Tungo: Tena sioni aibu.

nentewene

Senior Member
Jun 9, 2017
144
94
tena sioni aibu.. kukutaja hadharani..
wew wangu tabibu ..tamu yangu kitandani..
mke wangu mahabubu.. hebu tuache utani..
kwako wew -mimi bubu,nabaki kukutamani..
kila kitu nahusudu ... nje hadi ndani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom