Aina za Ndoa ....

Aina za Ndoa ....

FirstLady1

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2009
Posts
16,789
Reaction score
5,415
Ndoa yako ni ya aina gani katika haya magroup?

1.Ndoa za mapenzi ..
Hapa ni ile true love ambayo wote mnajikuta mmependana na hatimaye kuamua kuwa mke na mme

2.Ndoa za Kulazimisha
Hizi ni zile ndoa binti anaweza kuamua kubeba ujauzito na kutumia kama kigezo cha kuolewa
Na mwanaume anaamua kuoa kwa sababu tu hana namna (Hapa mnaweza kuongeza maana sababu ni nyingi sana.

3.Ndoa za kutamaniana.
Mmeajikuta katika tamaa za kimwili mmeendelea na kutamaniana hatimae inafikia hatua mnawekana ndani..
Matamanio yakiisha kasheshe zinaanza

4. Ndoa za Madawa
(msinipige mawe heheh)Hizi mambo zipo bwana vibinti vya siku hizi vinakamata watu kwa kuwatumia kalumanzira basi dawa zikishindikana kurenew kasheshe zinaanza ndani ya nyumba..mara ooh mara eeh.

5. Ndoa za kuoneana huruma- By PakaJimmy

Unakuta binti anakusimulia maisha aliyopitia...magumu sana, na hakika anatamani asingezaliwa!..
Ukimsikiliza kwa umakini waweza kata shauri kumuoa!

6.Ndoa ya kudimba dimba. By Ashadii
Nje hawa watu ni perfect couple... Ila humo ndani kila mtu na maisha yake; wanakua tu na an understanding, kama mtu anafanya upuuzi iwe mbali na isijulikane na vice versa. Mara nyingi hii inakua as a result ya kuchokana kabisa na kutopendana na wote wakakubali hali halisi. Hivo badala ya kuondoka hapo na kuanza upya wanaona waendelee kushare hasa vile walivochuma pamoja ili mradi nje wasijue hilo.





Bibi yangu alikuwa ananipa hili somo na kuniuliza mjukuu wangu wewe upo Kundi gani katika haya ?

Kazi kwenu wana MMU


 
FL1,
Mi sijui niko group gani mpaka itakapofika saa mbili usiku leo...na wewe uko kundi gani au utasubiri muda uende ukitafakari kama mimi?
 
Ndoa za kubakana....

Hizi zilikuwa zinafanyika sana kule kwetu Moshi hasa kipindi cha Christmass misa ya usiku.

Unavizia kabinti kametoka church unakatupia mgongoni. Kakiingia room unakabaka, kesho hakaondoki ndo imetoka hivyo.
 
Ahsaten sana FL1,

Naona hizi ni aina za ndoa kwa mtazamo wa jinsia ya upande wa pili....Itabidi na sie tuangalie uwezekano wa kuweka aina za ndoa kwa upande wetu!!

Hiyo No. 4 ni ngumu sana kwa wale tusioamini ndumba na urozi!!

Naipenda sana No. 1 ila sijui ni asilimia ngapi ya ndoa zimebahatika kuipata!!!

Babu DC!!!
 
Ndoa za kubakana....

Hizi zilikuwa zinafanyika sana kule kwetu Moshi hasa kipindi cha Christmass misa ya usiku.

Unavizia kabinti kametoka church unakatupia mgongoni. Kakiingia room unakabaka, kesho hakaondoki ndo imetoka hivyo.


Hizi ni common sana kwa makabila mengi....Bishanga anaweza kutupa ushahidi zaidi...!!

Halafu inashangaza kwamba hizi ndoa zinadumu sana wakati zile za mission town, ambazo watu wanajidai kupendana sana zinadumu kwa muda mfupi...Nyingine hata honey moon haiishi!!

Babu DC!!
 
FL1,
Mi sijui niko group gani mpaka itakapofika saa mbili usiku leo...na wewe uko kundi gani au utasubiri muda uende ukitafakari kama mimi?

Ha saa mbili utakuwa ok baada ya vimiminika kama vitatu hivi...
Lakini unajua bwana ya kwako iko group gani ..?
 
Ndoa za kubakana....

Hizi zilikuwa zinafanyika sana kule kwetu Moshi hasa kipindi cha Christmass misa ya usiku.

Unavizia kabinti kametoka church unakatupia mgongoni. Kakiingia room unakabaka, kesho hakaondoki ndo imetoka hivyo.


