Aina gani ya gari inafaa kuanzia maisha?

Aina gani ya gari inafaa kuanzia maisha?

Youbettersleep

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2019
Posts
944
Reaction score
1,628
Enheeeh wajomba naombeni msaada ni aina gani ya gari nafaa kuanzia maisha kama kijana mwenye mshahara wa 2M? Nilijichanga nikafikisha kiasi fulani nataman kupata gari ila nawaza aina ipi ya gari itafaa na yenye less service n maintenance.

Kuna fundi aliniambia Nissan Dualis nilipozifuatilia kidogo nizimie.

MSAADA
 
Tafuta gari ambayo spare zake sio za kuagiza nje ikibuma tu unaenda ilala
 
Enheeeh wajomba naombeni msaada ni aina gani ya gari nafaa kuanzia maisha kama kijana mwenye mshahara wa 2M? Nilijichanga nikafikisha kiasi fulani nataman kupata gari ila nawaza aina ipi ya gari itafaa na yenye less service n maintenance.

Kuna fundi aliniambia Nissan Dualis nilipozifuatilia kidogo nizimie.

MSAADA
Mitsubishi outlander
 
Toyota Corolla, Toyota Probox, Toyota Carina
Ila kama huna familia usinunue gari, Kanunue kiwanja au anza biashara
Kama hujui biashara kanunue hata UTT, just do anything to increase your future cashflows.
Viwanja ninavyo huko Kisesa na Buswelu mwanza, biashara sina msimamizi kazi zangu ni site mwaka mzima
 
Toyota Corolla, Toyota Probox, Toyota Carina
Ila kama huna familia usinunue gari, Kanunue kiwanja au anza biashara
Kama hujui biashara kanunue hata UTT, just do anything to increase your future cashflows.
Acha ujuaji,mtu anakuuliza gari gani ya kuanzia maisha we unamtajia viwanja..
Kwani kakuambia anashida ya U.T.T?
 
Back
Top Bottom