Akina dada mkishazitumia pads chomeni moto

Akina dada mkishazitumia pads chomeni moto

Sasa kama hayatuhusu kwa nn mnayatupa ovyo na kutufanya kuyakodolea macho maped yenu?

Wengi wenu mmekosa elimu ya kijinsia/ujana kwa kulazimisha balehe,hamkai na wakubwa zenu mkafunzwa jins ya kujitunza mara tu mnapo balehe,wengin mnamaliza mitaa kwa kuzurura bila kujua menstrual cycle zenu,hujabeba ped hata leso kama akiba wewe na iPhone mkonon,sas unapoanza kuvuja ukiwa njian unagwayagwaya. Kaeni na wakubwa achen kujifanya mnajua sana..

Kaka vipi,mbona mkali hv?
 
Inaonekana uko experienced sana na hayo matukio, pole so baada ya wewe kukumbwa nayo ndo ukafundwana sasa hukutwi na cycle barabarani? Au we ndo wale ukivaa pad asubuhi tanganyika mzulule hadi jioni mpaka ramani zinachoreka huko nyuma? Polee, we huwa unazichoma moto au unatupa kwenye dustbin?

Sasa kama hayatuhusu kwa nn mnayatupa ovyo na kutufanya kuyakodolea macho maped yenu?

Wengi wenu mmekosa elimu ya kijinsia/ujana kwa kulazimisha balehe,hamkai na wakubwa zenu mkafunzwa jins ya kujitunza mara tu mnapo balehe,wengin mnamaliza mitaa kwa kuzurura bila kujua menstrual cycle zenu,hujabeba ped hata leso kama akiba wewe na iPhone mkonon,sas unapoanza kuvuja ukiwa njian unagwayagwaya. Kaeni na wakubwa achen kujifanya mnajua sana..
 
Kasinde# Mwanaume ana menstrual cycle? ntake radhi.
 
Mm nojuavyo unasaisafisha vizur kuhakikisha haina uchafu wowote then unatafuta mfuko wa plastic unaifunga vizuri hasa mweusi then unaweka kwenye dustibin nani ataona ila wengne ni desturi yao uchafu mtu anaona kinyaa kugusa damu yke mwenyew ilomyoka
 
Inaonekana uko experienced sana na hayo matukio, pole so baada ya wewe kukumbwa nayo ndo ukafundwana sasa hukutwi na cycle barabarani? Au we ndo wale ukivaa pad asubuhi tanganyika mzulule hadi jioni mpaka ramani zinachoreka huko nyuma? Polee, we huwa unazichoma moto au unatupa kwenye dustbin?

Hahahahaaaaa,jamani ungekuwa karibu yake Kasinde ungetiwaje ugumi wa pua leo.
 
Mtu Ni Afya. Bila Shaka Sio Peke Yangu Ambaye Nimeona Huko Vichochoroni Pedi Zilivyozagaa Na Isitoshe Tunaelekea Kipindi Cha Mvua. Tunawaomba Chonde Chonde Mkishazitumia Basi Zichome Moto Utakuwa Umesaidia Kwa Kiasi Fulani Kuweka Mazingira Safi. Ila Msitupe Kwenye Masink Ya Choo.

Nadhani hakuna binti ambaye anapenda pedi yake yenye damu ionekane,sio wote wanakaa maeneo ya kuchoma moto,kama alivyosema Kasinde wengine wapo kwa apartments unaifunga vzuir kosa linakuja kwa wale wachakuraji.
Pia kingine mbwa,madustbin yetu yanafukuliwa sana na mbwa akiwa anasaka mabaki nao wachanachana mifuko matokeo yake anatoa pedi,na mnajua mbwa anatabia ya kukimbia na uchafu ndo hatimae kijana msafi unakutana nayo kitaa.
 
Last edited by a moderator:
Sasa kama hayatuhusu kwa nn mnayatupa ovyo na kutufanya kuyakodolea macho maped yenu?

Wengi wenu mmekosa elimu ya kijinsia/ujana kwa kulazimisha balehe,hamkai na wakubwa zenu mkafunzwa jins ya kujitunza mara tu mnapo balehe,wengin mnamaliza mitaa kwa kuzurura bila kujua menstrual cycle zenu,hujabeba ped hata leso kama akiba wewe na iPhone mkonon,sas unapoanza kuvuja ukiwa njian unagwayagwaya. Kaeni na wakubwa achen kujifanya mnajua sana..

