Air Tanzania’s Airbus A220 suffers engine failure

Air Tanzania’s Airbus A220 suffers engine failure

Sijaelewa..!! Uo usiri unaoulalamikia unataka kila ndege ya ATCL ikipatwa na hitirafu unataka Waziri Kamwele aite press atangaze au CEO wa ATCL atabgaze.?? Shirika gani linafanya hivo hapa duniani?
Huoni Aibu kuongea Pumba hizi?
 
Kuna haja ya kuwa na kiwanja kikubwa kati ya maeneo ya Tabora na Singida kwa ajili ya abiria au mizigo, na kwa ajili ya emergency landing kama haiwezekani kibiashara basi uendeshwe japo na Jeshi ila wawe wanaruhusu emergency landing..umbali wa kurudi Mwanza bado haukuwa salama sana..
 
Hizi ndege, mh!!!!!

Wahariri kazi kuandika habari za kusifia tu hasa kumsifu bwana yule, ila kuandika habari kama hizi, hawaandiki!!

Inawezekana kweli mnatishwa,lakini swali ni je,na kusifia mnalazimishwa?
Kuna utafiti wa UDSM kuhusu kushuka kwa viwango vya ubora wa habari bongo. Kwa ivo usishangae
 
Back
Top Bottom