A
Anonymous
Guest
Baba mmoja aliyefahamika kwa majina kama Dickson Chilongola anadaiwa kumbaka binti yake wa miaka 10 hata hivyo baadhi ya Polisi wanatuhumiwa kumlinda na sasa mshukiwa kwa sasa yuko nje kwa dhamana mbali na kuwepo kwa Ushahidi wa daktari kuwa binti huyo alifanyiwa unyanyasaji wa kingono
Tukio hilo liliripotiwa kituo cha Polisi cha Mlandizi ambako washtaki walichukuliwa maelezo lakini waliopeleka maelezo waliitwa ili kusaini maelezo mengine ambayo waliambiwa maelezo yao ya awali kituoni hapo 'yalikosewa kidogo'.
Baada ya tukio hilo, mbakaji aliachiwa na Polisi na tangu kutokea kwa tukio hilo hadi sasa hakuna kinachofahamika kuendelea zaidi ya danadana za hapa na pale.
Aidha, familia hiyo iliyokuwa inaishi pamoja kwa sasa wametengana, na Ushahidi wa vitisho upo ukionesha ndugu wa mbakaji wamekuwa wakimpa mama wa mtoto huyo.
Natoa wito kwa Vyombo vya Dola kuchukua hatua dhidi ya tukio hili kwa kuwa binti ameshaathirika kisaikolojia kufuatia tukio hilo na mama mzazi anaonekana kuwa kwenye hali ya kutishiwa maisha.
Tukio hilo liliripotiwa kituo cha Polisi cha Mlandizi ambako washtaki walichukuliwa maelezo lakini waliopeleka maelezo waliitwa ili kusaini maelezo mengine ambayo waliambiwa maelezo yao ya awali kituoni hapo 'yalikosewa kidogo'.
Baada ya tukio hilo, mbakaji aliachiwa na Polisi na tangu kutokea kwa tukio hilo hadi sasa hakuna kinachofahamika kuendelea zaidi ya danadana za hapa na pale.
Aidha, familia hiyo iliyokuwa inaishi pamoja kwa sasa wametengana, na Ushahidi wa vitisho upo ukionesha ndugu wa mbakaji wamekuwa wakimpa mama wa mtoto huyo.
Natoa wito kwa Vyombo vya Dola kuchukua hatua dhidi ya tukio hili kwa kuwa binti ameshaathirika kisaikolojia kufuatia tukio hilo na mama mzazi anaonekana kuwa kwenye hali ya kutishiwa maisha.