Ukweli unaouma.
 
Oohh kumbe unajua kuongea kwa lugha nzuri na ya upole eehh, thats good. After all sikujua kama wewe ni male, polee
Kasinde# Mwanaume ana menstrual cycle? ntake radhi.
 
Na hii mara nyingi ndo kinachotokea, watu wanakuja juu tuu ooohh wachafu blah blah blah, hawaoni kondi zilizotumika barabarani zinazagaa wanaona pad tuu. Wajifunze kuzungumzia tatizo na jinsi ya kulikabili sio kujadili watu, ati waschana acheni uchafu, waaii.
Nadhani hakuna binti ambaye anapenda pedi yake yenye damu ionekane,sio wote wanakaa maeneo ya kuchoma moto,kama alivyosema Kasinde wengine wapo kwa apartments unaifunga vzuir kosa linakuja kwa wale wachakuraji.
Pia kingine mbwa,madustbin yetu yanafukuliwa sana na mbwa akiwa anasaka mabaki nao wachanachana mifuko matokeo yake anatoa pedi,na mnajua mbwa anatabia ya kukimbia na uchafu ndo hatimae kijana msafi unakutana nayo kitaa.
 
Last edited by a moderator:
Haiwahusu, haya ni mambo ya kike

inawezekana kabisa ikawa haituhusu ila mnajidhalilisha weenyewe! mnataka.kila mtu aone kuwa mnavujaga damu?? ndio maana siku hizi hata mtoto wa kiume wa miaka 5 anajua kuwa wnawake wanavuja damu!!! shame!!!!!
 
wengine wakimaliza kutumia wanarudisha tena kwa mibag yao!! offfffff!!! kuna wanawake wengine ni wachafu sana!!!
 
Hadi umegundua wanarudishia used pad kwenye begi atakuwa mkeo au dada ako, polee hamna dustin au choo cha shimo au kiberiti hapo nyumbani kwenu, uuh nyumba yenu itakuwa inanukia uvundo wa used pad, pole sana kwa stress za uvundo, ndomaana umewaka hivo kumbee...
wengine wakimaliza kutumia wanarudisha tena kwa mibag yao!! offfffff!!! kuna wanawake wengine ni wachafu sana!!!
 
Na wewe ni victim au user? Maana sijui kama ni male au female ningekuuliza huwa unazichoma au unatupa kwenye dustbin au unazirusha mtaani?
inawezekana kabisa ikawa haituhusu ila mnajidhalilisha weenyewe! mnataka.kila mtu aone kuwa mnavujaga damu?? ndio maana siku hizi hata mtoto wa kiume wa miaka 5 anajua kuwa wnawake wanavuja damu!!! shame!!!!!
 
Hadi umegundua wanarudishia used pad kwenye begi atakuwa mkeo au dada ako, polee hamna dustin au choo cha shimo au kiberiti hapo nyumbani kwenu, uuh nyumba yenu itakuwa inanukia uvundo wa used pad, pole sana kwa stress za uvundo, ndomaana umewaka hivo kumbee...

Inaonyesha unakifanya kitendo hicho
 
Anaetaka ped zilizotumika hata kama tani tano aje Kiseke PPF, Mwanza. Hhuko zinatupwa tu na mbwa hujipatia mlo, na matokeo yake karibu nusu ya mbwa wa Kiseke wanaumwa ukurutu, wengine hawanya manyoya wamebaki ngozi tu kama kambale. Karibuni Kiseke PPF!
 
Haituhusu vipi wakati vyoo vikiziba tunaohangaika ni sisi?!
Pole sana, walau ukishazibua wawekee tangazo wasitupemo kwenye vyoo vya kuflash watupemo kile cha shimo au dustin au wachome, ukiwaelimisha watakuelewa wengine wageni wa vyoo hivo
 
Au wawape mbwa.....mbwa wanapenda sana pedi iliyotumika wanaila yote hawabakishi kitu mpaka wanajilamba.nahisi huwa wanadhani ni nyama
 
Back
Top Bottom