AsprinHizi ndo zenu bado zipo mpaka leo??
 
Ahsaten sana FL1,

Naona hizi ni aina za ndoa kwa mtazamo wa jinsia ya upande wa pili....Itabidi na sie tuangalie uwezekano wa kuweka aina za ndoa kwa upande wetu!!

Hiyo No. 4 ni ngumu sana kwa wale tusioamini ndumba na urozi!!

Naipenda sana No. 1 ila sijui ni asilimia ngapi ya ndoa zimebahatika kuipata!!!

Babu DC!!!


Babu DC hebu weka mtizamo nyuma ya shilingi..
Lakini Babu hivi bibi wakati ananisimulia alijua hizi namba nne zipo labda ya kwake ilikuwa namba 4
 
Babu DC hebu weka mtizamo nyuma ya shilingi..
Lakini Babu hivi bibi wakati ananisimulia alijua hizi namba nne zipo labda ya kwake ilikuwa namba 4


Mie nadhani 2 na 3 ndiyo common sana,

Hiyo nambari one ni ngumu sana kwa wanaume.....!!

Babu DC!!
 
ndoa za kubakana....

Hizi zilikuwa zinafanyika sana kule kwetu moshi hasa kipindi cha christmass misa ya usiku.

Unavizia kabinti kametoka church unakatupia mgongoni. Kakiingia room unakabaka, kesho hakaondoki ndo imetoka hivyo.
teh umenikumbusha mbali babu?
 
FL1,
Kuna aina hii ya ndoa ambayo katika makundi hayo yako inaangukia wapi!
Mwanamke anapompenda mwanaume, au vice versa, kwaajili ya fedha na uwezo!..then umasikini ukipiga hodi mlangoni penzi linasepa kupitia dirishani!
 
Pia kuna ndoa za kuoana kwa kumwonea huruma mtu!
Unakuta binti anakusimulia maisha aliyopitia...magumu sana, na hakika anatamani asingezaliwa!..
Ukimsikiliza kwa umakini waweza kata shauri kumuoa!
 
Ndoa za FAMILIA KUPENDANA!...
Unakuta familia mbili zimekuwa na urafiki wa aina yake....wanakuwa wametengeneza undugu kabisa...Sasa kama kuna vijana rijali wanaamua kufanya kweli kutokana na loophole ya urafiki wa hizi familia, na wazazi automatically wanalipokea wazo hilo!
 
Zipo, sema tu siku hizi zimekuwa advanced... Yaani mnapanga kabisa na binti kwamba leo usiku uje unikamate unipeleke kwako unibake afu unioe....
Source: Ukosefu wa mahari.

Halafu sehemu nyingine wasichana wamekuwa laini laini sana kiasi kwamba hata wale vijana wasio na uwezo wa kupiga sound nao wanapata. Vijana wengi ambao ujanja ni karibu na zero ndio walikuwa wanaponea kwenye kapu la kukamata mzigo na kuwahishwa home kwa msaada wa washikaji!!

Ila nazo zilikuwa na kasheshe zake...Kwa kina Bishanga, nasikia kama binti alileta ubishi, ile timu ilitakiwa kumsaidia kumshikia mshikaji hadi apate sunnah!!

Babu DC!!!
 
FL1,
Kuna aina hii ya ndoa ambayo katika makundi hayo yako inaangukia wapi!
Mwanamke anapompenda mwanaume, au vice versa, kwaajili ya fedha na uwezo!..then umasikini ukipiga hodi mlangoni penzi linasepa kupitia dirishani!

Ngoja nijaribu ..hii inaangukia kwenye 2 maana nimeona ameweka kwamba kwenye mbili kuna sababu nyingi ambazo hajaorodhesha ,,analazimisha kuolewa mambo yakiwa mazito ndoa inakimbiwa .
Kuna shost wangu alikimbia ndo kasema ya nn umasikini maisha yenyewe mafupi:thinking:
 
PJ,

Ni kweli kabisa...ndoa za huruma na maslahi ni common sana....

Ila nadhani hakuna ndoa isiyo na element ya maslahi ......

Kuna binti aliambiwa na mama yake kwamba akimwacha huyo mchumba wake ambaye hakuwa na pesa wakati huo ila alikuwa mtu wa michongo, basi angekoma...Ndoa ilifungwa na utabiri wa mama ulionekana baadaye kuwa wa kweli!!

Babu DC!!
 
Back
Top Bottom