Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Chanzo cha watu kuamini ushirikina ni nini?
Huyu Bwana Mtangazaji anasema kisa watu are "uneducated". Hivi Tanzania wale waliosoma hawaamini ushirikina?
Manake nimekumbuka kisa cha Chenge na ungaunga Bungeni
Isije ikawa ni wa MIFUPA YA ALBINO?