Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 15,710
- 50,030
Hapa single mamaz na waliooa single mamaz kimya kimya wanasoma
Pesa ipo dogoTafuta hela uache kua na muda wa kuwasimanga wanawake mitandaoni.
Imagine Yesu angezaliwa na single mother, hivi angekua vipi na uhalali wa kukemea uzinzi. Wafuasi wake si wangemuambia aanze kumpa mafundisho mama ake kwanzaPreach bro, preach bro
Make Men Great Again
By the way tuwakumbushe pia kuwa kuoa single mom ni fedheha sana maana unaanza kulea bao la mwanaume mwenzako
Sir God anataka mwanaume aanzishe familia yake na sio ajiunge kwenye familia iliyoanzishwa na mwanaume mwenzake
Imagine Sir God alimchagua Maria awe mama ya Yesu mama ambaye alikuwa bikira na hakuwa single mom
Hata mama aliyemlelea kijana wake akiwa single mom ni ngumu sana kumuunga mkono kijana wake amuoe single mom mwenzake
Imagine siku unaenda kwa wazazi wako na watoto wa single mom halafu unawaambia hawa ndiyo babu na bibi yenu lazima wazazi wako wakuone zezeta
Inatia kinyaa sana kuoa aina hizi tatu za wanawake:
Single mom Asiye bikira Aliyejichubua
Masimp kama nyie ndio mnapeleka mawazo kwenye akili za wanawake kwamba kufanya umalaya ni sawa maana watakapostaafu hawawezi kukosa bumunda la kuwaoa.MAJORITY YENU HUMU NI WATOTO WA SINGLE MAZA WENGINE HATA BABA ZENU HAMUWAJUI KUTWA KUWASIMANGA SINGLE MOM,
SHUKURUNI GOOD FATHERS WALIO WASAPOTI MAMA ZENU, KUWA HAPA MLIPO!!
SINGLE MAZA AHESHIMIWE!
Simp ni wewe kutwa kuhangaika na mambo yasiyo kuhusu,Masimp kama nyie ndio mnapeleka mawazo kwenye akili za wanawake kwamba kufanya umalaya ni sawa maana watakapostaafu hawawezi kukosa bumunda la kuwaoa.
As long as idiot simps like you exists women will see no reason to protect their dignity and embrace femininity
Huyo baba yake Yesu unamjua ? Ulimwona wapi ?Imagine Yesu angezaliwa na single mother, hivi angekua vipi na uhalali wa kukemea uzinzi. Wafuasi wake si wangemuambia aanze kumpa mafundisho mama ake kwanza
Daah Braza Nataka Ajira umenisanuaA traumatic past doesn't guarentee a peaceful future.
Mkuu kuwa na heshima kwa Mtoa uzi ana kubalika sana ujueSimp ni wewe kutwa kuhangaika na mambo yasiyo kuhusu,
Acha single Maza waheshimiwe!!
Single maza ukiwajulia. Utainjoy sana.Acha weee!Kwa hiyo mimi niendelee kunyoosha suti tu ya kupokelea utakatifu?Raha sana hii unajua!?
Daaah kweli dunia haina huruma...Wanaume wanawasimanga SINGLE MOTHERS
SINGLE MOTHERS wanatusimanga sisi kuwa hatujui leba..
Wenye ndoa Hali kadhalika wanatusimanga hatujaolewa! Dunia haina huruma
Exactly 💯Mtoto akiwa mdogo wanajifanyaga independent woman, sijui wapambanaji subiri mtoto akue masuala ya kulipa ada yaanze. Hapo baba wa kambo asipobebehwa gharama basi lazima mama mtoto arudi kwa mzazi mwenzie kudai child support na huo ndio mwanzo wa kupasha kipolo
Mkuu anapenda u edit your comment uongeze neno tafuta pesa kwa kufanya kazi..Tafuta hela uache kua na muda wa kuwasimanga wanawake mitandaoni.
Huu Uzi ni kwa ajili yako Dogo nilikuwa nawasubiri walengwa nawe umekuja halaka sijui kama umekumbuka kunawa baada ya kunya.Tafuta hela uache kua na muda wa kuwasimanga wanawake mitandaoni.
Akubalike ni yeye lakini aache kuwananga single Maza kwa namna yoyote ile,Mkuu kuwa na heshima kwa Mtoa uzi ana kubalika sana ujue
You again....Na wengi wao huwa ni kausha damu ukiingia kwenye mahusiano nae umekwisha walahi
We na wewe unakuwa kama unalaliwa muda mwingineMkuu anapenda u edit your comment uongeze neno tafuta pesa kwa kufanya kazi..
Na kazi yenyewe iwe ya kuvuja jasho.
Mfano usimwambie atafute pesa alafu aende kusema anafanya forex...
Sifa ya mwanaume tafuta pesa kwa kuvuja jasho..
Fanya kazi ya kuvuja jasho mfano
Saidia fundi...
Kazi za ujenzi barabarani
Kutembeza maji
Na kazi mbali mbali
Wewe mkuu mbona unasema wenzako wanalaliwa..We na wewe unakuwa kama unalaliwa muda mwingine
wewe na pc yako unakuwa ni Dem maake huvuji jasho ?
Na wewe unalaliwaWe na wewe unakuwa kama unalaliwa muda mwingine
wewe na pc yako unakuwa ni Dem maake huvuji jasho ?