AJIRA

800k unaona ni mshahara huo? Hela ya posho ya usafiri kwa baadhi ya watu.

Mshahara kbs wa kukaa mbele za watu ukajinasibu unalipwa Mshahara ni kuanzia 4m kwenda juu not otherwise
 
Maisha hayana formula, kuzaliwa familia inayo kutegemea sio mpango wako.
Mafuta yakipanda bei sio matakwa yako, na gharama za maisha zikipaa sio kwa utashi wako.
Kuwa uyaone mwanangu
Duuh!,, kwahy bora nn sasa kujiajiri au.?
 
Inatosha kisukuma siku, unaishi vizuri tu kama Hauna majukumu mengi
 
Ukiajiriwa utajua kumbuka mshahara haukutani, tena usiombe kazi unavyoingia ndo unavyotoka aahh utoboi hasilani, nauli kwenda na kurudi unakuta 3k,chai asubh 2k, vocha2k ,chakula mchana 3k, kodi kwa siku unapokaa ni labda 3k jumla 15k kwa siku lazima itumike apo kumbuka upo bachela huna mtoto kwa mwezi ni 450k matumiz ya lazima hapo bado emejency bado makato, umeme, maji, kingamuzi, 500k inakatika unabaki na 300k ndo ujikaze usave hapo bado ujaweka mademu
 
Je ukikaa kota,, kwa mfano 😀
 
Na Kuna makato ya benki,, ukiweka 500k unakuta imejikata automatic 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…