Air Tanzania’s Airbus A220 suffers engine failure

Air Tanzania’s Airbus A220 suffers engine failure

Tatizo letu tumegawanyika kweli kweli mpaka non issues zinageuka major issues. Kwenye aviation sio ajabu engine kuzingua. Tatizo labda ni manunuzi ya hizi ndege, mikataba inasemaje? Isije ikawa hata ikiharibika mapema hivi mzigo wetu
 
Nchi hii tumejaa majungu sana, wajane wapo siku zote tangu enzi za Yesu hawawezi kusaidika kwa pesa za ndege.
Magufuli nunua ndege zingine lkn kwa utaratibu.
Ujio wa airtz umeshusha bei za usafiri wa anga sana na sasa Precission air wameshusha hadi 50k na 91k
 
We nawe ni mpuuzi. Wataalam wanashangaa kwa nini engine hizo zimekuwa zikifail, wewe usiye na ujuzi unasema ni kawaida.

Kiuhalisia ndege haistahili kuharibika ikiwa inafanya kazi. Kila part ina muda wake wa replacement, kabla ya muda ambao hiyo part inaweza kupata failure. Kwa hiyo kimsingi ndege haistahili kuharibika na wala replacement ya parts huwa haisubiri part ipate failure.
Muongezee kuwa ndege ikishatua na hata kabla haijaruka huwa inafanyiwa service?

Ndege ilifanyiwa services au ili kupunguza gharama za uendeshaji wa biashara tusiingize hasara imebidi tupunguze baadhi ya matumizi?
 
Wakuu,

Ile Ndege yetu aina ya Airbus A220-300 iliyokuwa imeshikiliwa Afrika kusini katika uwanja wa Oliver Tambo jijini Johannesburg, jana imeendelea kupatwa na Majanga baada ya kidaiwa kwamba injini yake kupata matatizo wakati ikiwa angani ikotea mwanza kwenda Dar.

Imedaiwa rubani wa ndege hiyo aliamua kuirudisha mwanza na kutua salama japo Injini itahitajika kubadilishwa ili iweze kupaa. Alikuwa kapaa urefu wa futi 7,500

Matatizo kwenye ndege ni jambo la kawaida, tatizo ni kwanini Tunafichwa habari? Kwa usiri huu napata wasiwasi kama ATCL inafanya kazi kwa viwango vya kimataifa.

Nashauri tuiuze na hela tuwanununulie Bima ya Afya wajane na wote wasiojiweza Tanzania

Angalia mchoro hapa chini ya U turn ya nguvu. Rubani apewe tuzo au cheo Serikalini. Kaokoa roho za watu..

image

Air Tanzania’s flight TC 123 from Mwanza to Dar es Salaam yesterday suffered an engine failure not long after taking off from the lakeside city.

The aircraft had reached an altitude of just over 7.500 feet when the engine failed and the pilots decided to immediately return to their airport of origin as the nearest point of landing.

The aircraft landed safely but will have to remain on the ground for an engine change.

Meanwhile does this seem to be another case of an Airbus A220 engine failing, which prompted the FAA earlier this month to issue an Air Worthiness Directive about several similar engine failures of the Pratt and Whitney Geared Turbofan engine, which affected Air Baltic but also other airlines operating this aircraft type.

The FAA notice, which was published on September 10th, i.e just over two weeks ago, proposes the inspections of the PW1500Gs and PW1900G. It also requires that the gap between the oil supply of the engine and the fuel oil cooler must to be inspected on a more regular basis. Operators of this engine type are already exchaning the fuel oil cooler and the supply tube for new components to comply with Pratt & Whitney’s own service guidance.

The issue came to light earlier this year when P&W addressed it with its service bulletins.

Meanwhile has Swiss recently also suffered two engine failures in flight, raising additional questions about the PW engines used, more so as Airbus had similar experiences when the A320NEO family was launched, using this engine type.

These engine failures have in the past also affected Korean Air and other operators, raising serious questions about P&W’s workmanship, component reliability and generally the safety of this engine type.
Air Tanzania has two Airbus A220-300 in service and only recently ordered an additional two such aircraft for delivery in 2021.

Yeuwiii! Mambo yameanza kukorogeka.
 
Tushukuru Mungu ilikuwa bado haijapaa juu zaidi futi 27000 huko ndiyo hali ingekuwa mbaya sana
Wakuu,

Ile Ndege yetu aina ya Airbus A220-300 iliyokuwa imeshikiliwa Afrika kusini katika uwanja wa Oliver Tambo jijini Johannesburg, jana imeendelea kupatwa na Majanga baada ya kidaiwa kwamba injini yake kupata matatizo wakati ikiwa angani ikotea mwanza kwenda Dar.

Imedaiwa rubani wa ndege hiyo aliamua kuirudisha mwanza na kutua salama japo Injini itahitajika kubadilishwa ili iweze kupaa. Alikuwa kapaa urefu wa futi 7,500

Matatizo kwenye ndege ni jambo la kawaida, tatizo ni kwanini Tunafichwa habari? Kwa usiri huu napata wasiwasi kama ATCL inafanya kazi kwa viwango vya kimataifa.

