Aina za single mother

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Anakuaga na mtu wake
..na hii ndio kasoro ya singo maza. Akiambiwa facts anaona anasimangwa
Sijazaa bado
Achana nayo hayo matakataka wala yasikuumize roho! Huyu jamaa ana scenarios za kipumbavu naweza kusema hivyo! Yote aliyoeleza hapo hakuna hata moja la ukweli!
Yani mpaka nmekosa nguvu
Shaurianeni kwa ukweli bila wivu.

Wanaume kushauriana juu ya singo maza ni kweli tupu, ila wanawake wanafanganyana sana.
Sawa watashauriana mana mm bado sijazaa
 
Pesa ipo dogo
Aah wapi wewe mwehu ..mwenye pesa hawezi Kuja mitandaoni kukoroma ovyo na kufoka ovyo..huna pesa ndio tatizo, ukiwa na pesa Hawa single mothers unawatunza vizuri tu na wakikuelewa wanakuzalia na WA kwako, kwani sio binadamu..? Tatizo huna hela , halafu kama I'd yako inasema unatafuta ajira..Sasa sijui ni stress za kukosa ajira...hizo stress za ajira mpelekee mama Samia , waache single mothers watulie , wewe tafuta ajira kwanza
 
Pesa ipo dogo
 
Pesa ipo dogo
Aah wapi wewe mwehu ..mwenye pesa hawezi Kuja mitandaoni kukoroma ovyo na kufoka ovyo..huna pesa ndio tatizo, ukiwa na pesa Hawa single mothers unawatunza vizuri tu na wakikuelewa wanakuzalia na WA kwako, kwani sio binadamu..? Tatizo huna hela , halafu kama I'd yako inasema unatafuta ajira..Sasa sijui ni stress za kukosa ajira...hizo stress za ajira mpelekee mama Samia , waache single mothers watulie , wewe tafuta ajira kwanza
 
Pesa ipo dogo
 
Huu Uzi ni kwa ajili yako Dogo nilikuwa nawasubiri walengwa nawe umekuja halaka sijui kama umekumbuka kunawa baada ya kunya.

Piga chini Lisingo maza hilo!
Vipi umesahau kulog out kwenye I'd yako hii nyingine πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Tafuta hela uache kua na muda wa kuwasimanga wanawake mitandaoni. Naelewa stress za kukosa hela zinavyokua. Sasa sikuhizi hawachukui nyinyi Marioo, Sasa hasira mnakuja kumalizia huku kuwatukana,,tafuta hela Mdogo wangu halafu ukue kiakili uwe matured ili uishi na mwanamke yeyote kwa amani. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Pesa ipo dogo
Aah wapi wewe mwehu ..mwenye pesa hawezi Kuja mitandaoni kukoroma ovyo na kufoka ovyo..huna pesa ndio tatizo, ukiwa na pesa Hawa single mothers unawatunza vizuri tu na wakikuelewa wanakuzalia na WA kwako, kwani sio binadamu..? Tatizo huna hela , halafu kama I'd yako inasema unatafuta ajira..Sasa sijui ni stress za kukosa ajira...hizo stress za ajira mpelekee mama Samia , waache single mothers watulie , wewe tafuta ajira kwanza...na unaonekana kikatuni sababu huna mbele Wala nyuma...unataka kumtomba Bado tena akulishe akuvishe , wewe umekaa tu kama puto hata hujishuhulishi hata kununua mkate huwezi.. akikunyima , unakuja mitandaoni kuwatukana. Grow the fuk up!! πŸ˜€πŸ˜€
 
Ndio hivyo Sasa ..Sasa wanapenda umario ila saivi hawatakiwi kwaio stress zao wanakuja kuleta kwenye mitandao kama hivi kuanza kuwatukana wanawake πŸ˜‚
 
Level ya kutafuta hela nimevuka sasa ni muda wa kuzilinda hela nyang'au kama wewe ukiingia kumi na nane zangu nakufanya msukule uwe mlinzi wa hela zangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…