mizigo mikoa yote
Member
- Dec 2, 2023
- 19
- 28
Mwenyezi Mungu afanye wepesi watoke SalamaAjali imetokea jioni hii Mkoani Arusha maeneo ya Duka bovu ikihusisha basi la Kampuni ya Loliondo Coach na gari ndogo,
Ajali iyo imetokea baada ya basi ilo kugongana uso kwa uso na gari aina ya Harrier
Taarifa zaid wataleta mamlaka husika
Habari bila picha ni uzushi na fitinaAjali imetokea jioni hii Mkoani Arusha maeneo ya Duka bovu ikihusisha basi la Kampuni ya Loliondo Coach na gari ndogo,
Ajali iyo imetokea baada ya basi ilo kugongana uso kwa uso na gari aina ya Harrier
Taarifa zaid wataleta mamlaka husika
Nchi gani hii?Mabasi ya mikoani December hii!
View attachment 2838015
Ajali imetokea jioni hii Mkoani Arusha maeneo ya Duka bovu ikihusisha basi la Kampuni ya Loliondo Coach na gari ndogo,
Ajali iyo imetokea baada ya basi ilo kugongana uso kwa uso na gari aina ya Harrier
Taarifa zaid wataleta mamlaka husika
Jamaa kaamua achukue chuma amfukuzie😂😂Mabasi ya mikoani December hii!
View attachment 2838015
Hiyo nahisi ni NISSAN UD. Zina body ngumu kama maisha ya mtanganyika.Mbona kama gari yenyewe ni mkweche kwa kutazama body...
Kwa jinsi gari ndogo ilivyoscrepa hilo basi lilikua speed sanaAjali imetokea jioni hii Mkoani Arusha maeneo ya Duka bovu ikihusisha basi la Kampuni ya Loliondo Coach na gari ndogo,
Ajali iyo imetokea baada ya basi ilo kugongana uso kwa uso na gari aina ya Harrier
Taarifa zaid wataleta mamlaka husika
Hilo ni scania 92 yale magwalagwala...litatoka liliondo kuja arushaMbona kama gari yenyewe ni mkweche kwa kutazama body...
Kama kwenye harrier hakukuwa na watu sawa.Mungu asaidie kusiwe na kifo maana kila mmoja anatamani kubaki salama
Hiyo ni Bangladesh.Nchi gani hii?