Teremaro
Member
- Mar 18, 2022
- 16
- 14
Ndugu wanaJamiiiForums, habari za wakati huu
Naomba mwenye kujua kuhusu gari aina ya Nissan Dualis kuanzia matumizi ya mafuta, upatikanaji wa Spare na changamoto zingine. Na vipi kununua used kwa mtu maana nyingi zinauzwa sana mtaani. Je, zinakuwa kuna changamoto inayopelekea hizi gari kuuzwa, na je Bora kuagiza nje au hata used inafaa?
Naomba ushauri wenu, naielewa sanaa hii gari
Naomba mwenye kujua kuhusu gari aina ya Nissan Dualis kuanzia matumizi ya mafuta, upatikanaji wa Spare na changamoto zingine. Na vipi kununua used kwa mtu maana nyingi zinauzwa sana mtaani. Je, zinakuwa kuna changamoto inayopelekea hizi gari kuuzwa, na je Bora kuagiza nje au hata used inafaa?
Naomba ushauri wenu, naielewa sanaa hii gari