekima WACHACHE kuongoza wengi.....!!

Kuna Kikubwa sana cha kujifunza hapa
 
Hakuna cha maana hapo zaid ya kumuenzi Alan Turing aliyekua mtaalam wa kompyuta na kuokoa maelf ya watu wkt wa WW2.

Alipokamatwa alipewa apple lenye sumu ya cyanide, alipong'ata tu mara moja alikufa pale pale.

Hizo story za Mshana hazina ukweli wowote
 
Ni alama ya kishetani na kuzimuView attachment 298155mchoro unaoonyesha nyoka Adam na Eva View attachment 298156View attachment 298156apple ni kiwakilishi cha 666,namba inayotawala duniaView attachment 298157 alama ya jinsi mwanadamu alivyoanguka dhambini View attachment 298158hapa soma mwenyewe View attachment 298159lingalisha na magari ya kisasa yenye vitaa vigogo vinavyowaka Sana hata mchana

Huu ni upotoshaji wa hali ya juu sana mmmh! Hiyo 666 unaifaham vzr kwa mujibu wa Ufunuo? Je utabiri wake unaautafsiri kwa concordance ipi?
 
Hakuna cha maana hapo zaid ya kumuenzi Alan Turing aliyekua mtaalam wa kompyuta na kuokoa maelf ya watu wkt wa WW2.

Alipokamatwa alipewa apple lenye sumu ya cyanide, alipong'ata tu mara moja alikufa pale pale.

Hizo story za Mshana hazina ukweli wowote
Jerrymsigwa leo umenishangaza mno... Huu ni mtandao wa kijamii na hii ni mada kila mtu anachangia anachojua.. Hizi zote ni theories hizo nyingine na hata hii ya kwako lakini pia kuna kuunganisha dots na kupata kitu kamili if only you can think beyond!!! BTW post hii si yangu bali nilikuwa mchangiaji tuu, Jerry tukibaki hapa na kukubali kila kitu bila kuhoji wala kujadili sidhani kama Kutakuwa na maana ya kuleta mada Hapa..
 
Last edited by a moderator:
Huu ni upotoshaji wa hali ya juu sana mmmh! Hiyo 666 unaifaham vzr kwa mujibu wa Ufunuo? Je utabiri wake unaautafsiri kwa concordance ipi?

Huwezi kuita huu ni upotoshaji wa hali ya juu kwakuwa hizi picha si zangu wala sikutengeneza mimi ni habari zipo hata wewe unaweza kuingia na kuzisoma kama ulivyosoma wewe kuhusu Yule aliyepewa apple lenye sumu
 
Ni alama ya kishetani na kuzimuView attachment 298155mchoro unaoonyesha nyoka Adam na Eva View attachment 298156View attachment 298156apple ni kiwakilishi cha 666,namba inayotawala duniaView attachment 298157 alama ya jinsi mwanadamu alivyoanguka dhambini View attachment 298158hapa soma mwenyewe View attachment 298159lingalisha na magari ya kisasa yenye vitaa vigogo vinavyowaka Sana hata mchana
Naona unawajaza pumba wazee wa bila kuhoji aka wafia dini...Mawazo mgando kama haya mtayatoa lini vichwani mwenu?? Taifa halihitaji wafikiriaji wa vitu hivo ili kusonga mbele we need GT aseer
 
And this is what you call a GT reply? You must be kidding.....and may be you don't know the meaning of GT

GT is somebody who thinks Positive things you are fool urself to involves in bullshit things like this..Grow up Dude
 
GT is somebody who thinks Positive things you are fool urself to involves in bullshit things like this..Grow up Dude

Usipaniki asubuhi asubuhi great thinker haina mana hiyo tafadhali ....kuanza matusi ni dalili ya kuishiwa hoja... tulia nikueleweshe

Great thinking is not thinking positive but thinking beyond....inject this in your oblangata usipaniki
 
Usipaniki asubuhi asubuhi great thinker haina mana hiyo tafadhali ....kuanza matusi ni dalili ya kuishiwa hoja... tulia nikueleweshe

Great thinking is not thinking positive but thinking beyond....inject this in your oblangata usipaniki

Mi nnaona hakuna sababu ya kupanik Ni kuelimishana
Maana baazi hatujui chochote tunahitaji kujifunza kupitia mnaojua
 
Mi nnaona hakuna sababu ya kupanik Ni kuelimishana
Maana baazi hatujui chochote tunahitaji kujifunza kupitia mnaojua

Kuna shida moja kubwa sana hapa jamvini festo james , na utakutana nayo sana tu....ni ile hali ya mtu kuleta kejeli dharau matusi na kashfa kwa mtazamo asiokubaliana nao na badala ya kujibu hoja yeye huleta majivuno na vitu kama hivyo
 
Last edited by a moderator:
Huu ni upotoshaji wa hali ya juu sana mmmh! Hiyo 666 unaifaham vzr kwa mujibu wa Ufunuo? Je utabiri wake unaautafsiri kwa concordance ipi?

Ni heri ungekuwa upotoshaji tu, ni upotoshaji wa kipumbav! Huyu jamaa ni conspiracy theorist asiyetumia akili yake kung'amua mambo! Kila saa anawaza ushetani na mambo ya kufikirika!
 
