Tumaini Jipya
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 379
- 125
<br />Kwa kuanzia mi napiga chini line ya voda na modem yao.<br />
Mtu akiwa na line ya voda pia inabidi nifikirie kwanza kabla ya kumpigia!
<br />
Ingekuwa Busara hiyo Hasira yako ungeielekezea Serikali ya Zanzibar kuliko Vodacom,usishughulike na Matawi,shughulika na Mzizi wa Tatizo!! Vodacom ni Wawekezaji,matatizo ya nchi yetu hayawahusu moja kwa moja,wakitoa rambirambi ni Hisani tu!!