Air Tanzania’s Airbus A220 suffers engine failure

Air Tanzania’s Airbus A220 suffers engine failure

Kwa hiyo ndege zenu hazipaswi kuwa na hitirafu kabisaa, kana kwamba zimetengenezwa na Mungu eti ee? Kama ilivyo kwa Gari hats ndege hivyo hivyo zinaharibika na kutengenezwa!
 
Mwewe brand new.....
brand new wapi,warudishe nauli za watu,hawana business plan,jiwe hana akili ya kuendesha kampuni hiyo, anaweza tu kuwateka chadema,nawashauri watanzania wasipande ndege za jiwe watakuja kufa huko angani,hii warning
tu
 
Hii biashara hovyo kabisa kwa Tanzania, kila siku matengenezo ya ndege huku wananchi Wake hohehahe
 
brand new wapi,warudishe nauli za watu,hawana business plan,jiwe hana akili ya kuendesha kampuni hiyo, anaweza tu kuwateka chadema,nawashauri watanzania wasipande ndege za jiwe watakuja kufa huko angani,hii warning
tu
umetokwa na povu mkuu au kodi inaelekea mwishoni
 
Hii biashara hovyo kabisa kwa Tanzania, kila siku matengenezo ya ndege huku wananchi Wake hohehahe
ndo upumbavuu wa jiwe huu hapo work done is equal to zero,ushamba ni kitu kibaya sana,mbaya uwe mshamba afu umechanganyikiwa kama alivyosema comrade kinana
 
Ndege mpya inaharibikaje kaka?

Kitu kikiwa kipya mpaka kugusa injini ni miaka 5 kwenda mbele....

Vigari tu hivi vya kijapani pamoja na kutumika kwao lkn vikija huku unaweza piga nayo miaka 7 ndo ukagusa injini....

Hiyo ndegw ni mbovu toka huko au service hakuna
ndege mbovu hiyo watanzania msipande kabisa
 
Tatizo letu tumegawanyika kweli kweli mpaka non issues zinageuka major issues. Kwenye aviation sio ajabu engine kuzingua. Tatizo labda ni manunuzi ya hizi ndege, mikataba inasemaje? Isije ikawa hata ikiharibika mapema hivi mzigo wetu
Tumenunua Cash tumeshamalizana. Tungenunua kama wenzetu KLM,British airways na wengine wanalipa 10% kwa hiyo bado tungekuwa tunadaiwa kwa hiyo wanaiangalia ndege yao.
Sisi ni matajiri hayo ni mambo madogo madogo kwetu
 
Wakuu,

Ile Ndege yetu aina ya Airbus A220-300 iliyokuwa imeshikiliwa Afrika kusini katika uwanja wa Oliver Tambo jijini Johannesburg, jana imeendelea kupatwa na Majanga baada ya kudaiwa kwamba injini yake kupata matatizo wakati ikiwa angani ikitokea Mwanza kwenda Dar.

Imedaiwa rubani wa ndege hiyo aliamua kuirudisha Mwanza na kutua salama japo Injini itahitajika kubadilishwa ili iweze kupaa. Alikuwa kapaa angani urefu wa futi 7,500.

Matatizo kwenye ndege ni jambo la kawaida, tatizo ni kwanini tunafichwa habari? Kwa usiri huu napata wasiwasi kama ATCL inafanya kazi kwa viwango vya kimataifa. Wasafiri walitakiwa waambiwe tatizo na kuombwa radhi.

Nashauri tuiuze na hela tuwanununulie Bima ya Afya wajane na wote wasiojiweza Tanzania.

Angalia mchoro hapa chini ya U turn ya nguvu akiwa Singida njiani kwenda Dar akaamua kurudi Mwanza. Rubani apewe tuzo au cheo Serikalini. Kaokoa roho za watu..

image

Air Tanzania’s flight TC 123 from Mwanza to Dar es Salaam yesterday suffered an engine failure not long after taking off from the lakeside city.

The aircraft had reached an altitude of just over 7.500 feet when the engine failed and the pilots decided to immediately return to their airport of origin as the nearest point of landing.

The aircraft landed safely but will have to remain on the ground for an engine change.

Meanwhile does this seem to be another case of an Airbus A220 engine failing, which prompted the FAA earlier this month to issue an Air Worthiness Directive about several similar engine failures of the Pratt and Whitney Geared Turbofan engine, which affected Air Baltic but also other airlines operating this aircraft type.

The FAA notice, which was published on September 10th, i.e just over two weeks ago, proposes the inspections of the PW1500Gs and PW1900G. It also requires that the gap between the oil supply of the engine and the fuel oil cooler must to be inspected on a more regular basis. Operators of this engine type are already exchaning the fuel oil cooler and the supply tube for new components to comply with Pratt & Whitney’s own service guidance.

The issue came to light earlier this year when P&W addressed it with its service bulletins.

Meanwhile has Swiss recently also suffered two engine failures in flight, raising additional questions about the PW engines used, more so as Airbus had similar experiences when the A320NEO family was launched, using this engine type.

These engine failures have in the past also affected Korean Air and other operators, raising serious questions about P&W’s workmanship, component reliability and generally the safety of this engine type.

Air Tanzania has two Airbus A220-300 in service and only recently ordered an additional two such aircraft for delivery in 2021.

Umeharibu kuweka ushauri wako usio na weledi.

Vinginevyo tunashukuru kwa taarifa juu ya dege letu.
 
Back
Top Bottom