Akina dada mkishazitumia pads chomeni moto

Akina dada mkishazitumia pads chomeni moto

Yani wewe mtoto hivi upogo jamani?Mbona umenichunia hivyo kama tumegombana jamaniiii????

Afu asubuh nlikuona nikataka ni ku quote cjui nikasahau nn......nlitaka kukuanzishia uzi ujue yan unapotea ivo ndio nn lol
 
Mkuu sanasana kwene hostel za wanachuo hali ni mbaya mpaka mbwa wanazilamba ni kinyaaaaaaa!!!
 
Ambao Huwa Hatutembeleagi Chit Chat Na MMU Huwa Tunakosa Uhondo Aisee. Hebu Endeleeni
 
Eeee shoga nimeona nijiwekeee nawe weka ile yako basiii chezeaaaaa we kama yako nugayembe weka tu mama tukuzoeee hhaaahaaa, ulikua wapiii wenzio wakati tunapewaa u cute teh te
Kiziboo ni tumboo kabadili id

Shosti yako inaonesha anapenda sana Mipini maana ID zake zote zinaishia na Mandingo.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom