Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,279
"Aisifuye Mvua Imemnyea"
Naamini sasa watu wanapoambiwa lazima CCM itoke madarakani ili nchi ianze kusonga mbele wataelewa.mfumo wetu wa viongozi ni washiriki wakubwa sana wa mambo ya kishirikina,na ukiangalia uhusiano uliopo kati ya umasikini na ushirikina ni mkubwa.palipo na ushirikina pana umaskini mkubwa.na ndio maana raisi wetu hajui kwa nini nchi yetu ni masikini wa kutupwa.Jibu leo limepatikana ni "ushirikina"asilimia kubwa sana ya Viongozi wa CCM ni washirikina ukitaka kulijua hilo subiri uchaguzi utakapowadia.FF yuko wapi/ huwa anatetea upuuzi sana humu jamvini.
Hivi unaamini ushirikina unaweza kuchagua chama?