jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,990
- 22,523
anagalieni rais wenu anavyolala hadharani
Wanaobisha walete video jamani....Hapo Mh Rais anauchapa jamani.
Kwasababu mikono ni kama ime hang hivi na hivyo inaonyesha hakuwa kwenye movement yoyote ile.
Angalia huo mkono wake wa kushoto kuanzia kwenye kiganja unavyoning'inia...Wale wanaodai alikuwa kwenye movement basi ni wazi si kweli cause hakuna sapoti kwenye mkono wake ili kuweza kusapoti movement ya mwili ama hata kifua na kichwa.
Hata ukiangalia wengine wote wako aware...Ni wazi alikuwa amechoka.