Ajali barabarani ni janga kubwa lenye kuhitaji ufumbuzi sahihi.
Ajali zinaleta vifo, majeruhi, umasikini, hasara, na vyote vyenye kuambatana na hayo.
Ni ukweli usiopingika kuwa ajali zinasababishwa na haya:
1) ujinga - mwendo kasi wa kizembe, ulevi, fujo, utoto, nk barabarani yakiwamo matumizi hovyo ya simu.
2) Kukosa umakini kutokana na usingizi, uchovu, ulevi, nk.
3) Ubovu wa magari, barabara.
#1 linabeba zaidi ya 90% ya tatizo. Jitihada za mwendazake kutaka minimum education kwa madereva kwa kuanza na wale wa Serikali alikuwa na hoja.
#1 Linajieleza zaidi kwanini nchi zilizoendelea Wana viwango vidogo zaidi vya ajali pamoja na kuwa na
magari mengi zaidi per capita.
Ninakazia: Siyo 1, 2, wala 3 yenye kutanzuliwa na polisi wa usalama barabarani.
Viva Abdulhaman Omari Kinana wiki moja iliyopita wengi wetu matumizi kwa rushwa barabarani yalipungua sana.
Ajali zinaleta vifo, majeruhi, umasikini, hasara, na vyote vyenye kuambatana na hayo.
Ni ukweli usiopingika kuwa ajali zinasababishwa na haya:
1) ujinga - mwendo kasi wa kizembe, ulevi, fujo, utoto, nk barabarani yakiwamo matumizi hovyo ya simu.
2) Kukosa umakini kutokana na usingizi, uchovu, ulevi, nk.
3) Ubovu wa magari, barabara.
#1 linabeba zaidi ya 90% ya tatizo. Jitihada za mwendazake kutaka minimum education kwa madereva kwa kuanza na wale wa Serikali alikuwa na hoja.
#1 Linajieleza zaidi kwanini nchi zilizoendelea Wana viwango vidogo zaidi vya ajali pamoja na kuwa na
magari mengi zaidi per capita.
Ninakazia: Siyo 1, 2, wala 3 yenye kutanzuliwa na polisi wa usalama barabarani.
Viva Abdulhaman Omari Kinana wiki moja iliyopita wengi wetu matumizi kwa rushwa barabarani yalipungua sana.