Ukiajiriwa utajua kumbuka mshahara haukutani, tena usiombe kazi unavyoingia ndo unavyotoka aahh utoboi hasilani, nauli kwenda na kurudi unakuta 3k,chai asubh 2k, vocha2k ,chakula mchana 3k, kodi kwa siku unapokaa ni labda 3k jumla 15k kwa siku lazima itumike apo kumbuka upo bachela huna mtoto kwa mwezi ni 450k matumiz ya lazima hapo bado emejency bado makato, umeme, maji, kingamuzi, 500k inakatika unabaki na 300k ndo ujikaze usave hapo bado ujaweka mademu