Air Tanzania’s Airbus A220 suffers engine failure

Air Tanzania’s Airbus A220 suffers engine failure

Ndege mpya inaharibikaje kaka?

Kitu kikiwa kipya mpaka kugusa injini ni miaka 5 kwenda mbele....

Vigari tu hivi vya kijapani pamoja na kutumika kwao lkn vikija huku unaweza piga nayo miaka 7 ndo ukagusa injini....

Hiyo ndegw ni mbovu toka huko au service hakuna
Sio kweli. Hujui ndege injini yake ikipigwa na ndege wa kuruka tu ni shida.
 
Mali mpya inapoingizwa sokoni, kuaminika ili kuliteka soko huwa inachukua muda!. Jana tu, huko Marekani, FAA walitoa amri ya ndege hizi za Airbus 220-300 zenye E2 za Pratty & Whitney's pamoja na Embraer E190 yenye E2.. Zifanyiwe ukaguzi baada ya ndege moja ya aina hiyo mali ya Swiss International Airlines kupata matatizo ya injini moja kuzimika ikiwa angani.

Inawezekana na hii ya kwetu baada ya kupata taarifa za jana Rubani akaamua kugeuza!!... Au yawezekana ikawa ni muendelezo wa vita ya kibiashara inayoendelea kati ya Boeing na Airbus wakigombea kuuza zaidi... Naamini tutapata majibu sahihi kutoka kwa wahusika.

https://atwonline.com/engines/faa-orders-some-a220-e2...
 
Maelezo ya umombo yamefafanua uzuri kuliko maelezo ya "kimatumbi"...

Kifupi tumeingia chaka kwa mujibu wa matokeo ya hako ka research kafupi juu ya injini hizo za Airbus...
 
Sijaelewa..!! Uo usiri unaoulalamikia unataka kila ndege ya ATCL ikipatwa na hitirafu unataka Waziri Kamwele aite press atangaze au CEO wa ATCL atabgaze.?? Shirika gani linafanya hivo hapa duniani?
Nimeshangaa sana. Eti watoe taarifa, yaani kila ttz la ndege lzm waitishe press conference mmmmmh
 
Hiyo ndege ni kimeo. Ni ndege inayodaiwa kuwa na kasoro nyingi sana toka ikiwa kiwandani.
Mimi nilishasema hata bure, ndege za ATCL sitazipanda. Wanafanya kazi kwa kubahatisha sana.

Una hela ya kupanda ndege?
 
Afadhali limeharibika watu hatulali, ndege, ndege, huku hela mtaani hakuna watu wanataabika, after all hata likiharibika sisi tumeshapata teni pasenti.
 
Vipi, haya mambo ni mageni kwako? Hata kujua tu kuwa ndege hizi kubwa huwa zina engine 2 mpaka 3, nayo huelewi kabisa?
Siku hizi hazina engine tatu, ni either mbili, nne, sita au nane
 
Ingeanguka kama ya serengeti

Jwtz wakachunguze.
 
Afadhali limeharibika watu hatulali, ndege, ndege, huku hela mtaani hakuna watu wanataabika, after all hata likiharibika sisi tumeshapata teni pasenti.
Jiwe alidhani biashara inakua smooth.na uhakika alipo jiwe hana furaha kabisa tutegemee stress zake atatumbua watu wasio na hatia kabisa
 
Hizi ndege, mh!!!!!

Wahariri kazi kuandika habari za kusifia tu hasa kumsifu bwana yule ila kuandika habari kama hizi hawaandiki!!

Inawezekana kweli mnatishwa,lakini swali ni je,na kusifia mnalazimishwa?

Kuharibika kwa ndege nalo ni jambo la kisiasa? Kwa hiyo ndio ndege ya kwanza kuharibika?
 
We nawe ni mpuuzi. Wataalam wanashangaa kwa nini engine hizo zimekuwa zikifail, wewe usiye na ujuzi unasema ni kawaida.

Kiuhalisia ndege haistahili kuharibika ikiwa inafanya kazi. Kila part ina muda wake wa replacement, kabla ya muda ambao hiyo part inaweza kupata failure. Kwa hiyo kimsingi ndege haistahili kuharibika na wala replacement ya parts huwa haisubiri part ipate failure.
Ni wapumbavu tu kama wewe ndiyo huamini ujinga huo soma historia ya ajali za ndege ndiyo utajua unachoongea ni wendawazimu wako anzia Marekani, Urusi na kwingine kote duniani kama ndege zinazoanguka huwa ni kuukuu tu na siyo mpya kama unavyojidanganya. Anakufa ndiyo mtu aliumbwa na Mungu ijekuwa ndege kazi ya mikono ya binadamu wacha upumbavu bwana mtoto anazaliwa mzima kabisa unampa mgongo keshakufa hapa napo utasemaje we juha???
 
Back
Top Bottom