ninakubaliana na msimamo huu. sometimes tunatakiwa kuwaonyesha wanaodhani kuwa wanaweza kununua utu wetu kwa pesa zao wanajidanganya! na kwa taarifa yao huyo malaya wao atatembea na laana ya waliochukizwa na umalaya wao hadi kifo!shame on them!
Indeed mkuu this is what is called in corporate governance, Corporate social responsibility. These large corporations needs to respect and understand their responsibility to the society. SMZ imeonyesha njia kuwa hizi kampuni kubwa zituheshimu sisi maskini walalahoi na sio kuleta dharau wakati taifa liko katika simanzi. Binafsi nawaomba SMZ waendelee na msimamo huo huo ili kampuni zengize zijifunze kuwa responsible to the community. Kuna siku utatokea msiba mwengine haya makampuni makubwa yanaweza yasiheshimu hata sekunde ya muda kwa kudai wao wako busy sana!!!!
