condorezaraisi
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 225
- 116
umesahau hii ya kwangu.
Ndoa ya kuiga
Mi ndoa yangu ni ya kuiga baada ya kuona jamaa angu kaoa na mimi nikamuua kubeba bar made na kuweka ndani awe anapika na kupakua nacho kipata kwenye hii ndoa najuuta kumfahamu.
Kweli JF ni kisima cha burudani
Mende0 Utaishi maisha hayo milele..? teh teh pole sana