figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Salaam Wakuu
Ndo Maana watu wanalalamika rais ana Mamlaka makubwa hadi kuingilia Sheria, Historia na Maisha ya watu waishije.
Yule mwenda zake alishauriana na Mke wake akaona atoe tamko kwamba Mwanza na Dodoma ni Majiji na Dar es Salaam ni Mkoa kinyume kabisa na Sheria na Kanuni za TAMISEMI na watu wakapiga Makofi.
Akadai watu wa Kimara Wabomolewe sababu hawakumpa kura na wale wa Mwanza wasibomolewe nyumba zao sababu Walimpa kura.
Haya matukio yamenifanya niutafute Wimbo wa Bob Marley wa Babylon System is Vampire.
Pia, soma:
1). Rais Magufuli: Msiwabomoleshe Mwanza, hata kama wamekosea ndio walionipa Urais
2). Rais Magufuli kuvunja Jiji la Dar es Salaam
Ndo Maana watu wanalalamika rais ana Mamlaka makubwa hadi kuingilia Sheria, Historia na Maisha ya watu waishije.
Yule mwenda zake alishauriana na Mke wake akaona atoe tamko kwamba Mwanza na Dodoma ni Majiji na Dar es Salaam ni Mkoa kinyume kabisa na Sheria na Kanuni za TAMISEMI na watu wakapiga Makofi.
Akadai watu wa Kimara Wabomolewe sababu hawakumpa kura na wale wa Mwanza wasibomolewe nyumba zao sababu Walimpa kura.
Haya matukio yamenifanya niutafute Wimbo wa Bob Marley wa Babylon System is Vampire.
Pia, soma:
1). Rais Magufuli: Msiwabomoleshe Mwanza, hata kama wamekosea ndio walionipa Urais
2). Rais Magufuli kuvunja Jiji la Dar es Salaam