Ajali Barabarani: Tuzijue sababu, kuepuka upotoshwaji

Yani hapa mkoani kahama kiufupi madereva wengi wanajifunzia humu humu hakuna bajaji,pikipiki,gari na vyombo vingine.

nilichoka yani mtu unavuka barabara na anakuona ila ndio kwanza anaongeza mwendo .

mfano wa pili hapa kahama watu hawafahamu sheria hata kidogo na hakuna ukaguzi makini ili mradi maisha yana songa.

Haya yote naona unakazia kwenye ule ubora wetu - ujinga!

Tuwakatae waendesha vyombo vya moto wasiokuwa na minimum basic education.

Hatutaki ajali zao zenye kutugharimu sisi maisha.
 
Kwa hakika watu hawa hawawezi kusaidia kuondoa tatizo la ajali:

View attachment 2321497

Kivyao vyao bila shaka sasa IST, Tractor, Hilux, na Scania zote zinapaswa kuwekwa pembeni ya kuwa ni mbovu kwani hivi karibuni zimehusika kwenye ajali.

Polisi traffic mmetunyonya sana kwa rushwa zenu. Hatutapoa hadi kieleweke.
ujinga - mwendo kasi wa kizembe, ulevi, fujo, utoto hapa umemeliza kila kitu
 
Hizo ni isolated accidents, main reason ya ajali nyingi ni miundo mbinu mibovu tuliyokua nayo, hata alama za usalama barabarani hakuna
Isolated? Si uweke mifano ya kutosha yenye kuakisi hiyo main course kuwa miundo mbinu?

Kwani hao wanaoendesha hawana mchango wa kufanya kuepusha ajali kwenye miundo mbinu mibovu?

Kumbuka Mwakata, Singida na Mtwara ajali zimetokea kwenye barabara ambalo kwa standard zetu ni barabara zuri la lami, liliochorwa barabara na pasipokuwa wala kona.
 
Ajali za barabarani Kwa tanzania Kwa asilimia 90 ni Uzembe WA Madereva.

Imagine zile basi za sauli na Newforce huwa zinashindana Nani atafika Mbeya Mapema.

Solution: serikali iwekeze kwenye technology ; nchi hii ina vijana wengi wanaojua kutengeneza mifuno ya kupunguza hizi ajali. Traffic police pekee hawawezi. Wizara ya sayansi waitishe Challenge ya vijana kubuni mifuno ya technology ya kupunguza ajali. Nakuhakikishia itapatikana mifumo hizi ajali zinaweza kupungua hata Kwa asilimia 90.

Tatizo la nchi yetu siasa ni nyingi kila sehemu. Na WAnasiasa ndio wanaonekana kuwa na akili kuliko watu wote wakiwemo hata wataalam WA technology sababu inayopelekea wao pekee kuwa wanatoa mawazo.



Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app

Ninakazia: "Ajali za barabarani Kwa tanzania Kwa asilimia 90 ni Uzembe WA Madereva."

Ila ujinga huu waondolewa vipi kwa teknolojia?
 
Ajali za barabarani Kwa tanzania Kwa asilimia 90 ni Uzembe WA Madereva.

Imagine zile basi za sauli na Newforce huwa zinashindana Nani atafika Mbeya Mapema.

Solution: serikali iwekeze kwenye technology ; nchi hii ina vijana wengi wanaojua kutengeneza mifuno ya kupunguza hizi ajali. Traffic police pekee hawawezi. Wizara ya sayansi waitishe Challenge ya vijana kubuni mifuno ya technology ya kupunguza ajali. Nakuhakikishia itapatikana mifumo hizi ajali zinaweza kupungua hata Kwa asilimia 90.

Tatizo la nchi yetu siasa ni nyingi kila sehemu. Na WAnasiasa ndio wanaonekana kuwa na akili kuliko watu wote wakiwemo hata wataalam WA technology sababu inayopelekea wao pekee kuwa wanatoa mawazo.



Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app

Ninakazia: "Ajali za barabarani Kwa tanzania Kwa asilimia 90 ni Uzembe WA Madereva."

Ila ujinga huu wenye kugharimu maisha ya waliomo na wasiokuwamo waondolewa vipi kwa teknolojia?
 
Back
Top Bottom