Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,366
- 3,561
Habarini.
Kuna habari nimeisoma mahali inaelezea kua ndege Airbus ya A220 ya Air Tanzania imepata hitilafu ya engine feet chache baada ya kuondoka Mwanza.
Ma rubani wamefanya kazi nzuri na kurudi uwanja wa Mwanza na kutua.
Sina uhakika na taarifa hii wadau ila mwenye nyama ajazie jazie.
👇
Kuna habari nimeisoma mahali inaelezea kua ndege Airbus ya A220 ya Air Tanzania imepata hitilafu ya engine feet chache baada ya kuondoka Mwanza.
Ma rubani wamefanya kazi nzuri na kurudi uwanja wa Mwanza na kutua.
Sina uhakika na taarifa hii wadau ila mwenye nyama ajazie jazie.
👇