Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa 5 wamefariki hapo hapoAjali muda huu maeneo ya Mzakwe (Dodoma)basi la Arusha Express likitokea Arusha kueleka Dodoma.
Tusubiri mamlaka husika zitatoa taarifa za vifo na majeruhi
====
Ajali imetokea mchana huu eneo la Veyula mjini Dodoma. Basi kampuni ya ARUSHA express ikitokea Arusha kwendaMbeya,
Imegongana uso kwa uso na lori
View attachment 2415508View attachment 2415509View attachment 2415510
Hahaa limeanzia ATown.Hilo basi lilipita Minjingu
Kuwa wa kwanza kupost kuna raha yakeSasa mkuu unawahi wapi...si ungekusanya habari kamili ndipo upost...kwani wanakukimbiza ndugu yangu? Ungesaidia kuokoa majeruhi na kutoa msada stahiki then uje huku utujuze wenzio.
Hata kapicha hakuna
Mwisho wa mwaka huuDoh!
Ajali zimeanza kushika hatamu tena
kuna shida mahala hii nchi.Ajali muda huu maeneo ya Mzakwe (Dodoma)basi la Arusha Express likitokea Arusha kueleka Dodoma.
Tusubiri mamlaka husika zitatoa taarifa za vifo na majeruhi
====
Ajali imetokea mchana huu eneo la Veyula mjini Dodoma. Basi kampuni ya ARUSHA express ikitokea Arusha kwenda Mbeya, Imegongana uso kwa uso na lori.
======
Watu hao wamepoteza maisha papo hapo huku wengine wakijeruhiwa baada ya Basi hilo kugongana uso kwa uso na Lori Novemba 13, 2022 mchana eneo la Veyul, Makutupora.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Martin Otieno amethibiti ajali hiyo na kusema bado wanafuatilia chanzo cha ajali na athari zaidi zilizotokana na ajali hiyo.
"Ni kweli ajali hiyo ipo, watu watano wamepoteza maisha katika eneo la ajali na wengine kujeruhiwa na wamekinbizwa hospitali ya Rufaa ya Mkoa kwa matibabu," amesema Otieno.
Basi hilo lilikuwa linatoka Arusha kwenda Mbeya liligongana uso kwa uso na lori la kampuni ya ujenzi ya China Hydropower.
View attachment 2415508View attachment 2415509View attachment 2415510
Acha wivu kwa Maja. Keshatoboa mwenzakoMajaliwa mwingine ataibuka tu kwenye hilo saga