Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Amua mwenyewe... tulihitaji Al-Jazeera kwenda this deep.
Last edited by a moderator:
Ili tuwe na jeshi la polisi lazima kwanza tumtafute Rais!Al-Jaeera wamefanya kazi ya Polisi sasa tutafute chombo kingine kufanya kazi ya Rais.MUNGU IBARIKI TANZANIA.Mkuu, hatukuhitaji kwasababu Polisi wanajua fika nani anahusika na njia zipi wanatumia..kwa kifupi hatuna Jeshi la Polisi kwa ajili ya kulinda usalama wa raia bali kulinda wenye fedha na walio madarakani..natamania AJE waaabishe hawa mafisadi wasaini mikataba ya kinyonyaji..
Yeah, tukiwezeshwa tunaweza! Bottomline, is we don't have the will to do it. How could we go about doing it?What I also found interesting ni kuwa mwandishi wa Nigeria ndiye aliyeenda anda cover; ukiona Vick Mtetema sidhani kama kuna waandishi wetu wakubwa ambao waliwahi kwenda kuzama kama alivyofanya huyu jamaa. Au hatuna vifaa na uwezo - hadi tuwezeshwe?