mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 7,832
- 3,459
ukuriani watoto wa mkeo ni wako,
safi Hamonize kwa kuwa na binti mrembo
safi Hamonize kwa kuwa na binti mrembo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Div. O haiwezi andika vizuri hivyoo.
Hakupataa div 0, alipata dv 4, now ka reseat na kafaulu, anasubir kwenda advance level.Div. O haiwezi andika vizuri hivyoo.
Advance ya private candidate hawezi kuingia tena kwenye mfumo rasmi.Hakupataa div 0, alipata dv 4, now ka reseat na kafaulu, anasubir kwenda advance level.
Hakupataa div 0, alipata dv 4, now ka reseat na kafaulu, anasubir kwenda advance level.
Jichanganye kwa MwanafunziNa kama sifaham vizur sheria mnisahihishe ni kama katiba inasema mwanamke anaeanzia 15yrs yupo fresh kwa kuolewa
khaaaaaah konde girls high schoolLabda A level ya Konde.
Oooooh kumbe, sikua najua hili pia.Advance ya private candidate hawezi kuingia tena kwenye mfumo rasmi.
Rubbish.Tamko la muhusika (Paula) hili hapa. View attachment 1704128
sasa niniRubbish.
Cha kukusaidia Paula Hana account ya Twitter huyo atakuwa mtu anayejifanya Paula watu Kama hao wapo wengi Sana mitandaonisasa nini
Sasa Harmonize ana mke tangu lini?ukuriani watoto wa mkeo ni wako,
safi Hamonize kwa kuwa na binti mrembo
Ile video hakika inakera sana jamaa alipeleka mzigo wote ghafla dah hatari sana
Wee nae ulivofunga kibwebwe kushadadia hilo khaaaah, hakuna asiyejua mwaya, tunachangamsha genge tu hapa lol.Cha kukusaidia Paula Hana account ya Twitter huyo atakuwa mtu anayejifanya Paula watu Kama hao wapo wengi Sana mitandaoni
Mnyama ni mnya tu .. huwa nafurahi nikisia sana hio verse ya chuuiVijana wengi wazembe,
wengi waongo,
chumbani butuuuu,
Wazeee wa mndende,
mara mkongo, alkasusuu,
Zamani si ndo majembeeeee😆😆😆😆 hii nyimbo ya chui naikubali sanaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hawa watoto hawana akili, wanamuona Diamond sijui nani, kulikuwa na watu nchi hii...Wasafi tv imefungiwa miezi6 kwa kosa la gigi mpaka sasa ameplay undava upi...embu tuanzie hapo...katika hii nchi diamond ni mtu mdogo sasa yani watu wakiamua yao dk0 anarudi tandale..kuna mtu alikua anaitwa Lugumi alikua tajiri na nyumba kam 200 ivi..muulize sasahivi yuko wapi na anahali gani
Nimekudharau sana... Diamond unamuonajr kt nchi hii? Tena nakuambia kt ushawishu hasa kwa vigogo vya serikali hajafuka hata nusu ya marehemu Ruge, Mond amejichafua haaminiki. Hutaki achaUnapomuongelea Diamond unamuongelea JPM mwenyewe a.k.a ngosha au jiwe..... Waulize TCRA wakwambie kilichowapata baada ya Mond kumpigia simu Mzee , Mzee aliuliza Tu adhabu imeanza Lin , kilichofuata adhabu inaishia mwez huu....Wasafi TV hewani
Nimekudharau sana... Diamond unamuonajr kt nchi hii? Tena nakuambia kt ushawishu hasa kwa vigogo vya serikali hajafuka hata nusu ya marehemu Ruge, Mond amejichafua haaminiki. Hutaki acha
Chuiiiiiii🐅🐅🐅🐆🐆🐆🐆🐅🐅🐆🐆🐆Mnyama ni mnya tu .. huwa nafurahi nikisia sana hio verse ya chuui
Aaah eeh! Sarakasi mpaka Tae Kwon Do
Aaah eeh! Kata kata cha mgando
Aaah eeh! Ghetto vita kama ya commando
Aaah eeh! Shika beto mama kula tango
Touch your toes, shake for me
Shake, shake, shake for me
Now hold your knees, shake for me
Shake, shake, shake for me