peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,828
- 21,457
Kuna kila sababu ya kupeleka lawama Kwa IGP Tanzania kuhusiana ba barabara za kuingia chuo cha polisi Moshi, ikiwa ni pamoja a barabara zilizopi ndani ya chuo hicho.
Barabara zote ni mashimo na gari yakiingia chuo ni hapo yanakuwayanavunjakila kifaa Kwa sababu ya mashimo na viraka vya lami.
IGP na viongozi wakubwa wakitembelea au kuingia chuo ni hapo wana pitishwa geti la nyuma ya chuo Ili wasione uozo wa barabara ulipo ndani ya chuo.
Tunaomba IGP tembelea chuo hicho uone uozo wa humo ndani ya chuo hicho.
Ndani ya chuo kuna zahanati ya chuo ambapo wanawake wanajifungulia njiani Kwa kushindwa kupitishwa na magari ya wagonjwa kwani ni mashimo chuo kizima
Barabara zote ni mashimo na gari yakiingia chuo ni hapo yanakuwayanavunjakila kifaa Kwa sababu ya mashimo na viraka vya lami.
IGP na viongozi wakubwa wakitembelea au kuingia chuo ni hapo wana pitishwa geti la nyuma ya chuo Ili wasione uozo wa barabara ulipo ndani ya chuo.
Tunaomba IGP tembelea chuo hicho uone uozo wa humo ndani ya chuo hicho.
Ndani ya chuo kuna zahanati ya chuo ambapo wanawake wanajifungulia njiani Kwa kushindwa kupitishwa na magari ya wagonjwa kwani ni mashimo chuo kizima