TUMBOO
JF-Expert Member
- Jun 27, 2014
- 3,848
- 2,051
Huyu itabidi tumuozeshe Le mbebez ili amfundishe uvumilivu wa maneno ya shombo u know....
Uyo le mbebez ndio nan tena jaman
Huyu itabidi tumuozeshe Le mbebez ili amfundishe uvumilivu wa maneno ya shombo u know....
Uyo le mbebez ndio nan tena jaman
Uyo le mbebez ndio nan tena jaman
Mtu mzima mmoja hivi anayeongoza kwa kuchambwa humu...yani yule mvumilivu hatari...
Itabidi tukuozeshe ukae nae walau mwezi mmoja akuambukize uvimilivu..
Na anavyopenda super bebez wakaree kama wewe...lazima utoke umeivaaa....
Le mutuz le baharia le super handsome u know....
shost unatisha kwa umbea huyu binamu warumi anakuharibu,habari za pedi hazipo tena,jamani nawasoma nacheka mwenyewe.
Cc kim nana,kiziboo
Ivi warumi yuko wap jaman mbona cmuoni skiz
shost unatisha kwa umbea huyu binamu warumi anakuharibu,habari za pedi hazipo tena,jamani nawasoma nacheka mwenyewe.
Cc kim nana,kiziboo
Ana ban ya nguvu
Ana ban ya nguvu
Hivi ana ban ya muda gani jamaniii? Tumemmiss sana ....
Mwehee kuna mijitu umu mikorof inamkorofishaga afu inakimbilia kum report warumi akat ndio anatuleteaga umbea ulionoga
Kuna Pedi Mpya Nimeziona Japo Zina Bei Kidogo Ila Ni Nzuri na Zinasaidia Kumweka Mtu ktk Hali Ya Usafi Na Hata Nanihii Zao Hazitoi Kipafyumu a.k.a Harufu. Zenyewe Hazivaliwi Bali UNAISOKOMEZA TU KUNAKO PAPUCHI Kisha Ikiishaingia Huko Na Kukaa Sawa Sawa INAJITANUA NDANI KWA NDANI TAYARI KUKUSANYA ULE UCHAFU KISHA INAJIKUNYATA Tayari Kwa MUHUSIKA KUITOA na Ni USER FRIENDLY. Zipo Sana ktk Pharmacies Za Washua Wakati USWAZINI MWENDO NI ALWAYS, JASSY na ENJOYS.
Hahaaaa yan nmeona kale ka id kamekua common sana afu nmeamua kua mtakatifu cgomban na mtu tena umu
Haiwahusu, haya ni mambo ya kike
Chezeaaaa siee warumi anataka kunirithisha,angekuwepoo huu uzi ungepoteaa kabisaa hhhhha umbea mtamu kusutana rahaaaaaaa heheeee
Halaf mbona pm yangu hujanijibu toka majuziiii una tatizo gan