Ni heri ungekuwa upotoshaji tu, ni upotoshaji wa kipumbav! Huyu jamaa ni conspiracy theorist asiyetumia akili yake kung'amua mambo! Kila saa anawaza ushetani na mambo ya kufikirika!
Rene jr naomba nikujibu kwa upole ili upate ufahamu , nafanya hivi kwa faida ya jukwaa na si kwamba mimi sijui kuongea nyoko
1.Nilitoa mchango Wangu kutokana na uelewa Wangu na maarifa yangu na uzoefu Wangu hasa kwenye haya mambo....nilichofanya ni kupakua picha toka mtandaoni kurahisisha ujumbe
Ukiangalia Jerrymsigwa kaongelea kitu cha karibuni yaani vita ya pili ya dunia 1947 mimi nimeongelea tangu uumbaji wa dunia kwa maana ya kwamba nilijaribu kupanua mjadala na kufikirisha watu
2. Kuna ufafanuzi wa abackuk sidhani kama umeusoma kwakuwa hamu yako ilikuwa ni kumdiss Mshana Jr. abackuk anaeleza mwanzilishi wa computer ya apple miaka ya 1970 na kwamba computer ya Kwanza aliuza kwa $666 Je hii ni coincidence au?
Sasa ukija kuangalia nilichoandika mimi kuhusu 666 na abackuk utaona kuna kitu kina mfanano hapo
Lakini sisi sote ni kizazi cha juzi hakuna mwenye miaka zaidi ya 80 hapa haya mambo mengi tunayapata mtandaoni na vitabuni huku ni kujifunza. ..sasa unapokuja na post kuponda bila kutoa mchango wako post yako inageuka kuwa upuuzi mtupu
 
Last edited by a moderator:
Rene jr naomba nikujibu kwa upole ili upate ufahamu , nafanya hivi kwa faida ya jukwaa na si kwamba mimi sijui kuongea nyoko
1.Nilitoa mchango Wangu kutokana na uelewa Wangu na maarifa yangu na uzoefu Wangu hasa kwenye haya mambo....nilichofanya ni kupakua picha toka mtandaoni kurahisisha ujumbe
Ukiangalia Jerrymsigwa kaongelea kitu cha karibuni yaani vita ya pili ya dunia 1947 mimi nimeongelea tangu uumbaji wa dunia kwa maana ya kwamba nilijaribu kupanua mjadala na kufikirisha watu
2. Kuna ufafanuzi wa abackuk sidhani kama umeusoma kwakuwa hamu yako ilikuwa ni kumdiss Mshana Jr. abackuk anaeleza mwanzilishi wa computer ya apple miaka ya 1970 na kwamba computer ya Kwanza aliuza kwa $666 Je hii ni coincidence au?
Sasa ukija kuangalia nilichoandika mimi kuhusu 666 na abackuk utaona kuna kitu kina mfanano hapo
Lakini sisi sote ni kizazi cha juzi hakuna mwenye miaka zaidi ya 80 hapa haya mambo mengi tunayapata mtandaoni na vitabuni huku ni kujifunza. ..sasa unapokuja na post kuponda bila kutoa mchango wako post yako inageuka kuwa upuuzi mtupu


Tatizo mnakurupukia mambo bila kufikirisha akili, kabla ya kukimbilia kwenye conspiracies ulitakiwa kwanza uiache akili yako ijiulize maswali chanya na kufanya utafiti wa kitu kinachoongelewa, ungesoma kwanza historia ya kampuni ya Apple ungengamua mapema tu mahusiano ya tunda la Apple na Kampuni yenyewe!
Jobs na Wosniak wakati wanaanza ujasiriamali huu hawakuwa na kitu mfukoni zaidi ya ujuzi wao, hivyo waliamua kutafuta soko kwa kutumia prototype walokuwa nayo tayari. Duka moja la computer liitwalo Byte lilikuwa interested na hiyo computer, wakatoa offer ya kununua pc 50 kwa bei ya $500@, payment on delivery! Kisa cha mwenye duka (Bytes, siyo Jobs wala Wosniak) kuuza kwa $666.66 ni kuongeza Robo moja ya bei ya kununulia katika bei ya kuuza ndiyo ikaja hiyo $666, yaani: 500/3=166.6666666666667+500=666.6666666666667!

Hilo tunda la tufaa katika logo yao lina historia ndefu, logo ya mwanzo kabisa ilikuwa picha ya Isack Newton akiwa chini ya mti wa mtufaa (kama umesoma sayansi niskuchoshe unaijua vizuri habari ya huyu jamaa na story ya tufaa). Jobs pia amewahi kufanya kazi katika mashamba ya tufaa.
attachment.php

Kadri muda ulivokuwa ukienda Apple walianza kuangalia sana suala la design na mvuto wa bidhaa kwa mteja, walibadili nembo yao mara kadhaa ili kuleta apeal mbele za watu. Hilo tunda la Apple na lenyewe ni miongoni ya alama za mnyama?...teh! Tuache mawazo hasi. Nikiangalia kwa umakini kichwa chako naona kimekaa kipembetatu, chicks zako zinafanya vipembe tatu ukitabasamu, kidevu kimechongoka chini na kufanya pembe tatu...wewe nawe vipi, siyo free masson kweli wewe....lol!
 

Attachments

  • Apple_first_logo.png
    Apple_first_logo.png
    12.5 KB · Views: 1,517
Back
Top Bottom