Nashauri tuiuze na hela tuwanununulie Bima ya Afya wajane na wote wasiojiweza Tanzania

Angalia mchoro hapa chini ya U turn ya nguvu. Rubani apewe tuzo au cheo Serikalini. Kaokoa roho za watu..

image

Air Tanzania’s flight TC 123 from Mwanza to Dar es Salaam yesterday suffered an engine failure not long after taking off from the lakeside city.

The aircraft had reached an altitude of just over 7.500 feet when the engine failed and the pilots decided to immediately return to their airport of origin as the nearest point of landing.

The aircraft landed safely but will have to remain on the ground for an engine change.

Meanwhile does this seem to be another case of an Airbus A220 engine failing, which prompted the FAA earlier this month to issue an Air Worthiness Directive about several similar engine failures of the Pratt and Whitney Geared Turbofan engine, which affected Air Baltic but also other airlines operating this aircraft type.

The FAA notice, which was published on September 10th, i.e just over two weeks ago, proposes the inspections of the PW1500Gs and PW1900G. It also requires that the gap between the oil supply of the engine and the fuel oil cooler must to be inspected on a more regular basis. Operators of this engine type are already exchaning the fuel oil cooler and the supply tube for new components to comply with Pratt & Whitney’s own service guidance.

The issue came to light earlier this year when P&W addressed it with its service bulletins.

Meanwhile has Swiss recently also suffered two engine failures in flight, raising additional questions about the PW engines used, more so as Airbus had similar experiences when the A320NEO family was launched, using this engine type.

These engine failures have in the past also affected Korean Air and other operators, raising serious questions about P&W’s workmanship, component reliability and generally the safety of this engine type.
Air Tanzania has two Airbus A220-300 in service and only recently ordered an additional two such aircraft for delivery in 2021.

 
Mkuu ameogopa kuitwa beberu
We nawe ni mpuuzi. Wataalam wanashangaa kwa nini engine hizo zimekuwa zikifail, wewe usiye na ujuzi unasema ni kawaida.

Kiuhalisia ndege haistahili kuharibika ikiwa inafanya kazi. Kila part ina muda wake wa replacement, kabla ya muda ambao hiyo part inaweza kupata failure. Kwa hiyo kimsingi ndege haistahili kuharibika na wala replacement ya parts huwa haisubiri part ipate failure.
 
Wakuu,

Ile Ndege yetu aina ya Airbus A220-300 iliyokuwa imeshikiliwa Afrika kusini katika uwanja wa Oliver Tambo jijini Johannesburg, jana imeendelea kupatwa na Majanga baada ya kidaiwa kwamba injini yake kupata matatizo wakati ikiwa angani ikotea mwanza kwenda Dar.

Imedaiwa rubani wa ndege hiyo aliamua kuirudisha mwanza na kutua salama japo Injini itahitajika kubadilishwa ili iweze kupaa. Alikuwa kapaa urefu wa futi 7,500

Matatizo kwenye ndege ni jambo la kawaida, tatizo ni kwanini Tunafichwa habari? Kwa usiri huu napata wasiwasi kama ATCL inafanya kazi kwa viwango vya kimataifa.

Nashauri tuiuze na hela tuwanununulie Bima ya Afya wajane na wote wasiojiweza Tanzania

Angalia mchoro hapa chini ya U turn ya nguvu. Rubani apewe tuzo au cheo Serikalini. Kaokoa roho za watu..

image

Air Tanzania’s flight TC 123 from Mwanza to Dar es Salaam yesterday suffered an engine failure not long after taking off from the lakeside city.

The aircraft had reached an altitude of just over 7.500 feet when the engine failed and the pilots decided to immediately return to their airport of origin as the nearest point of landing.

The aircraft landed safely but will have to remain on the ground for an engine change.

Meanwhile does this seem to be another case of an Airbus A220 engine failing, which prompted the FAA earlier this month to issue an Air Worthiness Directive about several similar engine failures of the Pratt and Whitney Geared Turbofan engine, which affected Air Baltic but also other airlines operating this aircraft type.

The FAA notice, which was published on September 10th, i.e just over two weeks ago, proposes the inspections of the PW1500Gs and PW1900G. It also requires that the gap between the oil supply of the engine and the fuel oil cooler must to be inspected on a more regular basis. Operators of this engine type are already exchaning the fuel oil cooler and the supply tube for new components to comply with Pratt & Whitney’s own service guidance.

The issue came to light earlier this year when P&W addressed it with its service bulletins.

Meanwhile has Swiss recently also suffered two engine failures in flight, raising additional questions about the PW engines used, more so as Airbus had similar experiences when the A320NEO family was launched, using this engine type.

These engine failures have in the past also affected Korean Air and other operators, raising serious questions about P&W’s workmanship, component reliability and generally the safety of this engine type.
Air Tanzania has two Airbus A220-300 in service and only recently ordered an additional two such aircraft for delivery in 2021.

huu mteru sasa........sijui ni cancel flight yangu ya kesho??!!
 
Back
Top Bottom