Aina za Ndoa ....

pia kuna ndoa za kuoana kwa kumwonea huruma mtu!
Unakuta binti anakusimulia maisha aliyopitia...magumu sana, na hakika anatamani asingezaliwa!..
Ukimsikiliza kwa umakini waweza kata shauri kumuoa!
aisee mbona mimi hamnionei huruma?
 
PJ,

Ni kweli kabisa...ndoa za huruma na maslahi ni common sana....

Ila nadhani hakuna ndoa isiyo na element ya maslahi ......

Kuna binti aliambiwa na mama yake kwamba akimwacha huyo mchumba wake ambaye hakuwa na pesa wakati huo ila alikuwa mtu wa michongo, basi angekoma...Ndoa ilifungwa na utabiri wa mama ulionekana baadaye kuwa wa kweli!!
Babu DC!!
Mkuu DC!
Umenifurahisha hapo kwa red!...huo ni ukweli kabisa...sidhani kama kuna 100% LOVE!
Nazitambua ndoa nyingi sana ambazo watu wanaoa mabinti kwa nia ya kupata uraia wa nchi fulani husika!
 
Ndoa za pesa
Mtu anakubali kuolewa na mwanaume kwa vile tu ana hela na yeye kwao ni watu wa hali ya chini so anakubali kuolewa ili maisha yawe juu, sasa kazi inakuja jamaa akiishiwa!!! inakuwa patashika nguo kuchanika, hakuna discussion hapo ni mtu antimka yuleeeeeeeee kwao

Ndoa za mila
Hizi ni zile ndoa ambazo mtu analazimika kuoa mtu kisa tu eti ni kabila lake na asipooa mtu wa kabila moja na yeye basi jamii itamtenga, moyoni anatamani kuoa ampendae lakini anataka kufurahisha ukoo kwa kuoa mtu wa kwao, baadae makasheshe hayasimuliki
 
Men out there!
I think there should be certain value attached to so called LOVE thing!...hii ni kwa nia njema tu!

Penzi kama penzi parse lina tabia ya kutarnish, ku'degenerate, kuwa 'pale', na kupungua gradually!..kuna sababu mbalimbali za hii kitu, na ni sababu very genuine and unavoidable!

Take an example wakati mamaa anapokuwa katika kulea kichanga, kwa uzoefu nyakati hizo mama anatoa attention ndogo sana kwa mume...70% ya muda wake inakuwa kwa mtoto, na ukimbugudhi utaipatapata!..Hii ni kawaida kwa wanyama wote, wanapokuwa kwenye kulea wanakuwa wakali sana...kuku anayelea vifaranga anakuwa too protective kwa wanae!

Sasa wakati kama huo inabidi kuwe na situation fulani inayoshikilia ndoa yenu, maana penzi linakuwa limepewa likizo ya muda!

Ndipo hapo vinapokuja vitu kama uwezo, uzuri, na qualities zingine, na ndizo hushikilia penzi lisisambaratike!
Nadhani niko sahihi kwa kiasi fulani!
 
Ndoa za pesa
Mtu anakubali kuolewa na mwanaume kwa vile tu ana hela na yeye kwao ni watu wa hali ya chini so anakubali kuolewa ili maisha yawe juu, sasa kazi inakuja jamaa akiishiwa!!! inakuwa patashika nguo kuchanika, hakuna discussion hapo ni mtu antimka yuleeeeeeeee kwao

Ndoa za mila
Hizi ni zile ndoa ambazo mtu analazimika kuoa mtu kisa tu eti ni kabila lake na asipooa mtu wa kabila moja na yeye basi jamii itamtenga, moyoni anatamani kuoa ampendae lakini anataka kufurahisha ukoo kwa kuoa mtu wa kwao, baadae makasheshe hayasimuliki


naona kuna aina nyingi sana za ndoa ..

Nikirudi hapa hizi hazina mapenzi hata kidogo baadae inabidi muanze kuishi kama kaka na dada..
Yaani haya mambo ya mila inabidi tuyasahau..

Kwenye hiyo habari ya fedha ndipo tatizo kubwa lilipo sasa..
 
usiombe hiyo my dear....ina tabu sijapata kuona.....
kila siku kwenda kurenyuu....ukichelewa kidogo mbona utajibeba....
ila inasaidia sana kwa wanaume hawa wetu vituka barabara.......he he he.....


hahaha Preta umenimaliza

hapa inabidi kuwa na ratiba ya kurenew kila baada ya miezi mitatu ukichelewa tu umeliwa ..
Preta kuna dada alisimulia kituko kimoja kila nikikumbuka nacheka
 
Ndoa ya makaratasi

Wabeba boksi waje watoe maelezo ya hii

Mwalimu haha kumbe na hizi za wabeba Box inabidi ziingie kwenye aina ya ndoa ..Ila huwa zinavunjika baada ya kutimiza nia ama zinaendelea??
Ngoja niongeze pale Juu..
 
umesahau hii ya kwangu.
Ndoa ya kuiga
Mi ndoa yangu ni ya kuiga baada ya kuona jamaa angu kaoa na mimi nikamuua kubeba bar made na kuweka ndani awe anapika na kupakua nacho kipata kwenye hii ndoa najuuta kumfahamu.
 
Niko kwenye number one, lakini my next target kuoa mke wa pili, lazima niende kwenye number two :violin:
 
Mwalimu haha kumbe na hizi za wabeba Box inabidi ziingie kwenye aina ya ndoa ..Ila huwa zinavunjika baada ya kutimiza nia ama zinaendelea??
Ngoja niongeze pale Juu..

Wakishakupata makaratasi baasi mshike mshike inaanza ndani ya nyumba. Wengi huishia kutalikiana unless awe mzee sana, unasubiri afe urithi :A S 13:
 
usiombe hiyo my dear....ina tabu sijapata kuona.....
kila siku kwenda kurenyuu....ukichelewa kidogo mbona utajibeba....
ila inasaidia sana kwa wanaume hawa wetu vituka barabara.......he he he.....


Preta hii ya kwako ita -till death do us apart kweli?
 
Back
Top Bottom