Hiyo video ya ufuska ndio ipi? Au ndio kukurupuka hukoKuposti picha za kufuska mtandaoni.
WCB inalea udhalilishaji na ufuska wa Rayvanny?
Hiyo video ya ufuska ndio ipi? Au ndio kukurupuka hukoKuposti picha za kufuska mtandaoni.
WCB inalea udhalilishaji na ufuska wa Rayvanny?
Hata hiyo video haina maudhui ya kingono Kama tunavyoaminishwa ebu cheki hiyo video inatatizo?hiyo video unaweza kuifananisha ya kina umber rutty serious?Hapo kesi labda ni kuchapisha maudhui yasiyofaa mitandaoni..private candidate huyo sio mwanafunzi. Binti mwenyewe anaonekana ni malaya tu.
Inaanguka kivip?Hili ndio anguko LA wcb kwa hakika
very easy kuita majina hayo kwa vile sio nduguyo au damuyo.ila ungejaitiwa hivo nduguyo au damuyo ungerusha ngumiHapo kesi labda ni kuchapisha maudhui yasiyofaa mitandaoni..private candidate huyo sio mwanafunzi. Binti mwenyewe anaonekana ni malaya tu.
Sasa kwan ni uongo sio malaya?very easy kuita majina hayo kwa vile sio nduguyo au damuyo.ila ungejaitiwa hivo nduguyo au damuyo ungerusha ngumi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema hili me naona likiisha kikubwa zaididaaaaah, ila kwa maelezo haya, vanny boy yupo hatarini, maana muhusika anamtema na kumuangushia mzigo wa case lol. Patamu hapo.
Hatareeeh sanaah lolSema hili me naona likiisha kikubwa zaidi
Ngoja tusubiri mi-information zaidi🤣🤣🤣🤣Hatareeeh sanaah lol
Nimeona in4 kuwa wameachiwa watuhumiwa.Ngoja tusubiri mi-information zaidi
Mimi nimeona post kutoka kwa Baba Levo kesi ishaisha wamemalizana.Ila ngoja tusubirie kutoka kwao wenyewe wahusika.Nimeona in4 kuwa wameachiwa watuhumiwa.
Sasa kirahc hivo jaman🤔🤔🤔 mjomba nchumari atakuwa anajisikiaje???🤣🤣🤣Nimeona in4 kuwa wameachiwa watuhumiwa.
Yupo hata nammalizia na alkasusu ya jana.. 😀😀😀Sasa kirahc hivo jaman🤔🤔🤔 mjomba nchumari atakuwa anajisikiaje???🤣🤣🤣
Limeisha hilo, ni mchawi mmoja tu ndio alitaka leta nuksi zake. Njomba NchumaliSema hili me naona likiisha kikubwa zaidi
Watu wabadi wameyamaliza huko🤣🤣🤣🤣🥰🤣Yupo hata nammalizia na alkasusu ya jana.. 😀😀😀
Jamaa kiki yake imezimwa vibaya yaaniWatu wabadi wameyamaliza huko🤣🤣🤣🤣🥰🤣
Ameshindwa katika jina la mtu mbadi😆😆Limeisha hilo, ni mchawi mmoja tu ndio alitaka leta nuksi zake. Njomba Nchumali
Chui 🐆🐆🐆🔥🔥🔥🔥Ameshindwa katika jina la mtu mbadi😆😆
AiiiiiChui 🐆🐆🐆🔥🔥🔥🔥
Jambo lolote si linaelekezwa mkuu kama hajui si ataambiwaElimu haijanisaidia kupata hela ila imenitoa upumbavu wa kukurupuka na kuendeshwa na hisia bila facts. Harmonise anakurupuka kesi ipo TCRA ila si hicho anachokifikiri