Aina za single mother

Aina za single mother

Wanaume wanawasimanga SINGLE MOTHERS
SINGLE MOTHERS wanatusimanga sisi kuwa hatujui leba..
Wenye ndoa Hali kadhalika wanatusimanga hatujaolewa! Dunia haina huruma
Achana nayo hayo matakataka wala yasikuumize roho! Huyu jamaa ana scenarios za kipumbavu naweza kusema hivyo! Yote aliyoeleza hapo hakuna hata moja la ukweli!
 
Mm mwenyewe sizitaki 😂😂 kwann wewe kariakoo afu mwenzio saidia fundi Tena huko homboza (joking)
Mkuu huku kariakoo mimi nafanya kazi kwa muhindi jua kali huku juu..
Kufua fua na kazi zingine mkuu acha kabisa.

Ila sio mda takua mlinzi maana kuna jamaa alinipa connection ya ulinzi daah yule jamaa ni wa hapa hapa jf ila naweza kusema jamaa ni matako sana
 
Mkuu huku kariakoo mimi nafanya kazi kwa muhindi jua kali huku juu..
Kufua fua na kazi zingine mkuu acha kabisa.

Ila sio mda takua mlinzi maana kuna jamaa alinipa connection ya ulinzi daah yule jamaa ni wa hapa hapa jf ila naweza kusema jamaa ni matako sana
Kwanini sio kalagabao maake ndo job zake 😂
 
1. Single mother mjane.
Baba mtoto amekufa. Hajatalakiana nae, hajakimbia, isipokua amekufa. Huyu mwanamke hajachagua kuwa single mother, maisha yamemlazimu. Kuna heshima jinsi anavyoubeba huo mzigo. Anapambana vita ambayo hajaianzisha na bado anailinda heshima yake. Huyu ndie single mother pekee ambae angalao unaweza kumfikria kumuoa.

2. Single mother mtalaka.
Huyu ametalakiana na mumewe. Atakujia na visingizio vingi vya kumchafua mumewe. Ukweli ni kwamba uyo ndie mwanaume aliekubali kuolewa nae, alikula nae kiapo, alizaa nae na ametalakiana nae.

Kama ameondoka kwenye ndoa iyo nini kinakuaminisha hatakuacha na wewe hata baada ya kubeba jukumu la malezi ya mtoto/watoto wake?

3. Single mother wa bahati mbaya.
Kijana mwenzangu, mimba sio malaria. Haikutokea tu bila kutarajia. Alijua risk ya anachokifanya lakini alipuuza.

A woman careless with her womb will be even more careless with your destiny. Run away my brother.

4. Single mother mnyanyaswaji.
Inawezekana kweli kuna abuse alikutana nazo lakini unatakiwa kujua ukweli kwamba, kwa kiasi kikubwa abuse anazokutana nazo mwanamke kwenye mahusiano/ndoa zinasababishwa na mwanamke huyo kukataa kurekebishika, kutingisha mamlaka ya mwanaume au kukataa kuwajibika. You are not marrying her you are adopting her unresolved demons. Stay away from her.

5. Single mother aliebakwa.
Ni kweli huruma ni sifa ya binadamu, lakini usioe kwa sababu ya kumwonea huruma mwanamke. A traumatic past doesn't guarentee a peaceful future. Jiulize tayari majeraha yake moyoni yamepona au bado kila mwanaume anamwangalia kama potential rapist?.

Pia usisahau aliweza kuizuia iyo mimba tangu ikiwa changa lakini alichagua kuzaa, sio maamuzi mabaya lakini hii maana yake alichagua kuwa mama bila uwepo wa baba. Are you ready to fund a trauma you didn't cause? If not toka nduki.

6. Chaotic single mother.
Kuna wanawake ambao hawawezi kuishi bila drama. Ndoa/mahusiano yake na baba mtoo yalikua poa lakini kuna kitu anaona kinapungua, ni nini hicho kitu? ni drama na chaos. Chaos isn't situational, it's character. If she ran away from a fine marriage/relationship she will run again when you don't entertain her inner chaos.

