Ajali ya Basi la Arusha Express na Lori yaua watano Dodoma

Poleni wasafiri kwa mkasa ulio wakuta, tusli na kupiga goti kwa kuendelea kuwa hai.

ni muhimu sana madereva wa mabasi na magari yote wawe makini sana katika kipindi hiki cha kuelekea mwisho wa mwaka.

Tunawaomba Askari wa barabarani wasimchekeee dereva yeyote atakaye vunja sheria za barabarani haswa masafa marefu ya mikoani.
 
Sasa mkuu unawahi wapi...si ungekusanya habari kamili ndipo upost...kwani wanakukimbiza ndugu yangu? Ungesaidia kuokoa majeruhi na kutoa msada stahiki then uje huku utujuze wenzio.
Hata kapicha hakuna
Kuwa wa kwanza kupost kuna raha yake
 
kuna shida mahala hii nchi.
 
Daah nimesikitika sana nilipopata taarifa za hiyo ajali kuwa dereva wa lori alilala likawa limehama upande wake ile dereva wa bus kustukia ikabidi ahame kumbe ndio wanafatana uso kwa uso mbaya sana aisee...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…