engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,149
- 1,441
Hivi leo serikali ndio inauwezo wa kukataa msaada kwa kigezo hicho?
Upuuzi wangekuwa makini kwanza wao kwa kuhakikisha meli ile inasafiri kwa masharti husika yaliopelekea ajali lakini watu wasamehe hawakuisusia serikali kwa uzembe wao, leo wanafanya hivyo kuwahamisha watu kutoka katika uzembe wao na uonekana ubaya wa Vodacom.
Vodacom ni wadhamini tu wa shindano lile ingawa nao wanakasehemu kao lakini waliopanga kama wameamua au wameona kuhairisha ni kusababisha hasara unategemea Vodacom wangefanya nini?.
Nchi hii bana kila kitu siasa
TUNACHOKIONGELEA HAPA mkuu ni ile hali ya kuguswa na matatizo yaliyowakumba wenzako,hata kama umefurahia tatizo kutokea basi onyesha hisia zako kwa wafiwa kuwa nawe limekugusa,kuliko kuendelea kupiga miziki na ngoma kana kwamba kilichotokea wewe hakikuhusu,
hicho kilicho washangaza watu
je waweza kufunguwa sauti ya redio hadi mwisho wakati jirani yako kafiwa na kuna watu kibao wamelala matanga ktk msiba huo?