7. Single mother feminist.
Huyu ni yule ambae anafikiri career au uwezo wa mwanamke kulipa bill ni replacement ya baba kwenye malezi ya mtoto. Huyu hataitambua nafasi yako kama mwaanaume, licha ya changamoto ya mtoto wake, vilevile kuoa aina hii ya single mother ni kutengeneza kizazi cha watoto wa kike wasiokua na maadili na watoto wa kiume mashoga au legelege.

7. Single mother aliehitaji mtoto.
Umri unaenda na hakuna dalili za kuolewa au circle ya mashoga zake wote wana watoto kasoro yeye tu. Akaona azae tu alee mtoto wake. Akupata mimba kwa kudanganywa, alipata kwa kupanga. Alitaka mtoto bila mwanaume/baba mtoto, sasa anatarajia wewe uingie kwenye maisha yake na kuwa baba wa mtoto wake.

Sikiliza kijana mwenzangu. Kama haukua kwenye vision yake tangu mwanzo basi wewe ni plan B.

Ukimuoa uyo mwanamke, haujengi familia isipokua unaingia kwenye ushindani na mtoto wake uliemkuta nae. You will always come second.

ZINGATIO: Mwanaume kuoa tu ni risk, ila ukioa single mother iyo risk inajizidisha mara 10. Ukiamua kuwa baba wa kambo ni uamuzi wako lakini usije ukasema hatukukuambia.

Oa kwa umakini, kwa sababu baada ya sherehe na shamrashamra za ndoa kuisha kitakachobaki ni ule mkataba wa ndoa ambao unalinda masilahi ya mwanamke, na hautambui wala kujali chochote kuhusu mwanaume.

Don't be a simp.
Mngekua mnafungua madarasa mnawapiga twisheni vijana mnakula hela.

Mkuu madini ya thamani uliyoyamwaga hapa, yangelimwagwa darasani yangenufaisha wengi zaidi nawe ukanufaika kwa elimu yako.

Vijana wanapofikia maamuzi ya kuoa single mother, huhemkwa na matako pamoja na msura wa mwanamke bila kuangalia vigezo kama ulivyovieleza kiufanisi kabisa.

Ukitoa single mother uliye mgroup #1, basi wengine wote waliobaki wanafanana kama soda ya coca cola, popote uendako ni hiyo hiyo!

Hakuna kitu kibaya maishani kama kujitwisha majukumu ambayo kiuhalisia si yako hayakuhusu!

Mi huwa nasema kama kijana umelizimikia limsingle mom kwa nini usilifanye kimada ili baadaye akili zikikusogea ujiset?

Kuingia mzima mzima kwenye ndoa na singel mom ni kuhatarisha mustakabali wako, kwa sababu ndoa zinalinda sana haki za wanawake.

Mwenzenu kaja na hoja yenye elimu ya maana sana kusaidia vijana wanaochipukia, chukueni hiyo muishi nayo!
 
Vijana acheni kuwasinga single moms..... ni wanawake wengine tu kama walivyo mama zetu, shangazi, dada na binamu zetu.

Rafiki yangu wa karibu kwao walilelewa na mama peke yake. Huyu mama alikuwa na watoto saba na aliwakuza wote na leo hii wote watu wazima wanajitegemea na ni familia inayoheshimika tu. Hizi zingine ni hulka za watu tu.
Kaka umejitahidi sana kuwatetea sawa, lakini mleta uzi ana hoja ya msingi sana. Kama tutaikataa hoja yake basi tutakuwa tunajidanganya sana.

Pili mleta uzi anamuongelea zaidi mwanaume anayetaka kuwa mpenzi wa single mama, ila wewe hapa umeongelea watoto waliolelewa na single mama.

Kwa heshima kabisa, hivo ni vitu viwili tofauti sana kaka.
 
Wanaume wanawasimanga SINGLE MOTHERS
SINGLE MOTHERS wanatusimanga sisi kuwa hatujui leba..
Wenye ndoa Hali kadhalika wanatusimanga hatujaolewa! Dunia haina huruma
Shaurianeni kwa ukweli bila wivu.

Wanaume kushauriana juu ya singo maza ni kweli tupu, ila wanawake wanadanganyana sana.
 
Makaveli 10 mstari wa 14
Waiteni single mother,wajane na wanawake over 35 wasioolewa waje kwangu, maana mimi ndio mfariji wao
 
Back
Top Bottom