Aina za Ndoa ....

Aina za Ndoa ....

Niko kwenye number one, lakini my next target kuoa mke wa pili, lazima niende kwenye number two :violin:

Makubwa haswaa!wewe kweli hauko no 1.ingekuwa hivyo usingewaza kuobgeza mke wa pili.no1 tamu eti hutamani offsides
 
Ayo magroup umetoa wapi>?mbona hakuna tofauti kati ya group 1 na lingine?
 
ndoa za familia
family friends kutaka zaid ya urafiki washee wajukuu!!
lol

ndoa za mtama mtaani
si mlisema siolewi sasa nimeolewa,kuna mwwny swali!!!

ndoa za kimajukumu
sina namna,familia inanitegemea na siwezi kumudu mahitaji yao ni bora tu nioe /niolewe na huyu!au nibaki kuishi naye
 
Hayo ni matamanio ya wanaume wengi tu, ila mazingira pamoja na mambo y Beijing yanatubania!!

Hata mie ungenirusha miaka kama 20, haki ya nani ningeongeza mke hata kama ingenilazimu kuokoka!!

Mwanamke mmoja bwana hatoshi.......(hapa najua kuna watu watatamani wanimeze....ila mie naongea kama kidume cha 1947 na naomba mnisamehe in advance)!!

Babu DC!!

aiseeeee
kumbe
 
Mie nikipenda napenda...lkn inategemea unaweza penda mtu
Baada ya muda anabadilika na kukosa adabu
 
Back
Top Bottom