johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Hali imezidi kuwa ngumu huko Mashariki ya Kati kufuatia Rais wa Palestine Mahamod Abbas kufuta ghafla mkutano wake na Rais Biden wa USA kufuatia mauaji ya Hospital Gaza
Tuzidi kuwaombea
Source Al jazeera news!
Tuzidi kuwaombea
Source Al jazeera news!