Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,277
- 7,424
Kuna Barabara ni tokea alivyojenga MWALIMU NYERERE, je mnategemea zitakuwa ni bora kwa maisha ya sasa?
Mfano barabara ya kutoka Morogoro mpaka dodoma yaan kila mita 100 kuna shimo! njia nzima ni mashimo tuuu je hizi ajali mnalaumu Askari wa usalama.barabarani?
nimeona barabara ya bagamoyo hasa kuanzia mapinga kwenda bagamoyo mjini watu wanakwepa mashimo bila tahadhari wanaleta ajali sana!
serikali oneni aibu kwenye hili jamani
HEBU TUWEKE PICHA YA BARABARA MBOVU HAPA tuwaonyeshe serikali kuwa chanzo ni hiki
Mfano barabara ya kutoka Morogoro mpaka dodoma yaan kila mita 100 kuna shimo! njia nzima ni mashimo tuuu je hizi ajali mnalaumu Askari wa usalama.barabarani?
nimeona barabara ya bagamoyo hasa kuanzia mapinga kwenda bagamoyo mjini watu wanakwepa mashimo bila tahadhari wanaleta ajali sana!
serikali oneni aibu kwenye hili jamani
HEBU TUWEKE PICHA YA BARABARA MBOVU HAPA tuwaonyeshe serikali kuwa chanzo ni hiki