wakukurupuka1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 525
- 1,182
Basi linalofanya safari zake kati ya Dar kwenda Arusha limepata ajali maeneo ya Himo.
Chanzo cha ajali hiyo ni basi la Kilimanjaro lililokuwa linajaribu kupita Lori bila tahadhari na kukutana na Lori jingine uso kwa uso. Ili kuepusha madhara dereva wa basi hilo aliamua kulipeleka kulia zaidi na kwenda kugonga frem za nyumba eneo hilo.
Mpaka sasa sina taarifa za uhakika, ila wenye mamlaka watakuja kutoa wenyewe.
Chanzo cha ajali hiyo ni basi la Kilimanjaro lililokuwa linajaribu kupita Lori bila tahadhari na kukutana na Lori jingine uso kwa uso. Ili kuepusha madhara dereva wa basi hilo aliamua kulipeleka kulia zaidi na kwenda kugonga frem za nyumba eneo hilo.
Mpaka sasa sina taarifa za uhakika, ila wenye mamlaka watakuja kutoa wenyewe.