Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,006
- 72,305
Shost naona leo tumeamua.....nmebadil id na ww umebadil avatar
Umenichekesha kwelii umeamua kujiita kiziboo hhhhaa we nomaaa,
Shost naona leo tumeamua.....nmebadil id na ww umebadil avatar
Umenichekesha kwelii umeamua kujiita kiziboo hhhhaa we nomaaa,
Umenichekesha kwelii umeamua kujiita kiziboo hhhhaa we nomaaa,
Shost we nyo.ko...umeamua kuweka picha yako ili uturushe roho sisi tuliofanana na baba zetu...haya bwana we ni mcute.....mtoto mashallah...
Halafu huyo Kiziboo ndo nani...umbea uwito jamani...
Kiziboo=tumboo
Kiziboo=tumboo
Hahaaaa yan nmeona kale ka id kamekua common sana afu nmeamua kua mtakatifu cgomban na mtu tena umu
Eeee shoga nimeona nijiwekeee nawe weka ile yako basiii chezeaaaaa we kama yako nugayembe weka tu mama tukuzoeee hhaaahaaa, ulikua wapiii wenzio wakati tunapewaa u cute teh te
Kiziboo ni tumboo kabadili id
Nani aweke? siweki hata nipigwe fimbo...na hii sura nlorithi kwa mjomba....!!! Khaa siweki...
Ila we mtoto Mzuri Wallahi....vipi neema zipo hapo kati?
Aiiiiiii hihiiiii wewe au mwingineeeee
Hahahaaa...hayo majina yako unayatoaga wapi...watu mna vituko jamaniiii....
Kama kawaidaaaaa memeeeee tenaaaaa alaaaa
Aaa weka tu bana we nani alikuambia urithi huko badala urithi kwa kina shangazi na mamdogo
Hahahaaaa mm uyuuyu shoga naona umeweka pichaa yakoo unavutiajee hehehee wsnye sura ka nyuma ya sufulia iliopikiwa kwenye kuni tutakomaa maana kaa tunapuliza moto vilee
Ngoja niombe ruhusa kwa Docta kwanza....ila hii sura kama nataka kupiga chafya...mhhh....
Hhhhaaaaaa,mi.sijaomba ruhusa msukuma akiingia kuona liwalo na liweeeee kwi.kwiii
Mwe mwe mwee...We unalitafuta balaa. akinuna me sikusaidii kumbembeleza, shauri yako....!
Hahahaaa...hayo majina yako unayatoaga wapi...watu mna vituko jamaniiii....
Hahaaaaa nayatungaga lol......saiv nmeamua kua mtakatifu ndio maana nmebadil id
Hahaaaaa nayatungaga lol......saiv nmeamua kua mtakatifu ndio maana nmebadil id