Hata akinunua sukari analipa kodi akipanda daladala analipa kodi. Hajalipa kodi ki vipi?uliingizwa chaka unajua. hata ndege hiyo imekujaje kujaje au imepatikanaje...wakati toka uzaliwa hujawahi kulipa hata senti ya kodi serikalini
Hata akinunua sukari analipa kodi akipanda daladala analipa kodi. Hajalipa kodi ki vipi?uliingizwa chaka unajua. hata ndege hiyo imekujaje kujaje au imepatikanaje...wakati toka uzaliwa hujawahi kulipa hata senti ya kodi serikalini
tulia wewe pimbi kwani hiyo mitumba ya Japan kanunua magufuli??Sasa Rais Magufuli anahudika na nini katika hiyo hitlafu ya ndege? Kwani yeye ametengeneza hizo ndege? Ina maana hiyo mitumba yenu ya magari kutoka Japan ikiharibika nyie ndiyo wa kulaumiwa?
Akili zenu ni za kitoto sana. Jaribu kubarehe Kwanza. Mnachukia mtu mpaka mnapoteza fahamu? Poleni sana masikini wa akili.
Ni wagonjwa nyie!
Hiyo hiyo hitilafu,haya to a jibu.hitirafu ndo nini?
shida sio wafanyakazi,shida ni jiweHao maruban hawana akili ndege ilishafika singida kumalizia dar walishindwa nn km za SGD to MZA na SGD to DSM n km ngap hapo difference Kama n emergency landing siwAnge opt KIA airport saa zingine Hawa wafanyakaz ndo wanachangia kurudisha maendeleo nyuma
akikujibu unitag...Kwani aliezinunua hizo ndege si nae hizi herufi bado zimeendelea kuwa changamoto kwake? Hulijui hilo?
Mtoto wa jirani akiwa mwizi na wa kwako awe mwiziUkisoma hii habari. Inaonekana hizi egines za P&W Zina matatizo na sio ATC pekee. Sijui kwa nini watu Wana laumu as if ni Ndege za ATC tu ndo zenye engine failer
Wametuziesha kila kitu press conferenceNi kweli hata mimi nashangaa watu wanataka taarifa, kwani hizo ndege ni zetu au za meko?
mbovu ndo maana imeshindwa kuendelea na safariPointi iliyopo ni kuwa je, dege ni bovu au sio bovu? Full stop!
Ndege haipaswi kuwa na hitilafu, au mimi ndio sijakuelewa?Kwa hiyo ndege zenu hazipaswi kuwa na hitirafu kabisaa, kana kwamba zimetengenezwa na Mungu eti ee? Kama ilivyo kwa Gari hats ndege hivyo hivyo zinaharibika na kutengenezwa!
ujasili ndo nini?Thx God, ndege imetua salama, na huo ndio ujasili wa rubani, kimsingi rubani kiongozi na wasaidizi wake wanapaswa kupewa pongezi nyingi, ktk biashara hayo mambo yapo sana, tatitzo wengine hata kuuza pipi tu hawajawahi kuuza, kwa hyo ukiwaeleza kuhusu changamoto za kibiashara wao hawajui,
Biashara inastaji nne mhimu
1) loose, loose, loose
2) loose, gain, loloos
3) gain, gain, loose
4), gain, gain, gain
Sasa kila stage inachangamoto zake, stage iliyongum sana ni ya kwanza, maana, inahusisha mtaji, bila faida, kwa mazingra yake biashara nying huwa zinakufa ktk kipind cha mwanzo wa biashara au kat..
Kwa airtz, wanapitia kwenye changamoto nying lkn naamin watavuka tu wakiwa na nia...
hii kampuni haifiki popote itakufa tuuHivi kipao mbele cha watanzania ilikuwa ni ndege hayo madenge ni hasara tu.bora tungewekeze kwenye maji.afya .elimu na mengineyo.kenya kila siku wanalia hasara
Eti matatizo Kwenye ndege ni kitu cha kawaida, yaani ni ndege za ATCL tu ndo zinaandamwa na matatizo, haikutokea kwa Fast jet wala haitokei kwa Precision, sisi hapa tunajiandaa kutangaziwa msiba wa taifa, endeleeni kupanda hizo ndegeWakuu,
Ile Ndege yetu aina ya Airbus A220-300 iliyokuwa imeshikiliwa Afrika kusini katika uwanja wa Oliver Tambo jijini Johannesburg, jana imeendelea kupatwa na Majanga baada ya kudaiwa kwamba injini yake kupata matatizo wakati ikiwa angani ikitokea Mwanza kwenda Dar.
Imedaiwa rubani wa ndege hiyo aliamua kuirudisha Mwanza na kutua salama japo Injini itahitajika kubadilishwa ili iweze kupaa. Alikuwa kapaa angani urefu wa futi 7,500.
Matatizo kwenye ndege ni jambo la kawaida, tatizo ni kwanini tunafichwa habari? Kwa usiri huu napata wasiwasi kama ATCL inafanya kazi kwa viwango vya kimataifa. Wasafiri walitakiwa waambiwe tatizo na kuombwa radhi.
Nashauri tuiuze na hela tuwanununulie Bima ya Afya wajane na wote wasiojiweza Tanzania.
Angalia mchoro hapa chini ya U turn ya nguvu akiwa Singida njiani kwenda Dar akaamua kurudi Mwanza. Rubani apewe tuzo au cheo Serikalini. Kaokoa roho za watu..
