Youbettersleep
JF-Expert Member
- May 3, 2019
- 944
- 1,628
Enheeeh wajomba naombeni msaada ni aina gani ya gari nafaa kuanzia maisha kama kijana mwenye mshahara wa 2M? Nilijichanga nikafikisha kiasi fulani nataman kupata gari ila nawaza aina ipi ya gari itafaa na yenye less service n maintenance.
Kuna fundi aliniambia Nissan Dualis nilipozifuatilia kidogo nizimie.
MSAADA
Kuna fundi aliniambia Nissan Dualis nilipozifuatilia kidogo nizimie.
MSAADA