![]()
Air Tanzania’s flight TC 123 from Mwanza to Dar es Salaam yesterday suffered an engine failure not long after taking off from the lakeside city.
The aircraft had reached an altitude of just over 7.500 feet when the engine failed and the pilots decided to immediately return to their airport of origin as the nearest point of landing.
The aircraft landed safely but will have to remain on the ground for an engine change.
Meanwhile does this seem to be another case of an Airbus A220 engine failing, which prompted the FAA earlier this month to issue an Air Worthiness Directive about several similar engine failures of the Pratt and Whitney Geared Turbofan engine, which affected Air Baltic but also other airlines operating this aircraft type.
The FAA notice, which was published on September 10th, i.e just over two weeks ago, proposes the inspections of the PW1500Gs and PW1900G. It also requires that the gap between the oil supply of the engine and the fuel oil cooler must to be inspected on a more regular basis. Operators of this engine type are already exchaning the fuel oil cooler and the supply tube for new components to comply with Pratt & Whitney’s own service guidance.
The issue came to light earlier this year when P&W addressed it with its service bulletins.
Meanwhile has Swiss recently also suffered two engine failures in flight, raising additional questions about the PW engines used, more so as Airbus had similar experiences when the A320NEO family was launched, using this engine type.
These engine failures have in the past also affected Korean Air and other operators, raising serious questions about P&W’s workmanship, component reliability and generally the safety of this engine type.
Air Tanzania has two Airbus A220-300 in service and only recently ordered an additional two such aircraft for delivery in 2021.
![]()
Air Tanzania’s Airbus A220 suffers engine failure
AIRBUS A223’S ENGINE FAILURE PROMPTS RETURN OF FLIGHT TC123 TO MWANZA (Posted 27th September 2019) Air Tanzania’s flight TC 123 from Mwanza to Dar es Salaam yesterday suffered an engine…atcnews.org
hizi ndege hazina msaada wowote kwa taifa,hii kampuni ife tuUna uhakika kuwa ndege ni zetu sote? Ulisikia maneno ya viongozi wa chama tawala waliyokuwa wakiyatoa pale uwanjani siku ya mapokezi ya ndege hizo? Zile ni mali za ccm mkuu,hivi unaweza kusema viwanja vya michezo ni mali ya nchi? Japo vilijengwa kwa nguvu za wananchi wote? Acha tu wengine waviombee mabaya maana vinatumika kama fimbo ya kuwaadhibu,hukumbuki Zitto kabwe alipopanda hiyo ndege watu walifanya kama headline kwenye magazeti yote ya ccm na vibaraka wao kina msiba?maana alionekana kama nguruwe aliyeingia msikitini!! Ya nini sasa?kwanza asilimia tisini+ ya watanzania Wazalendo wa kweli hawana hata mategemeo ya kuja kuweza kulipa nauli ya ndege,kwa hiyo kwao yawepo au yasiwepo kwao ni sawa tu! Tunayashangiliaga tu kwa kuwa wakubwa wanaolindwa na polisi,jeshi,migambo na mabunduki mengi wametulazimisha kushangilia,ila kiukweli hayana maana yoyote kwa mkulima wa mihogo na mtama huko namtumbo,kilimo chenyewe cha hand to mouth,nauli itoke wapi?
Hahahahah wakimaliza wk bila kusifia magazeti yanafungiwa, watakula wapi?Hizi ndege, mh!!!!!
Wahariri kazi kuandika habari za kusifia tu hasa kumsifu bwana yule, ila kuandika habari kama hizi, hawaandiki!!
Inawezekana kweli mnatishwa,lakini swali ni je,na kusifia mnalazimishwa?
chato, pumbavuuu kabisaNadhani Airbus haiwezi kutua Dodoma, labda angetua KIA.
Viwanja vya hiyo ndege ni Dar, Zanzibar, KIA, Mwanza, Chato, na Songwe kama sikosei
Wewe endelea kupanda hizo ndege tatizo liko wapi? ila kumbuka tu kuandika mirathi mapemaSijaelewa..!! Uo usiri unaoulalamikia unataka kila ndege ya ATCL ikipatwa na hitirafu unataka Waziri Kamwele aite press atangaze au CEO wa ATCL atabgaze.?? Shirika gani linafanya hivo hapa duniani?
Tunasubiri lianguke kwanza naona Hii ni mara tatu lina beepSasa mkafanye sherehe
1. Kibaya ni kuwa tunasifia kununua ndege kwa gharama kubwa wakati huu ambao mashirika mengi yaliyo kwenye biashara hiyo wanalalamika kuwa wanapata hasara, naHizi ndege, mh!!!!!
Wahariri kazi kuandika habari za kusifia tu hasa kumsifu bwana yule, ila kuandika habari kama hizi, hawaandiki!!
Inawezekana kweli mnatishwa,lakini swali ni je,na kusifia mnalazimishwa?
hii kampuni ife tu,hela zinapotea bure tu, pumbavuuu kabisa jiweHiyo ndege ni kimeo. Ni ndege inayodaiwa kuwa na kasoro nyingi sana toka ikiwa kiwandani.
Mimi nilishasema hata bure, ndege za ATCL sitazipanda. Wanafanya kazi kwa kubahatisha sana.